Ukitaka furaha ya kupendwa, uwe na hela, toka na vitoto vya miaka 20-23

[emoji38][emoji38]
 
Niambie Mkuu
 
Naona umeamua kuwadanganya wakulungwa hapa,hilo group lipo vulnerable kwa baadhi ya magonjwa kwan linakuwa resitant kwa dawaa,yaan ugonjwa hauskiii dawaa
Ah safi tu yani! I feel so blessed kuwa O! Piga sarakasi zozote maana ndio grupu imara kuliko yote when it comes to immunity!
Hi
 
Naona umeamua kuwadanganya wakulungwa hapa,hilo group lipo vulnerable kwa baadhi ya magonjwa kwan linakuwa resitant kwa dawaa,yaan ugonjwa hauskiii dawaa
Hi
Sawa Dr. Mwaka leta maneno
 
Kuna watu juu naona wanasema watu wengi ulimwenguni ni grouo O,wakati tunajua kuwa group O ni recessive allele sasa huo wingi unatoka wap,maelezo tafadhali kwa mwenye maelezo
 
Sasa hapo kwenye hiyo age, wengi wamegongwa cheza vizuri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo unaendaga mlimani city kutega totoz 😅
 
2gether we can talk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…