Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
- Thread starter
-
- #81
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sawa wazee wa trade forex na digital marketing mnaaingiza ma dollars tu kwenye smartphone zenu me siwawezimbona sisi tunapiga pesa sana kupitia hizi smartphone
Mimi sifahamu mkuu, na wala sihitaji kufahamu vipato vya wengine na shida za wengine mkuu. Kuacha matumizi ya smartphone ni maamuzi yangu na naona nipo sahihi nyie endeleeni kupoteza pesa na muda wenu humu jamiiforums kufuatilia udaku, wanasiasa ambao hata wao hawawajui , pia endelea kufuatilia nyuzi za watu humu ukizani watu wapo really kumbe wanafake life mtandaoniNaomba nikuuliza swali dogo tu.
Hivi unadhani members wote wa humu JF tuna kipato sawa? Hasa hasa vijana uliokomalia zaidi, kipato na shida ulizo nazo ndio hizo hizo tulizoo nazo na sisi wengine?
naona umeamua tu kuchangamsha jukwaa leo coz ukweli unaujua Sawadogo wewe.unavyoingiza ma dollars kwenye smartphone yako soon tunakuita billionaire
Ona huyu mjinga [emoji3]Acha ubabaishaji, hizo digital marketing ni utapeli mtupu hakuna aliye tajirika huko
Au unachanganya digital marketing na Network marketingAcha ubabaishaji, hizo digital marketing ni utapeli mtupu hakuna aliye tajirika huko
Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.
Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.
Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.
Nata minguliza shukurani waku
KwaHabarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.
Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.
Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.
Natanguliza shukurani wakuu.
Pole sana ndugu, mpaka sasa hujui umuhimu wa smartphone??Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.
Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.
Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.
Natanguliza shukurani wakuu.
Bora umeongeaAlielala usimuamshe maana utalala wewe.
Labda ww ndio muda wako unapotea Simu siku hz ina support kubwa sana kwenye shughuli za watu.Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.
Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.
Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.
Natanguliza shukurani wakuu.
Wewe unabiashara gani??? Kuna biashara ulishawahi kuitangaza humu ikakuongezea wigo wa wateja???[emoji23][emoji23][emoji23] Unajisumbua tu kubali tu kuwa hapo ulipo huna kazi wala biashara you are jobless and hopeless ushakata tamaa ya maisha so umeamua mitandao ya kijamii ikupunguzie msongo wa mawazoBiashara zote sikuhizi zinategemea social networks thru smartfones kukuza wigo wa wateja. Wewe bladfaken mmoja kutoka sweken huko unakuja kusema chimatifoni bla bla bla...shwain kabisa.
Tatizo lako mbishi, unabisha kitu hukijui..Leta ushuhuda waliofanikiwa kupitia hizo mnazoziita digital marketing!! Acha ubabaishaji uko ni utapeli!!
Sibishani na jobless usije kuniambukiza ujobless nami niwe nashinda mitandaoni kupoteza mudanaona umeamua tu kuchangamsha jukwaa leo coz ukweli unaujua Sawadogo wewe.
Hebu andika Kiswahili bwana we!! have gave a money ndio Kiingereza cha wapi hiki? Wambie watu wa Sitimbi huko ndio waache SmartphoneKwahiyo kukurahisishia kutembea na laptop nayo ni faida?? Mkuu am talk about money, did your smartphone have gave a money au wewe ndo kama mimi kila siku kupoteza pesa za mabando na kuwa masikini
Mjinga ni wewe unayetegemea betting na digital marketing zikutoe kimaisha, unaiga maisha ya ughaibuni jinsi watu wanavyo buy vitu online umesahau kuwa wewe ni mtanzania nchi ya dunia ya tatu kwenye digital bado tuko nyumaOna huyu mjinga [emoji3]
Nakuona msomi mwenzangu uliye jobless na hopeless endelea kutumia hiyo mitandao ya kijamii ikupunguzie stress usijejinyonga kwa kuwa jobless bureNa wewe ni Msomi
Wazazi walikua wakitoa Ada Kwa muda wa miaka kumi na kitu
Wamepoteza Bora wamekunywa bia hizo pesa.
Sitimbi ndio nini?? Na ni wapi?? Kumbe tanzania ni kubwa bado sijaimalizaHebu andika Kiswahili bwana we!! have gave a money ndio Kiingereza cha wapi hiki? Wambie watu wa Sitimbi huko ndio waache Smartphone
Yaani wewe ni mjinga wa mwisho, na sisi tunaofanya biashara mtandaoni tuache pia?Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.
Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.
Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.
Natanguliza shukurani wakuu.
Au sio .... Simu ndo Ofisi yangu...Nakuona msomi mwenzangu uliye jobless na hopeless endelea kutumia hiyo mitandao ya kijamii ikupunguzie stress usijejinyonga kwa kuwa jobless bure
Kazi zangu ndizo sehemu ya matumizi ya hiyo Simu, issue ya bando inategemea unatumia kwa matumizi gani na una lengo gani..... huwezi kuwa na hitimisho eti smartfoni zinatia umaskini.......siyo kila mtu anatumia vibaya kama unavyofikiria mkuu,na usikidanganye kizazi chako na ukoo wako utawapoteza zaidiKwahiyo kukurahisishia kutembea na laptop nayo ni faida?? Mkuu am talk about money, did your smartphone have gave a money au wewe ndo kama mimi kila siku kupoteza pesa za mabando na kuwa masikini