Ukitaka kuishi kwenye ndoa yenye furaha na amani fanya hivi kijana.....

Ukitaka kuishi kwenye ndoa yenye furaha na amani fanya hivi kijana.....

KikulachoChako

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
19,185
Reaction score
37,239
Habari za muda huu ndugu zanguni........

Wahenga wanasema kuishi kwingi ni kuyaona mengi.....katika hayo mengi kuna mabaya yanayoumiza na kutufunza na kuna mazuri yanayofurahisha.......

Suala la NDOA limekuwa mwiba mchungu sana linalotatiza akili za vijana wengi sana.......kiasi kwamba baadhi ya vijana wameshakata tamaa na masuala ya ndoa na kuamua kuachana nayo.......

Katika kuishi kwangu kwingi na katika mengi niliyoyaona pia yamo yanayohusu masuala ya ndoa......

Kwenye masuala ya ndoa nimejifunza mambo kadhaa ambayo ningependa kuyaweka hapa kwa vijana ili kila mmoja kuufurahia muunganiko wao...kama ifuatavyo......

1)Oa mwanamke anayekupenda.....
Sote tunajua kuwa kiumbe mwanamke akikukabidhi moyo wake jinsi anavyokuwa mjinga mbele yako..... mapenzi yakishaujaza moyo wa mwanamke basi wewe ndio utakuwa dira yake..... mwanamke akikupenda na akaamua kuishi na wewe basi jua yuko radhi muishi maisha yoyote yale na wewe ili tu uwe kando yake......hakika utayafurahia maisha.....

2)Hakikisha ndani hakukauki chakula.......
Hapa simaanishi ile misosi ya gharama au ya watu wazito kule masaki au oyster bay la hasha bali ni kile kinachoendana na mfuko kulingana na bajeti yako kwa wakati huo.......njaa haimpendezi mtu.....njaa inaweza kumfanya malaika kuwa shetani.....pambana Sana mtoto wa watu aisishinde njaa maana baada ya shibe ndio yanakuja mahaba......

3)MSHIBISHE KWENYE CHAKULA CHA USIKU.......
Hili halihitaji maelezo mengi maana ni suala pendwa na ndio tendo lilobeba maana nzima ya NDOA........hakikisha mdomo wa chini haulali njaaa......


Nawasilisha.......
 
Swadakta..

Huww mpaka natamani mngekuwa mnaona jinsi navyoishi na mke wangu kwa sasa ni maisha ya furaha sana tunafuatana kama kumbikumbi muda wote


msikilize mkeo
Pia mpe muda wako
Na umpende mkeo

Taifa linaanza na ngazi ya familia na familia bora unaijenga kwa mikono yako mwenyewe usiskilize sana ya majirani...


Kwa uchache tu
Mke wangu tumetoka kijijini kimoja koo zinafanana

Nimemzidi miaka 4
Mrembo yeah jitahidi awe mrembo mpaka uwe na wivu

Dhehebu moja

Tunapika pamoja mimi hupika sanasana mboga..

HATUNA HELA SANA ILA HEKIMA TA MUNGU INAFANYA TUONEANE HURUMA ...
Nje ya maada nitafutieni jina zuri la kike au la kiume pendekeza moja
NIISHIE TU HAPA KWA LEO
 
Heri kila mtu amchaye Bwana, Aendaye katika njia yake.

Mkeo atakuwa kama mzabibu uzaao, Vyumbani mwa nyumba yako. Wanao kama miche ya mizeituni Wakiizunguka meza yako.

SIO MANENO YANGU NI ZABURI 128-1

YOTE HAYA AMEAHIDIWA AMCHAE KRISTO YESU
 
Swadakta..

Huww mpaka natamani mngekuwa mnaona jinsi navyoishi na mke wangu kwa sasa ni maisha ya furaha sana tunafuatana kama kumbikumbi muda wote


msikilize mkeo
Pia mpe muda wako
Na umpende mkeo

Taifa linaanza na ngazi ya familia na familia bora unaijenga kwa mikono yako mwenyewe usiskilize sana ya majirani...


Kwa uchache tu
Mke wangu tumetoka kijijini kimoja koo zinafanana

Nimemzidi miaka 4
Mrembo yeah jitahidi awe mrembo mpaka uwe na wivu

Dhehebu moja
Rangi moja
NIISHIE TU HAPA KWA LEO
Mungu akubariki mkuu.... furaha iendelee kwenye ndoa yako
 
Kitabu ulichosoma cha ndoa, kataa ndoa walichana notes za katikati bado huna madini mkuu Wait for battle
 
Habari za muda huu ndugu zanguni........

Wahenga wanasema kuishi kwingi ni kuyaona mengi.....katika hayo mengi kuna mabaya yanayoumiza na kutufunza na kuna mazuri yanayofurahisha.......

Suala la NDOA limekuwa mwiba mchungu sana linalotatiza akili za vijana wengi sana.......kiasi kwamba baadhi ya vijana wameshakata tamaa na masuala ya ndoa na kuamua kuachana nayo.......

Katika kuishi kwangu kwingi na katika mengi niliyoyaona pia yamo yanayohusu masuala ya ndoa......

Kwenye masuala ya ndoa nimejifunza mambo kadhaa ambayo ningependa kuyaweka hapa kwa vijana ili kila mmoja kuufurahia muunganiko wao...kama ifuatavyo......

1)Oa mwanamke anayekupenda.....
Sote tunajua kuwa kiumbe mwanamke akikukabidhi moyo wake jinsi anavyokuwa mjinga mbele yako..... mapenzi yakishaujaza moyo wa mwanamke basi wewe ndio utakuwa dira yake..... mwanamke akikupenda na akaamua kuishi na wewe basi jua yuko radhi muishi maisha yoyote yale na wewe ili tu uwe kando yake......hakika utayafurahia maisha.....

2)Hakikisha ndani hakukauki chakula.......
Hapa simaanishi ile misosi ya gharama au ya watu wazito kule masaki au oyster bay la hasha bali ni kile kinachoendana na mfuko kulingana na bajeti yako kwa wakati huo.......njaa haimpendezi mtu.....njaa inaweza kumfanya malaika kuwa shetani.....pambana Sana mtoto wa watu aisishinde njaa maana baada ya shibe ndio yanakuja mahaba......

3)MSHIBISHE KWENYE CHAKULA CHA USIKU.......
Hili halihitaji maelezo mengi maana ni suala pendwa na ndio tendo lilobeba maana nzima ya NDOA........hakikisha mdomo wa chini
KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
 
Kwanza atuambie Ana uzoefu wa muda gani kwenye ndoa
Wapo washauri wamambo hayo ila now-days wako single (ndo maana unapewa cheti kwanza mitihani utakutana nayo mbele ya safari)
 
Habari za muda huu ndugu zanguni........

Wahenga wanasema kuishi kwingi ni kuyaona mengi.....katika hayo mengi kuna mabaya yanayoumiza na kutufunza na kuna mazuri yanayofurahisha.......

Suala la NDOA limekuwa mwiba mchungu sana linalotatiza akili za vijana wengi sana.......kiasi kwamba baadhi ya vijana wameshakata tamaa na masuala ya ndoa na kuamua kuachana nayo.......

Katika kuishi kwangu kwingi na katika mengi niliyoyaona pia yamo yanayohusu masuala ya ndoa......

Kwenye masuala ya ndoa nimejifunza mambo kadhaa ambayo ningependa kuyaweka hapa kwa vijana ili kila mmoja kuufurahia muunganiko wao...kama ifuatavyo......

1)Oa mwanamke anayekupenda.....
Sote tunajua kuwa kiumbe mwanamke akikukabidhi moyo wake jinsi anavyokuwa mjinga mbele yako..... mapenzi yakishaujaza moyo wa mwanamke basi wewe ndio utakuwa dira yake..... mwanamke akikupenda na akaamua kuishi na wewe basi jua yuko radhi muishi maisha yoyote yale na wewe ili tu uwe kando yake......hakika utayafurahia maisha.....

2)Hakikisha ndani hakukauki chakula.......
Hapa simaanishi ile misosi ya gharama au ya watu wazito kule masaki au oyster bay la hasha bali ni kile kinachoendana na mfuko kulingana na bajeti yako kwa wakati huo.......njaa haimpendezi mtu.....njaa inaweza kumfanya malaika kuwa shetani.....pambana Sana mtoto wa watu aisishinde njaa maana baada ya shibe ndio yanakuja mahaba......

3)MSHIBISHE KWENYE CHAKULA CHA USIKU.......
Hili halihitaji maelezo mengi maana ni suala pendwa na ndio tendo lilobeba maana nzima ya NDOA........hakikisha mdomo wa chini haulali njaaa......


Nawasilisha.......
Hayana fomula
 
Habari za muda huu ndugu zanguni........

Wahenga wanasema kuishi kwingi ni kuyaona mengi.....katika hayo mengi kuna mabaya yanayoumiza na kutufunza na kuna mazuri yanayofurahisha.......

Suala la NDOA limekuwa mwiba mchungu sana linalotatiza akili za vijana wengi sana.......kiasi kwamba baadhi ya vijana wameshakata tamaa na masuala ya ndoa na kuamua kuachana nayo.......

Katika kuishi kwangu kwingi na katika mengi niliyoyaona pia yamo yanayohusu masuala ya ndoa......

Kwenye masuala ya ndoa nimejifunza mambo kadhaa ambayo ningependa kuyaweka hapa kwa vijana ili kila mmoja kuufurahia muunganiko wao...kama ifuatavyo......

1)Oa mwanamke anayekupenda.....
Sote tunajua kuwa kiumbe mwanamke akikukabidhi moyo wake jinsi anavyokuwa mjinga mbele yako..... mapenzi yakishaujaza moyo wa mwanamke basi wewe ndio utakuwa dira yake..... mwanamke akikupenda na akaamua kuishi na wewe basi jua yuko radhi muishi maisha yoyote yale na wewe ili tu uwe kando yake......hakika utayafurahia maisha.....

2)Hakikisha ndani hakukauki chakula.......
Hapa simaanishi ile misosi ya gharama au ya watu wazito kule masaki au oyster bay la hasha bali ni kile kinachoendana na mfuko kulingana na bajeti yako kwa wakati huo.......njaa haimpendezi mtu.....njaa inaweza kumfanya malaika kuwa shetani.....pambana Sana mtoto wa watu aisishinde njaa maana baada ya shibe ndio yanakuja mahaba......

3)MSHIBISHE KWENYE CHAKULA CHA USIKU.......
Hili halihitaji maelezo mengi maana ni suala pendwa na ndio tendo lilobeba maana nzima ya NDOA........hakikisha mdomo wa chini haulali njaaa......


Nawasilisha.......

Mkuu asante kwa kutaja mambo haya ya msingi.
Hilo la pili na la tatu nimekuwa nikiyafanya tangu enzi za ujana wangu na matokeo yako wazi. Ukweli ni kwamba akishiba, halafu ukampapasa mgongoni kimahaba. Utakuta muda wote ni sherehe tu ndani mwenu.

Lingine ninaloongezea, usisikilize ya watu katika ndoa yako. Wewe na mwenzio ndiyo mnaojua kila kitu katika nyumba yenu.
 
Mkuu asante kwa kutaja mambo haya ya msingi.
Hilo la pili na la tatu nimekuwa nikiyafanya tangu enzi za ujana wangu na matokeo yako wazi. Ukweli ni kwamba akishiba, halafu ukampapasa mgongoni kimahaba. Utakuta muda wote ni sherehe tu ndani mwenu.

Lingine ninaloongezea, usisikilize ya watu katika ndoa yako. Wewe na mwenzio ndiyo mnaojua kila kitu katika nyumba yenu.
Asante mkuu kwa kuongezea nyama.....vijana watazidi kupata mwangaza
 
Back
Top Bottom