KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Habari za muda huu ndugu zanguni........
Wahenga wanasema kuishi kwingi ni kuyaona mengi.....katika hayo mengi kuna mabaya yanayoumiza na kutufunza na kuna mazuri yanayofurahisha.......
Suala la NDOA limekuwa mwiba mchungu sana linalotatiza akili za vijana wengi sana.......kiasi kwamba baadhi ya vijana wameshakata tamaa na masuala ya ndoa na kuamua kuachana nayo.......
Katika kuishi kwangu kwingi na katika mengi niliyoyaona pia yamo yanayohusu masuala ya ndoa......
Kwenye masuala ya ndoa nimejifunza mambo kadhaa ambayo ningependa kuyaweka hapa kwa vijana ili kila mmoja kuufurahia muunganiko wao...kama ifuatavyo......
1)Oa mwanamke anayekupenda.....
Sote tunajua kuwa kiumbe mwanamke akikukabidhi moyo wake jinsi anavyokuwa mjinga mbele yako..... mapenzi yakishaujaza moyo wa mwanamke basi wewe ndio utakuwa dira yake..... mwanamke akikupenda na akaamua kuishi na wewe basi jua yuko radhi muishi maisha yoyote yale na wewe ili tu uwe kando yake......hakika utayafurahia maisha.....
2)Hakikisha ndani hakukauki chakula.......
Hapa simaanishi ile misosi ya gharama au ya watu wazito kule masaki au oyster bay la hasha bali ni kile kinachoendana na mfuko kulingana na bajeti yako kwa wakati huo.......njaa haimpendezi mtu.....njaa inaweza kumfanya malaika kuwa shetani.....pambana Sana mtoto wa watu aisishinde njaa maana baada ya shibe ndio yanakuja mahaba......
3)MSHIBISHE KWENYE CHAKULA CHA USIKU.......
Hili halihitaji maelezo mengi maana ni suala pendwa na ndio tendo lilobeba maana nzima ya NDOA........hakikisha mdomo wa chini haulali njaaa......
Nawasilisha.......
Wahenga wanasema kuishi kwingi ni kuyaona mengi.....katika hayo mengi kuna mabaya yanayoumiza na kutufunza na kuna mazuri yanayofurahisha.......
Suala la NDOA limekuwa mwiba mchungu sana linalotatiza akili za vijana wengi sana.......kiasi kwamba baadhi ya vijana wameshakata tamaa na masuala ya ndoa na kuamua kuachana nayo.......
Katika kuishi kwangu kwingi na katika mengi niliyoyaona pia yamo yanayohusu masuala ya ndoa......
Kwenye masuala ya ndoa nimejifunza mambo kadhaa ambayo ningependa kuyaweka hapa kwa vijana ili kila mmoja kuufurahia muunganiko wao...kama ifuatavyo......
1)Oa mwanamke anayekupenda.....
Sote tunajua kuwa kiumbe mwanamke akikukabidhi moyo wake jinsi anavyokuwa mjinga mbele yako..... mapenzi yakishaujaza moyo wa mwanamke basi wewe ndio utakuwa dira yake..... mwanamke akikupenda na akaamua kuishi na wewe basi jua yuko radhi muishi maisha yoyote yale na wewe ili tu uwe kando yake......hakika utayafurahia maisha.....
2)Hakikisha ndani hakukauki chakula.......
Hapa simaanishi ile misosi ya gharama au ya watu wazito kule masaki au oyster bay la hasha bali ni kile kinachoendana na mfuko kulingana na bajeti yako kwa wakati huo.......njaa haimpendezi mtu.....njaa inaweza kumfanya malaika kuwa shetani.....pambana Sana mtoto wa watu aisishinde njaa maana baada ya shibe ndio yanakuja mahaba......
3)MSHIBISHE KWENYE CHAKULA CHA USIKU.......
Hili halihitaji maelezo mengi maana ni suala pendwa na ndio tendo lilobeba maana nzima ya NDOA........hakikisha mdomo wa chini haulali njaaa......
Nawasilisha.......