Duuuuuuh hatari kwa kweli lolWengi wanachukulia poa ila hayajawakuta... Kule mwembe mdogo kuna wahuni walivamia makazi ya mjeda wakaiba afu walipomaliza wakamtenda mke wake... Bahat mjeda alikuwa na cctv nyumbani... Ulipigwa msako mkali wakajikutwa kumbe ni boda boda... Waliuwawa kifo cha kinyama ili wenzao habari ziwafikie...
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Ehheeh ila niliona kuna humu aliandika uzi eti kujenga ni uoga wa maishaKuhama kimya kimya ngumu aisee, unamkwepa tu, unamwambia hali mbaya, atakupeleka Kwa Mjumbe ukifika huko unapewa Notice ya Mwezi au Miezi 3
Uhame
Afu niko mkoani kwakoUkijenga uniwekee kachumba kangu kabisa
Hehehe unafanya nini?Afu niko mkoani kwako
Hapana sio uoga, chukulia unaugua ghafla na una familia.Ehheeh ila niliona kuna humu aliandika uzi eti kujenga ni uoga wa maisha
Uhalifu kule unashamiri kwasababu ni rahisi mtu kupiga tukio na kupoteaDuuuuuuh hatari kwa kweli lol
Natania nyumba muhimu sanaHapana sio uoga, chukulia unaugua ghafla na una familia.
TZ pekee ndio kuna hii bahati ya kujenga maana umiliki wa ardhi ni rahisi... Wenzetu mpaka upate ardhi na ujenge si mchezo... Ila vile vile madon wengi wenye akili they prefer renting to own. Ila huku sisi tunapenda kujilipua kwa kujenga kwa hardly earned money.Ehheeh ila niliona kuna humu aliandika uzi eti kujenga ni uoga wa maisha
Wakome.Mkuu exactly... Walipigwa misumari kama Jesus as walimuingilia kinyume na maumbile mke wa mjeda...
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Goroka si mbagala huko....rangi tatu kwa chini?Kata ya Toangoma yote kwa ujumla wake ipo Manispaa Temeke
Ni kweli mkuu tena ni vitoto vitoto .....kila weekend vinaendaga mikadi,vinaenda vinapiga kelele barabara nzima.Mkuu mikad sio wakaz wa kigambon asilimia kubwa wanaojaza mikadi ni viumbe wa mbagala videm wanyoa viduku chupi minuko ndio wanajaa san huko ukitaka kuamin hilo nenda weknd angalia magar yao waliyokod yanatokea wap
Wastaafu.Kigamboni panamfaa kwanza mtu asiye na Mambo mengi uwe saa 1 usiku upo kwako nje ya Hapo uwe na usafiri wako. Gari za abiria zinakata saa mbili tu .
Mie toka chanika na sihami...Mimi Nina commute kutoka Kisarawe wala sitahama
Eti mutu na sarawili yake anapanga kigamboni halafu anazungumza "Nikishuka ferry kigamboni napanda daladala then nikishuka nachukua boda kwa buku...what!Ukiishi Kigamboni Wewe ni Mshamba ( Mbwiga ) tu sawa?
Kumebanana sana sanaTabata ndo sehemu nzuri ya kuishi, kuanzia aroma, shule, bima, barakuda, segerea,kinyerezi pako njema mno
mku yaani unashukia mbezi stendi ya mabasi halafu uanze safari ya kuitafita kimbiji bora kujenga maeneo ya Mbezi, kibamba, kiluvya au kibaha, huko kigamboni, Temeke, Mbagala, kisemvule na vikindu wacha wakae watu wa kusini ambapo ni rahisi kwenda kwao.Hiyo standy, kama unaitumia tu kurahisisha unapoenda mkoa, na siyo kibiashara inakupoteza,
Ni sawa kutegemea nyumba ya kupanga sababu tu, iko magomeni.
Kaa popote unapoona panaendana na shuguri zako za kiuchumi, kuna siku badala ya kufikilia kwenda mkoa na basi, utaona nafsi inakutuma kutafuta usafiri wa kwako.
Tuyajenge sasaKwa idhini ya Baba Bataringaya, sina pingamizi.
Tuyajenge sasa