cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah shost vipi tena?Acha uongo nawe una nyumba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah shost vipi tena?Acha uongo nawe una nyumba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Hali ya usalama ikoje huko? Sehemu zote zilizo pembeni ya jiji mimi huwa napenda mno kuishi lakini changamoto kubwa kwa Dar ni usalama.Mimi Nina commute kutoka Kisarawe wala sitahama
Sijajenga ndugu, nilikuwa nimepanga, hivyo naiita nyumba sababu nilikua naitunza kwa miezi 6Acha uongo nawe una nyumba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah shost vipi tena?
Sijajenga ndugu, nilikuwa nimepanga, hivyo naiita nyumba sababu nilikua naitunza kwa miezi 6
Bado kujenga labda hadi 2025 hukoAhaaa ulikuwa unanirusha rohoo eti sasa tunajenga wapi?
Zile foleni?Tabata ndo sehemu nzuri ya kuishi, kuanzia aroma, shule, bima, barakuda, segerea,kinyerezi pako njema mno
Kuna Watu wanacheka tu nilichokiandika kwakuwa wameshakariri kuwa ' sometimes ' nakuwa ' Comedian ' hapa JamiiForums, ila nilichokiandika nimekimaanisha na ni juzi juzi tu hapa Mkuu ' nimekoswakoswa ' huko Kigamboni isingekuwa Umahiri wangu wa Kutoka Baru ( Kukimbia ) leo yangenikuta. Huko hakuna Usalama kabisa wala msidanganywe ukiona uko huko na imefika Saa 12 Jioni anza kuitafuta njia ya Kuondokea.U spoke my mind... Kigamboni kuna uhalifu si wa kitoto... Wahuni wanajificha Kimbiji huko
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Anza wewe kutusi...Si atokee mtu awatukane mlojenga [emoji23]
Wengi wanachukulia poa ila hayajawakuta... Kule mwembe mdogo kuna wahuni walivamia makazi ya mjeda wakaiba afu walipomaliza wakamtenda mke wake... Bahat mjeda alikuwa na cctv nyumbani... Ulipigwa msako mkali wakajikutwa kumbe ni boda boda... Waliuwawa kifo cha kinyama ili wenzao habari ziwafikie...Kuna Watu wanacheka tu nilichokiandika kwakuwa wameshakariri kuwa ' sometimes ' nakuwa ' Comedian ' hapa JamiiForums, ila nilichokiandika nimekimaanisha na ni juzi juzi tu hapa Mkuu ' nimekoswakoswa ' huko Kigamboni isingekuwa Umahiri wangu wa Kutoka Baru ( Kukimbia ) leo yangenikuta. Huko hakuna Usalama kabisa wala msidanganywe ukiona uko huko na imefika Saa 12 Jioni anza kuitafuta njia ya Kuondokea.
Kweli mkuu wengi wanatokea tandika , mbagala na gongolamboto wanakuwa wamekodi coster . Na hao vijana wanakuwa na fujo Sana. Ila jamani mikadi watu washaa achaga kulana kimasihara kwenye vile vibandaMkuu mikad sio wakaz wa kigambon asilimia kubwa wanaojaza mikadi ni viumbe wa mbagala videm wanyoa viduku chupi minuko ndio wanajaa san huko ukitaka kuamin hilo nenda weknd angalia magar yao waliyokod yanatokea wap
Aisee!Kwa dar temeke ndio ipo nyuma sana kimaendeleo kulinganisha na manispaa nyingine za dar
Nimejenga kwetu mkoani jaman, [emoji23][emoji23][emoji23]We nyumba umejenga wapi?
Tupeane mbinu za kumkwepa mwenye nyumba na kuhama kimyaa kimyaaAnza wewe kutusi...
Mi aliyejenga namheshimu maana ana uhakika wa sehemu ya kuishi hata maisha yakimgonga vipi hasumbuliwi na mtu, sisi wengine mambo yakiwa mabaya twamkwepa mwenye nyumba yake
Bora ulivoishia kinyerezi, jaman malamba mawili daah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tabata ndo sehemu nzuri ya kuishi, kuanzia aroma, shule, bima, barakuda, segerea,kinyerezi pako njema mno
Ukijenga uniwekee kachumba kangu kabisaBado kujenga labda hadi 2025 huko
Kuhama kimya kimya ngumu aisee, unamkwepa tu, unamwambia hali mbaya, atakupeleka Kwa Mjumbe ukifika huko unapewa Notice ya Mwezi au Miezi 3Tupeane mbinu za kumkwepa mwenye nyumba na kuhama kimyaa kimyaa