Vijana wengi Kigamboni wanafanyakazi bandari na wizara za hapo mjini, haizidi nusu saa kufika hapo. Halafu gari kama Passo ni 1,500 tu.Lakini kama unafanya kazi na ofisi zenu zipo Ilala & Kinondoni Temeke ama Posta basi utabana matumizi kama utaishi Kigamboni sababu mafuta ya kufika kazini ni kidogo, hakuna foleni pia utaamka saa 1 kamili ndiyo unaaza safari.
hiyo hela ya kivuko itajikata humo humo compared kama utaishi Bunju ama Mbweni, Tageta kuamuka saa 11 alfajiri kila siku na ku-drive zaidi ya km 30.
Poa Kasie, karibu Kg huku IST,Vanguard na wenzie zinalala nje hamna habari za kuibiwa power window kama huko uzunguni kwenuMambo Mbwiga 😜😅😅
Karibu tule Halua 😋😋😋.
Bataringaya, kuna habari njema nataka nikwambie.
Inawezekana manake nilichokiona pale kilikuwa cha kipekee.hivyo vikundi ni wakuja kama wewe, wanakuja siku za sikukuu kuwakomesha watu kama nyinyi.
Mi nna shamba hapo Dondwe kwa mbele panaitwa Mamndi Mpera njia nneMkuu wewe ni jirani yangu. Karibu Dondwe.
Kigamboni tuwaachie wenyewe.
Duh kwa hiyo wanaishi kama wapo BukavuUkitaka mwisho wako wa Kutembea kutokana na Vibaka na Majambazi kuwa wengi na Kula Kwako Bata ( Kustarehe ) kuwe ni Saa 12 Jioni, basi kaishi Kigamboni.
Poa Kasie, karibu Kg huku IST,Vanguard na wenzie zinalala nje hamna habari za kuibiwa power window kama huko uzunguni kwenu
Lakini kama unafanya kazi na ofisi zenu zipo Ilala & Kinondoni Temeke ama Posta basi utabana matumizi kama utaishi Kigamboni sababu mafuta ya kufika kazini ni kidogo, hakuna foleni pia utaamka saa 1 kamili ndiyo unaaza safari.
hiyo hela ya kivuko itajikata humo humo compared kama utaishi Bunju ama Mbweni, Tageta kuamuka saa 11 alfajiri kila siku na ku-drive zaidi ya km 30.
Karibu sana hio address usiiuze....na zama hizi Dege eco village inamaliziwa tunasogea maeneo hayo kudaka fursa tunaacha wengine wachangamshe vidole kwenye keyboard.Ntakuja vile napenda kula, niandalie jiko la kuchoma/babakyu 😜.
Nna kiwi ya kuchoma choma sea food. Kuanzia pweza ngisi kaa changu kibua kolekole and the team...😋😋😋
Nakuja na kapu langu la sea food toka feri.
Nna P.O. Box huko ila sijarasimisha....
Tukimaliza choma choma tutaenda kupunga upepo, pana vivuli vizuriii usiposinzia basi una upungufu wa usingizi mwilini 😅.
Haha haha mkuu usipende kuwaambia ukweli watauza viwanja vyaoUkiishi Kigamboni Wewe ni Mshamba ( Mbwiga ) tu sawa?
Juzi tu hapa ' nimekoswakoswa ' huko.Probably mara ya mwisho ulitembelea Kigamboni mwaka 2008 .
Uswahilini sana hukoJaamaaaniiiiiiiiii
Kigamboninoooooooo........[emoji2957]
Mtu anaishi Kigamboni anajiona Mjanja.Haha haha mkuu usipende kuwaambia ukweli watauza viwanja vyao
Daraja la kigamboni linaelekea mji gani mbona kuna daraja pamoja na kivuko?Yan mm ndo nafikiria kuhama huku kigamboni nihamie tegeta nyuki maana stress za kuvuka na ma panton haya imenishinda aiseehh. sometimes bora folen kulko ule ujinga wa kuvuka maji
Afu wanakuja kula bata pande zetu mainlandMtu anaishi Kigamboni anajiona Mjanja.
Itarudi baada ya muda gani, maana hata tozo ikipungua ghalama za mradi zitarudi tuBei itapungua au tozo kitolewa kabisa. Fedha ya ujenzi wa mradi ikirudi. Be patient
Ila ni kuzuri kwelikweli asikwambie mtu ...I love that placeShida kweli kweli na ma gharama yani ina maana wewe kuvuka itakulazimu upoteze 90-100K per months kwenda na kurudi kwako! Huu ujinga ndio unanifanya kigamboni sitaki hata kupasikia
Ngoja hela za watu zirud ndo watapunguza beiTuwaombe mamlaka husika wapunguze bei ya kivuko cha daraja, haiwezekani bei iwe sawa na bantoni. Bei ikipungua, wengi tutashawishika kuja kuishi huko
Kuna mda fulani nilikaa apartment zile zinazotazamana na chadibwa beach yale maji ya chumvi chumvi yaliniboa sana😅😅Shida ni hayo maji ya chumvi. Ukioga unapauka unatoka na magamba kabisa kama msukule.