scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Sisi jioni ndo ulikuwa mda wa adhabu kama mchana walileta mambo sio,adhabu zilikuwa ni fimbo na wale wanaokimbia haraka kwenye mashamba tuliwapiga midomo tukisema waache uchoyo,sema ulikuwa utotoHawa mbuzi wanakera wakianza kulia mfano hakuna kumbuka hapo umewapa chakula na tumbo zipo kama pipa lakin hizo kelele mfano hakuna.
Basi enzi hizo tukiwa wadogo tukiona kelele zimezidi tunakoroga pilipili kichaa tuna wanywesha halafu mbio maana ni msala.
Wanabaki kusugua midomo kwenye ukuta na kelele kuzidi au mmoja anakamata kichwa mwingine anachapa makalio
Ila utoto Mungu atusamehe.
utoto miaka hiyo 🙌🙌🙌🙌😅😅😅😅😅Sisi jioni ndo ulikuwa mda wa adhabu kama mchana walileta mambo sio,adhabu zilikuwa ni fimbo na wale wanaokimbia haraka kwenye mashamba tuliwapiga midomo tukisema waache uchoyo,sema ulikuwa utoto
Mbuzi ni burudani kwakweli wana vituko sana 😂 😂 😂 😂ukiwa unafagia banda lao kama ni mwanamke na kuna beberu humo bandani usimgeuzie makalio achelew kuyanusa na kukupanda
Kwangu wameparamia ukuta mpaka umechongoka umeisha matofali ma nne😂😂😂Huyu yeye anakagua ujenzi hapa anapima ubora wa dirisha
View attachment 2939106
🤣🤣🤣😂Wanapenda mazao ya watu utasema wanajua kulima. Niliwahi kumpiga mmoja ñusura nimuue baada ya kuwaongoza wenzake kula mazao nikapigwa halafu ile nimekaa nasikilizia maumivu kakaja kakanipigia chafya usoni
Mlitia mbuzi nyie wajuba💔visa ninavyo vingi maana tumewachunga sana utotoni na sasa hivi nina mradi wao pia
niseme kwa dhati mbuzi wametusaidia sana kipindi cha barehe . ikatokea siku moja mbuzi wetu kipenzi wa kwa jirani walikuja wageni basi ikabidi achinjwe sasa kabla hajajichwa kijana wa pale akatimka mbio kuja kutupasha habar kuwa mke wetu anachinjwa acha twende tukaanze kulia pale kwenye huo mji tulikuwa wa3 wote tunalia hadi wageni wakasituka wakiuliza sababu tunawaambia chinjeni mwingine ila huyu hapana 😂 😂 😂
hakuchinjwa ila walikuja kujua badae my wetu akauzwa😢😢💔💔
Kaka mbali na dhambi zangu nyingi zisizomithirika ila haiondoi ukweli kuwa siwezi kuuza wala kula kibudu dini hainiruhusuHali ilivyokua mbaya si bora mngewachinja mngeuza nyama
Mbuzi ukiwafungulia tu, ukimaliza kufunga zizi wanakuwa wapo km 1 mbele unaanza mbio 😀Kuwafuga hawa wanyama inahitaji uvumilivu wa Hali ya juu na upendo uliotukuka vinginevyo utakuwa unavunja mguu wa mbuzi kila sku.
Wana visirani na viburi sijawahi ona.
Picha linaanza akikata kamba aisee atakupigisha tizi moja sio ya nchi hii na ukimkamata ukaanza kumvuta na kamba yake anaamua kuzingua tuu yaani, anagoma kabisa na anaamua kukaa huku amenyanyua kichwa juu na amekuangalia Kwa kibri kana Kwanba huna la kumfanya.
Humo kwenye Banda usiku wanaweza amua kuanza kuzichapa Tu yaan , ni mnyukano na makelele usiku mzima. usishangae kuwakuta wote wamejifunga kamba kama wanataka kujinyonga.
Na kama kuna shamba Fulani wamezoea kuharibu aisee ukiwafungulia tuu asubuhi ni mwendo wa Usain bolt, mchungaji lazima utepete.
Kama Una miadi ya kuonana na demu usiingie kwenye Banda la mbuzi Kwanza maana ni full kunuka kibeberu.
Wachunga mbuzi wengi huwa dishi limeyumba kidogo maana ni mwendo wa kupigishwa jogging non stop, kama unaamini una huruma Sana na upendo basi fuga hawa wanyama, vinginevyo unatutania.
View attachment 2612382
View attachment 2612275
View attachment 2612810
View attachment 2688995
Dada kumchinja mnyama unayemfuga inauma sana tena sana ni bora nimuuze ila sio kumchinja sitalala kwa maumivu yake nduguKabla hawajafa ungewachinya, kabla hajafa sio kibudu, wafugaji wenzio hufanya hivi ili kupunguza hasara, halafu Mimi ni dada
Nao wana hisia mkuu.Nishawah kulea kamoja mama yake alikufa
Kila napoenda kako miguun nikienda dukan ananifata nikimuacha nikamfungia analia balaaa
Nikilala anakuja kuniamsha
Nilikuwa namnywesha maziwa na kumuogesha nilimpenda sana alivyojua akachukuliwa
tena kondoo hapigagi kelele kabisa unajipimia tu. utotoni tena hatukuwaza kabisaaMlitia mbuzi nyie wajuba💔
🏃♂️🏃♂️🏃♂️tena kondoo hapigagi kelele kabisa unajipimia tu. utotoni tena hatukuwaza kabisaa
🤣🤣Kuna baba anafuga ukimkuta anaongea nao Sasa 😀unaweza sema amechizikaMbuzi ukiwafungulia tu, ukimaliza kufunga zizi wanakuwa wapo km 1 mbele unaanza mbio 😀
[emoji23][emoji23][emoji23]ngoja nianzie mwanzo kusomaHuu uzi unaweza cheka hadi ukalia..