Ukitaka kujipima kama una upendo wa kweli na uvumilivu basi fuga mbuzi wa kienyeji

Ukitaka kujipima kama una upendo wa kweli na uvumilivu basi fuga mbuzi wa kienyeji

Hawa mbuzi wanakera wakianza kulia mfano hakuna kumbuka hapo umewapa chakula na tumbo zipo kama pipa lakin hizo kelele mfano hakuna.

Basi enzi hizo tukiwa wadogo tukiona kelele zimezidi tunakoroga pilipili kichaa tuna wanywesha halafu mbio maana ni msala.

Wanabaki kusugua midomo kwenye ukuta na kelele kuzidi au mmoja anakamata kichwa mwingine anachapa makalio
Ila utoto Mungu atusamehe.
Sisi jioni ndo ulikuwa mda wa adhabu kama mchana walileta mambo sio,adhabu zilikuwa ni fimbo na wale wanaokimbia haraka kwenye mashamba tuliwapiga midomo tukisema waache uchoyo,sema ulikuwa utoto
 
Sisi jioni ndo ulikuwa mda wa adhabu kama mchana walileta mambo sio,adhabu zilikuwa ni fimbo na wale wanaokimbia haraka kwenye mashamba tuliwapiga midomo tukisema waache uchoyo,sema ulikuwa utoto
utoto miaka hiyo 🙌🙌🙌🙌😅😅😅😅😅
bibi akikuudhi una deal na mbuzi zake
unawafanya wapige kelele zitakazo muamsha huko alikojipumzikia
unajificha pembeni kumchora unasikia anajiseme nimewapa majani mnalia nn
kumbe washapewa pilipili🤣🤣🤣 ilimradi tafrani
 
visa ninavyo vingi maana tumewachunga sana utotoni na sasa hivi nina mradi wao pia

niseme kwa dhati mbuzi wametusaidia sana kipindi cha barehe . ikatokea siku moja mbuzi wetu kipenzi wa kwa jirani walikuja wageni basi ikabidi achinjwe sasa kabla hajajichwa kijana wa pale akatimka mbio kuja kutupasha habar kuwa mke wetu anachinjwa acha twende tukaanze kulia pale kwenye huo mji tulikuwa wa3 wote tunalia hadi wageni wakasituka wakiuliza sababu tunawaambia chinjeni mwingine ila huyu hapana 😂 😂 😂

hakuchinjwa ila walikuja kujua badae my wetu akauzwa😢😢💔💔
 
Mbuzi ukiwa unamchunga ghafla ianze kunyesha mvua wakimbilie vichakani ukiwatoa humo wewe ni mwanaume utapiga fimbo anajikunyata tu kuzunguka humohumo wakiona umewapiga sana wana hama kichaka yaani mpaka useme imetosha sasa
 
visa ninavyo vingi maana tumewachunga sana utotoni na sasa hivi nina mradi wao pia

niseme kwa dhati mbuzi wametusaidia sana kipindi cha barehe . ikatokea siku moja mbuzi wetu kipenzi wa kwa jirani walikuja wageni basi ikabidi achinjwe sasa kabla hajajichwa kijana wa pale akatimka mbio kuja kutupasha habar kuwa mke wetu anachinjwa acha twende tukaanze kulia pale kwenye huo mji tulikuwa wa3 wote tunalia hadi wageni wakasituka wakiuliza sababu tunawaambia chinjeni mwingine ila huyu hapana 😂 😂 😂

hakuchinjwa ila walikuja kujua badae my wetu akauzwa😢😢💔💔
Mlitia mbuzi nyie wajuba💔
 
Kuwafuga hawa wanyama inahitaji uvumilivu wa Hali ya juu na upendo uliotukuka vinginevyo utakuwa unavunja mguu wa mbuzi kila sku.

Wana visirani na viburi sijawahi ona.

Picha linaanza akikata kamba aisee atakupigisha tizi moja sio ya nchi hii na ukimkamata ukaanza kumvuta na kamba yake anaamua kuzingua tuu yaani, anagoma kabisa na anaamua kukaa huku amenyanyua kichwa juu na amekuangalia Kwa kibri kana Kwanba huna la kumfanya.

Humo kwenye Banda usiku wanaweza amua kuanza kuzichapa Tu yaan , ni mnyukano na makelele usiku mzima. usishangae kuwakuta wote wamejifunga kamba kama wanataka kujinyonga.

Na kama kuna shamba Fulani wamezoea kuharibu aisee ukiwafungulia tuu asubuhi ni mwendo wa Usain bolt, mchungaji lazima utepete.

Kama Una miadi ya kuonana na demu usiingie kwenye Banda la mbuzi Kwanza maana ni full kunuka kibeberu.

Wachunga mbuzi wengi huwa dishi limeyumba kidogo maana ni mwendo wa kupigishwa jogging non stop, kama unaamini una huruma Sana na upendo basi fuga hawa wanyama, vinginevyo unatutania.

View attachment 2612382


View attachment 2612275


View attachment 2612810

View attachment 2688995
Mbuzi ukiwafungulia tu, ukimaliza kufunga zizi wanakuwa wapo km 1 mbele unaanza mbio 😀
 
Nishawah kulea kamoja mama yake alikufa
Kila napoenda kako miguun nikienda dukan ananifata nikimuacha nikamfungia analia balaaa
Nikilala anakuja kuniamsha
Nilikuwa namnywesha maziwa na kumuogesha nilimpenda sana alivyojua akachukuliwa
Nao wana hisia mkuu.
 
Ukipata muda nenda jamii ya wafugaji hasa wamasai.. kule bhna mbuzi anaishi kwa protocol ya hali ya juu sijawahi ona, Yani mpaka muda wa kukamuliwa maziwa mbuzi anajua, na ukichelewa ni kelele mfululizo.
Zaidi ya yote wale jamaa wanapenda mifugo yao sana mpaka mbuzi mwenyewe anajua kuwa anapendwa
 
Back
Top Bottom