Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma comments. Huwezi amini nime bookmark huu uzi. Nikiwa na stress naufungua.😂😂😂
Niliupitia tu juu juu ngoja nikae nitulieSoma comments. Huwezi amini nime bookmark huu uzi. Nikiwa na stress naufungua.
Mbuzi watakufundisha roho mbayaaaSasa jamaa yangu kwao kulikua na mbuzi kama kumi hivi weekend nilikua nampitia tunakwenda wote kuchunga, badala ya kuwafunga.
Sasa sehemu ya malisho kulikua na mto ambao tulikua tunaogelea sasa tukifika ilikua mbuzi wanaendea haki, tunawatembezea stiki mixer kuwazamisha kwenye maji tuone wanavoogelea.
😄😄
Mbuzi watakufundisha roho mbayaaa
Hahahahaha pole sana..mie mbuzi aliwahi ni vunja mguuAisee hawa viumbe wasumbufu!!!!!
Nakumbka dadang alipata mgawo wa urith wa mbuz.....
Kila siku jion nkaw nampelek malishon, huyo mbuz alikuw ananguv ya ajabu siku hiyo nikajichangany kujifunga kamb yake kiunoni ghafla si akaanza mbio. Nilinusurk kuumia maan ile kamb ilikwam kweny kisik baad ya kuniburuz kwa umbal mfup[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24]
Nawafugia Shungubweni kwa Mkanada.Unawafugia shamba la Mangapwani au Fumba?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wapuuzi sana hao viumbe.
Unaipa pole maiti😂😂😂😂Na ujasiri mlikuwa nao 😂
Mie hata kuua mjusi nilikuwa siwezi
Sahivi nikipiga mdudu akafa nampa na pole
[emoji1787][emoji1787]wana elements za unyumbuMimi nimewafuga sana. Wanavituko balaa. Tuseme mlangoni kwenye banda umeweka kijiti horizontal kama nusu mita hivi ukawaachia watoke watakiruka. Halafu ukikiondoa hicho kijiti wengine wanafuata wataendelea kuruka tu
Hahaaaaa, mzee wangu alikuwa anafuga. Ile nimemaliza form six, nikawa nawafungilia nawapeleka sehemu. Kuna mmoja huwaga anasumbua. Hata mzee huwa anamsumbua sana.Ninao kama 60 hawa Nala, Dodoma Mbuzi ni mchafu, msumbufu, mkeraji, ana sura mbaya anaweza kukufanyia jambo ukataka kumdunda akaleta majonjo ya kuudhi mara mbili ukapiga akafa
Hahaaaa kweli hii soundJamaa umetupanga hapa!!
Yaani jike alikuwa kama yule marehemu wa Mgodini?
Hadi roba jmn [emoji23][emoji23]Hahaaaaa, mzee wangu alikuwa anafuga. Ile nimemaliza form six, nikawa nawafungilia nawapeleka sehemu. Kuna mmoja huwaga anasumbua. Hata mzee huwa anamsumbua sana.
Siku 1 nawafungulia kanitoroka huku ameniburuza mkono ukutani kwani nilikuwa namfunga kamba. Nikachubuka na kutoka damu mkononi. Nikawa namfuata nimrudishe, akakimbia kama Kilomita 3 huku namfukuza. Akawa anakula vitu vya watu huku anakimbia
Hahaaaaa, nilipomshika huko mbali, nilimpiga hadi wapita njia wakaja mtetea. Kule kijijini wengi hawanijui ila kwa kuwa nimefanana na mzee na wanajua mbuzi za mzee. Wakawa wanamwambia mzee, yule mtoto wako mmoja mwanajeshi America sana mbuzi. Yaani nilimtandika mateke, magumi, vichwa, nilimpiga roba, vipepsi, makofi hadi kumng'ata masikio.