Ukitaka kujipima kama una upendo wa kweli na uvumilivu basi fuga mbuzi wa kienyeji

Ukitaka kujipima kama una upendo wa kweli na uvumilivu basi fuga mbuzi wa kienyeji

Hawa mbuzi wanakera wakianza kulia mfano hakuna kumbuka hapo umewapa chakula na tumbo zipo kama pipa lakin hizo kelele mfano hakuna
Basi enzi hizo tukiwa wadogo tukiona kelele zimezidi tunakoroga pilipili kichaa tuna wanywesha alafu mbio maana ni msala
wanabaki kusugua midomo kwenye ukuta na kelele kuzidi
Au mmoja anakamata kichwa mwingine anachapa makalio
Ila utoto mungu atusamehe
Aisee we ushtakiwe kwa kunyanyasa wanyama [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my CPH2357 using JamiiForums mobile app
 
Wangu siwafungi kamba, nimewaachia wanazunguka weee wakichoka wanarudi wenyewe bandani kwao.

Wamenilia eka mbili za pilipili hao.

Nawapenda sana, tena, ukitaka ugomvi na mimi wachape au wakaripie mbuzi wangu. Ni wanyama wanaopenda sana watu. Asubuhi wakiamka lazima waje nyumbani kwangu kunisalimia, hawaondoki mpaka nitoke ndani, na banda lao lipo kama mita 250 kutoka kwangu.

Mmoja wao akizaa lazima aniletee mtoto/watoto nimuone na atakuwa haondoki nje kwangu mpaka zipite wiki mbili. Anabaki na mtoto wake nje kwangu, hafatani kabisa na wenzake.
 
Wangu siwafungi kamba, nimewaachia wanazunguka weee wakichoka wanarudi wenyewe bandani kwao.

Wamenilia eka mbili za pilipili hao.

Nawapenda sana, tena, ukitaka ugomvi na mimi wachape au wakaripie mbuzi wangu. Ni wanyama wanaopenda sana watu. Asubuhi wakiamka lazima waje nyumbani kwangu kunisalimia, hawaondoki mpaka nitoke ndani, na banda lao lipo kama mita 250 kutoka kwangu.

Mmoja wao akizaa lazima aniletee mtoto/watoto nimuone na atakuwa haondoki nje kwangu mpaka zipite wiki mbili. Anabaki na mtoto wake nje kwangu, hafatani kabisa na wenzake.
Unawafugia shamba la Mangapwani au Fumba?
 
Aisee hawa viumbe wasumbufu!!!!!
Nakumbka dadang alipata mgawo wa urith wa mbuz.....

Kila siku jion nkaw nampelek malishon, huyo mbuz alikuw ananguv ya ajabu siku hiyo nikajichangany kujifunga kamb yake kiunoni ghafla si akaanza mbio. Nilinusurk kuumia maan ile kamb ilikwam kweny kisik baad ya kuniburuz kwa umbal mfup[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom