Na ni watu wazima hawa na ndio wanarudisha nyuma juhudi za waelevu wachache, ila wabishi balaa huko vijiweni.Jamaa alikua anauliza watu swali
Unawazungumziaje watu wanao muworship mungu bila uoga wowote?
Majibu ya wa Tz
1. Wanao muworship Mungu bila uoga wowote wanakosea sana Mungu siyo wa kumfanyia mchezo.
2. Mimi nawashauri wanao muworship Mungu watubu dhambi zao na waache kumuworship.
3. Kama umewahi kumuworship Mungu tubu mapema na uache tabia hiyo kabla hujafa.
Shida yetu wa Tz huwa hatupendagi kuuliza kitu kama hatujaelewa ndo maana hata shule mwalimu anafundisha hatuelewi na akiuliza nani hajaelewa hatunyooshi mkono kuonyesha kuwa hatujaelewa matokeo yake tunajibu kibishi huku hatuelewi tunajibu nini
Ahsante sana Mkuu hii ndo point yangu sasa kwa wale ambao walikua hawajaelewa kwa kusema napiga promo.Huyu jamaa anaiumbua sana Serkali, anaonyesha ni kwa namna gani hizi Fofoho zinazopambaniwa sana ni vichwa wazi na ndizo zinaongoza baadhi ya majimbo, majeshini na ndio wapiga kura hawa hawajui hata Oxygen ni nini watu kama hawa hatawezaje kudai Gas ya Mtwara.
Achana nao wajinga ni wengi😁Ahsante sana Mkuu hii ndo point yangu sasa kwa wale ambao walikua hawajaelewa kwa kusema napiga promo.
Sana mkuuNchi ngumu hii😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Barakoa na bara la afrika lipi ni bara kubwa, mwamba alijibu barakoa. [emoji23]
Ndugu zako hao wa tandika 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naunga mkono hojaUmasikini na Maradhi angalau japo hali hairidhishi ila Ujinga bado sanaaaaa, sijui huu ufaulu unaopanda kila siku unapanda vilele vya ubwege au lah..
Si mara zote wanaiba kura ila hii nchi ina % kubwa ya wananchi wajinga haswa na huu ndo mtaji wa Sisiemu.
Alooh hii ni mi5 tena kama asemavyo Zuchu.
View attachment 3116841
Kuna ujinga mwingi sana huku @bambalivetz.
Kumbuka hawa wanataka hivo clip za kipumbavu ambazo wewe ndio utafurahia zote za wajanja wanakataUmasikini na Maradhi angalau japo hali hairidhishi ila Ujinga bado sanaaaaa, sijui huu ufaulu unaopanda kila siku unapanda vilele vya ubwege au lah..
Si mara zote wanaiba kura ila hii nchi ina % kubwa ya wananchi wajinga haswa na huu ndo mtaji wa Sisiemu.
Alooh hii ni mi5 tena kama asemavyo Zuchu.
View attachment 3116841
Kuna ujinga mwingi sana huku @bambalivetz.
Burudani tu hiziUmasikini na Maradhi angalau japo hali hairidhishi ila Ujinga bado sanaaaaa, sijui huu ufaulu unaopanda kila siku unapanda vilele vya ubwege au lah..
Si mara zote wanaiba kura ila hii nchi ina % kubwa ya wananchi wajinga haswa na huu ndo mtaji wa Sisiemu.
Alooh hii ni mi5 tena kama asemavyo Zuchu.
View attachment 3116841
Kuna ujinga mwingi sana huku @bambalivetz.