Ukitaka kujua kina cha maji tia mguu kwanza Israel walikutana na kitu kizito haswa

Ukitaka kujua kina cha maji tia mguu kwanza Israel walikutana na kitu kizito haswa

Jamaa anakukaanga mpaka kwenye kitabu chenu takatifu kaka ebu nawe mkaange kwenye biblia yao. Papa ni kiongozi wa kanisa la roma sio ukristo
Kitabu kipi kitukufu kaleta huyo bi mkubwa.?
Ana copy na ku paste utopolo kisha analazimisha ati kitabu cha kwetu
We unaweza kubishana na muimba mchiriku ukamshinda?

Anatakiwa alete maandiko km haya.

Bwana Yesu anasema ktk

LUKA 19:27

Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa MWACHINJE mbele yangu.

Na Akahimiza ktk

MATHAYO 10:34 Kuwa " Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali UPANGA. Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake.

Na akatoa AMRI kwa wafuasi wake wote kwenye

LUKA 22:36
Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na UPANGA, na auze joho lake AKANUNUE UPANGA.

Kwahio KUUA KWA UPANGA NA KUCHINJANA ni MAFUNZO YA BIBLIA.

Sasa mwambie alete vitu MUBASHARA km Hivi .
Sio kuandika namba za mistari na kukopi YouTube video za wahindi .
 
Endelea kutikisa makalio nyuma ya keyboard huku ndugu zako katika imaani wanalaani viongozi wa Hamas.

View: https://youtube.com/shorts/kfsPPvA8nLE?si=ji8C1_wkpb03kXco
😄 Hebu nionyeshe nani anaye lani Hamasi, usituletee watu wengine tuletee watu wa Gaza.

We umeona jana Tel Aviv ilivyo vurugwa au bado unagaragara kwenye mashamba ya maboga

Afu subiri karibu utakosa net ya kutumia Yemen akisha amua


View: https://youtube.com/shorts/8bPQjTEo8O4?si=uZmBt3XGxNcbCeZf
 
Hujaona mpalestina anavyolalamika kuhusu hali mbaya ya Gaza iliyosababishwa na ugaidi wa hamas?!
Unaleta ushabiki wa nyuma ya keyboard
We tuletee hio video tuone kelele nyingi za nini, kwa hio kule Tel Aviv huwa huoni wa Israel wakilalamika Natanyahu kawaletea balaa 😄

We subiri Yemen amtengeneze US huko Red Sea afu awakatieni cable ndo mtamfahamu Yemen ni nani.

Huko Gaza Ayeshi 250 imechafua Ramon Airport we lalia msusa tu 😄
 
Kwahiyo yote aliyoyacopy na kukuletea sio story za uzinzi na ujinga wa mudi kwa mazombi wake. Kwangu mi be kile kitabu siwezi gusa ni najisi nikiona tu ile miandishi naona ni ugaidi tu
Kitabu kipi kitukufu kaleta huyo bi mkubwa.?
Ana copy na ku paste utopolo kisha analazimisha ati kitabu cha kwetu
We unaweza kubishana na muimba mchiriku ukamshinda?

Anatakiwa alete maandiko km haya.

Bwana Yesu anasema ktk

LUKA 19:27

Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa MWACHINJE mbele yangu.

Na Akahimiza ktk

MATHAYO 10:34 Kuwa " Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali UPANGA. Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake.

Na akatoa AMRI kwa wafuasi wake wote kwenye

LUKA 22:36
Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na UPANGA, na auze joho lake AKANUNUE UPANGA.

Kwahio KUUA KWA UPANGA NA KUCHINJANA ni MAFUNZO YA BIBLIA.

Sasa mwambie alete vitu MUBASHARA km Hivi .
Sio kuandika namba za mistari na kukopi YouTube video za wahindkwani
 
The majority of the hundreds of kilometres of tunnels dug under #Gaza by Hamas remain untouched and difficult to access for the #Israeli military.⁠
.⁠
As the war on Gaza nears the end of its fourth month, the Israeli military has managed to damage or render inoperable an estimated 20-40 percent of the vast underground network, according to a Wall Street Journal (WSJ) report quoting multiple unnamed #US officials.⁠
.⁠
This is while #Israel has so far tried a variety of methods to clear the tunnels, including flooding them with water – ignoring concerns about the impact on Gaza’s freshwater supplies and above-ground infrastructure.⁠
.⁠
US officials reportedly say Israel would need many more troops to clear the rest of the tunnels, which also hold Hamas leaders and captives.⁠
.⁠View attachment 2886350
We upo nchi gani bro! Jana makomando wa Israel, wakiwa wamevalia kama manesi, madokta, na, mashekh, walivamia hospitari na kuua magaidi watatu
 
We upo nchi gani bro! Jana makomando wa Israel, wakiwa wamevalia kama manesi, madokta, na, mashekh, walivamia hospitari na kuua magaidi watatu
Jina lako peke yake limekuponza.
Waisraeli hata wakibaka lzm utawaita kwa sifa nzuri.
Wapi umewahi kusikia Gaidi anafanya kazi hospital.
Na ukiulizwa ulete ushahidi kuwa wale waliouawa ni magaidi utasema Neta nyau kasema.

Yaani nyie viumbe ni bure kabisa. Akili kuambiwa

Naapa kabisa Waisraeli wakileta MAVI YA NGURUWE wakasema "Huu ni MKATE wa Baraka kutoka Israel na ukila unaenda Mbinguni. Tunauza Bakuli Laki 2.
mtagombania hayo mavi hatari

Hata ikija meli nzima mtamaliza

Si tumeona hapo uwanja wa Taifa! Mmeuziwa Mchanga wa Mbagala Kijiko Buku.
Mmemaliza Lori 5 siku 1 tu .


Ugalatia ni mtihani mkubwa sana.
 
out o
We upo nchi gani bro! Jana makomando wa Israel, wakiwa wamevalia kama manesi, madokta, na, mashekh, walivamia hospitari na kuua magaidi watatu
out of matter...cheap mind
 
Bi chaupele, hii tabia ya kurudia utumbo ule ule
waungwana wa JF wamekupa jina.
Umeliona. 🤣🤣.

Imebidi nikuonee huruma aisee.
Dah..
Watu wabaya sana humu.
Naona mmeamua kuniundia kundi kabisa la kujibu hoja zangu basi vizuri mje wote pamoja na hao bwana zako ila Sijaona mahali mtu akinipa hilo jina labda tu unakereketwa na daawa zangu unaniota sana
Pole sana afande wa zenji
 
Naona mmeamua kuniundia kundi kabisa la kujibu hoja zangu basi vizuri mje wote pamoja na hao bwana zako ila Sijaona mahali mtu akinipa hilo jina labda tu unakereketwa na daawa zangu unaniota sana
Pole sana afande wa zenji
🤣🤣🤣
 
Israel kafunga virago Gaza kakimbia mpa kawacha silaha zilizo kuwa zikitumika kuvunja majumba.

Siwalijidai hawasi.amishi vita mpa Hamasi amalizwe, walienda wapigia magoti Qatar na Egypt ili Hamasi asimamishe vita, kwa furaha mpaa wamesagau kubeba silaha zao 😄


View: https://youtu.be/hS0oeIac5QA?si=lozWpYYDVoLTIWFr

Wanagaza wamekesha usiku kucha kusubiria israel ikubali maombi yao na mapendekezo na israel katosa ceasefire hakuna ni fire juu ya fire neta hii trip hacheki na kima
 
Back
Top Bottom