Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao watoto wakikua wanageuka magaidi lazima wale kichapotutapost free yemen kama wanauliwa watoto na wanawake tu na sio wanaofanya bahari isipitike,piga Houth na Hamas sio wasio na hatia
Israel kafunga virago Gaza kakimbia mpa kawacha silaha zilizo kuwa zikitumika kuvunja majumba.
Siwalijidai hawasi.amishi vita mpa Hamasi amalizwe, walienda wapigia magoti Qatar na Egypt ili Hamasi asimamishe vita, kwa furaha mpaa wamesagau kubeba silaha zao 😄
View: https://youtu.be/hS0oeIac5QA?si=lozWpYYDVoLTIWFr
Allah ndiyo hivyo😂 na hii Dua ambayo kwa miaka 1,400 mmekuwa mkimuomba Shetani wenu ALLAH imewafikisha wapi?
View: https://x.com/TheHarrisSultan/status/1751946246728860122?s=20
Israel kafunga virago Gaza kakimbia mpa kawacha silaha zilizo kuwa zikitumika kuvunja majumba.
Siwalijidai hawasi.amishi vita mpa Hamasi amalizwe, walienda wapigia magoti Qatar na Egypt ili Hamasi asimamishe vita, kwa furaha mpaa wamesagau kubeba silaha zao 😄
View: https://youtu.be/hS0oeIac5QA?si=lozWpYYDVoLTIWFr
huoni kwamba huko ni kuishiwa mipango na mikakati au huko si ndo KUSHINDWA KABISA NA HAMAS mzee!!!Hao watoto wakikua wanageuka magaidi lazima wale kichapo
😄 dogo aliye kataa ceasefire ni Hamasi, si Israel we baki unaimba kanisani tu.Wanagaza wamekesha usiku kucha kusubiria israel ikubali maombi yao na mapendekezo na israel katosa ceasefire hakuna ni fire juu ya fire neta hii trip hacheki na kima
😄 Israel ndio anaomba ceasefire dogo alidhani Hamasi wamekubali ombi lao kwa njia ya Qatar, hao watu wa gaza lazima wafurahi na hata wa Tel Aviv walifurahi pia.Ndugu zako hao wakitoka kusherekea ceasefire wanarudi kwenye tent zao 🤣🤣🤣
View: https://twitter.com/MOSSADil/status/1753156614406750461?t=w2nZ5c5qNBqqUY3oQu68sQ&s=19
😄 walifurahi kuondoka hao mpa wamewacha silaha zao Gaza, walidhani Hamasi kakubali ceasefire, imebidi wapeleke kondoo wengine wale wa mwanzo wamegoma kurudi.
Polehuoni kwamba huko ni kuishiwa mipango na mikakati au huko si ndo KUSHINDWA KABISA NA HAMAS mzee!!!
kama una akili timamu huitaji mtu kukwambia Israel imeshindwa na Hamas na Hamas imeishinda Israel
😄 Israel ndio anaomba ceasefire dogo alidhani Hamasi wamekubali ombi lao kwa njia ya Qatar, hao watu wa gaza lazima wafurahi na hata wa Tel Aviv walifurahi pia.
Hamasi ndio yeye anayeamua sio Israel dogo, Israel kabaki kuomba tu vita isimame kwa kuwatumia Qatar na Egypt
View: https://youtu.be/QEuHnfZlpJg?si=umx9M0a6G2NIBGYf
unatuletea.maneno ya Israel hapa we kichaa nini