Ukitaka kujua kuwa Afrika hatuwezi mfano ni mdogo tu usafiri wa mwendokasi nao umetushinda ni mateso

Abiria wana ongezeka kila siku lakin mabasi yana pungua kila siku
Sijui nani alaumiwe
Mawaziri kila leo wanapanguliwa kama Draft au Chess
Yaani mpaka leo hatujui hata umuhimu wa usafiri jijini
Wananchi inawezekana wanapoteza karibia mwezi kwa mwaka kuwa barabarani tu
Huu ni mda mrefu sana unaopotea
Ila viongozi wao hawana msongamano wala nini
Akitanguliza police basi anatembea tu
 
Watanzania wote uwezo wao wakufikiri na kutenda ni sawa, kuna kitu kipo kwenye DNA zetu.
Mwenye PHd hana tofauti form 4.
Tajiri hana tofauti na masikini.
Mwenye kuzurula Ulaya na Marekani hana tofauti na mkazi wa kibondo
😂😂 Hatari kwa kweli, afu tunadanganyana eti wazungu waliiba technolojia nyingi kwa waafrica,ukiuliza technolojia gani tulikuwa nayo hakuna majibu
 
Amani kwenu

Mwendo kasi ni mateso
Mwendo kasi ni maumivu
Mwendo kasi ni majonzi
Mwendo kasi ni utungu

Wazungu njoon mtutawale tena sisi hatuwezi jaman

YESU njoo Africa tunateseka jaman
KASI ya RAHA imekuwa ya MATESO..!!!
 
Tatizo nikufanya kazi na shemeji. Muwe wapole kwani wanamacho hawani wanamasikio hawasikii wote mabosi.
 
Ukishakuwa na kiongozi/viongozi wanaowaza kwamba hatuwezi basi tutashindwa kweli.
Ni upunguani eti unaweza kujenga miundombinu lakini huwezi kukusanya nauli.
Ni sawa na wewe ujenge nyumba ya kupanga halafu ushindwe kukusanya kodi,umpe mtu kazi ya kukusanya kodi aile yeye.
Waafrika ni laana
 
Amani kwenu

Mwendo kasi ni mateso
Mwendo kasi ni maumivu
Mwendo kasi ni majonzi
Mwendo kasi ni utungu

Wazungu njoon mtutawale tena sisi hatuwezi jaman

YESU njoo Africa tunateseka jaman
Usimamizi mbovu wa Serikali yetu
 
Kuna msemo maarufu
Mali ya Umma Haina uchungu.
Hata kama ni muajiriwa anapata riziki yake hapo au ni mpata huduma hapo lakini bado akipata nafasi ya kuhujumu hata kwa manufaa madogo sana basi atahujumu bila kufikiria kesho
 
Amani kwenu

Mwendo kasi ni mateso
Mwendo kasi ni maumivu
Mwendo kasi ni majonzi
Mwendo kasi ni utungu

Wazungu njoon mtutawale tena sisi hatuwezi jaman

YESU njoo Africa tunateseka jaman
Yani hata wewe unayelalamikia mwendokasi umeshindwa kulalamika kwa detail.

Kila kitu mmeshindwa, hata kulalamika mmeshindwa.
 
Na waliahidi wataleta mpya mwezi huu lakin mpaka sasa kimiya

Na rais tu tuliyenaye naye ndo tatizo linapoanzia

Tuna rais wa mchongo hii nchii
Biashara nyingi za Serikali kwenye magari zinafanywa na ma agent wakati wao wanaweza kwenda kwenye Viwanda moja moja kupitia maafisa wao wa ununuzi ila hawafanyi hivyo kwa maslahi ya wahuni wachache..
Ule mradi ni mkubwa wanaweza kupewa zaidi ya gari mia mbili na wasitoe hata cents moja malipo ni baada ya kazi ila wao hawawezi kufanya hivyo maana Agent wao akiwapa bei ya udarali hawataweza kulipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…