FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kuna upigaji tu umeshatengezwa hapo.Sio kweli sasa mtu akate tiketi na alipie the asisafiri? Mtoa mada hajielewi. Pia kuna watu wanapandia njiani
Utakuta watu wanazo tiketi ukifika stesheni, mtu akipata hata elfu kumi tu kila tiketi, kashinda huyo.