Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Siku moja nilitoa wazo humu pawe na SCREENING pindi mtu anapotaka kujiunga na huu mtandao.

Na ikibidi hata kuweka kigezo cha NAMBA YA TAIFA na NYARAKA ZA KITAALUMA.

Mavilaza yamejaa humuu yanapiga norinda 24 hrs.
Ukiandika ukweli siku zote unaumiza wengi mkuu. Ila leo na deal nao sahani moja.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Si umesema unataka likes na coment nyingi kwenye nyuzi zako za maana? Ndo tupo hapa kukujazia au imekuaje tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Eti kuwashwa,
Hizo ndio experience zako huwa unawashwa mwili?

Kutumia lugha mbaya hakunizuii Mimi kuwa Bora katika mazingira halisi.

Jifunze anger management
I'm angry. Nimetoa tu maoni yangu. You are the one who's angry because you came to my thread to attack me cause I spoke the truth niggah
 
Halafu ukichunguza utakuta aina za wachangiaji wa hizo mada ni walewale.

watageuza hapo ni kijiwe cha kupiga soga.
Nadhani ni ile tu mtu anaamua kutokuwa serious sana mtaondani, wameamua kuishi bila stress na kukaza fuvu wakiwa humu
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
Hujawahi ona wengine wanafungua thread kabisa kulilia penzi aiseeee
Hao in real washajichokea yaani πŸ˜‚πŸ˜‚ MUNGU awasaidie
 
Na uzi umetembea vibaya mno[emoji16]
Hayo ndio mambo watu wanataka kuyasikia aiseee
Watu wana simp na shangazi zao kabisa yani[emoji38]
Na huko kwenye praiveti boksi meseji zitakua zimejaa sana sasa lengo lake ni hilo si anajua sisi wanaume udhaifu wetu ni kutugusia mada za mapenzi anakua kama umetupiga starter tuhamishie umakini kwake
 
Hapana sijasema hivyo. Hata jukwaa la siasa lina wajinga. Jukwaa la MMU lina mada za maana pia.

Ila nachosema ni kuwa ujinga una mashabiki wengi hapa JF na mitandaoni kwa ujumla.
Mambo serious hayafurahishi Chalii
 
Na huko kwenye praiveti boksi meseji zitakua zimejaa sana sasa lengo lake ni hilo si anajua sisi wanaume udhaifu wetu ni kutugusia mada za mapenzi anakua kama umetupiga starter tuhamishie umakini kwake
🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…