Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
ππππUsome Kwa kutuliaaaa, ukiweka kitandan atoke anasema hiviHuuu uzi nachukua notes kabisa niende kumshughulikia vyedi mwezi wa 7 [emoji19]
Ukiandika ukweli siku zote unaumiza wengi mkuu. Ila leo na deal nao sahani moja.Siku moja nilitoa wazo humu pawe na SCREENING pindi mtu anapotaka kujiunga na huu mtandao.
Na ikibidi hata kuweka kigezo cha NAMBA YA TAIFA na NYARAKA ZA KITAALUMA.
Mavilaza yamejaa humuu yanapiga norinda 24 hrs.
ππππππππKuna muda unaweza kuwalaumu hao wanawake lakin Kunamuda unakumbuka wapo kwenye biashara
ππππSi umesema unataka likes na coment nyingi kwenye nyuzi zako za maana? Ndo tupo hapa kukujazia au imekuaje tenaπππSikulazimishi u learn! Na sijakuita hapa. The thing is nimesema ukweli na umekugusa ndio maana umekuja hapa. Sija tag mtu lakini nashangaa mashambulizi ni mengi mwangu.
Kwanini usinge ignore kama haijakuchoka kwakuwa wewe ni mmoja wa wajinga. Why step on shit while you see it?
Hv Kati ya hela na akili kipi huna kabisa?πππ em niache
Tushaambiwa sie vilaza
Naona tunaendelea kujionyesha
Tuishi nao tu na PM tufunge
Ha ha ha haaaaaNa uzi umetembea vibaya mno[emoji16]
Hayo ndio mambo watu wanataka kuyasikia aiseee
Watu wana simp na shangazi zao kabisa yani[emoji38]
I'm angry. Nimetoa tu maoni yangu. You are the one who's angry because you came to my thread to attack me cause I spoke the truth niggahEti kuwashwa,
Hizo ndio experience zako huwa unawashwa mwili?
Kutumia lugha mbaya hakunizuii Mimi kuwa Bora katika mazingira halisi.
Jifunze anger management
Mimi namuunga mkono.Chaliii
Amekasirika, mpk anatukwoti bila kulike πππ
Hajategemea nadhani uzi kukataliwa hviiii
IgweeeeeeeeeUmeacha legasi mtu akigugo kuhusu maswala ya mgegedo uzi wako gugo wameupa hadhi ya kukaa top of the table bloggers chali πππView attachment 2546325
Madam sijui kina kupata kipi??, Ila kwani mtu kumsifia au kutambua uwepo wa mtu mwingine ni shidaπ€π€.Tuishi nao tu na PM tufunge
[emoji38][emoji38] for sureYuko hatua za mwishoni kuanza kupaa[emoji1]
Hao in real washajichokea yaani ππ MUNGU awasaidie[emoji38][emoji38][emoji38]
Hujawahi ona wengine wanafungua thread kabisa kulilia penzi aiseeee
Na huko kwenye praiveti boksi meseji zitakua zimejaa sana sasa lengo lake ni hilo si anajua sisi wanaume udhaifu wetu ni kutugusia mada za mapenzi anakua kama umetupiga starter tuhamishie umakini kwakeNa uzi umetembea vibaya mno[emoji16]
Hayo ndio mambo watu wanataka kuyasikia aiseee
Watu wana simp na shangazi zao kabisa yani[emoji38]
Mambo serious hayafurahishi ChaliiHapana sijasema hivyo. Hata jukwaa la siasa lina wajinga. Jukwaa la MMU lina mada za maana pia.
Ila nachosema ni kuwa ujinga una mashabiki wengi hapa JF na mitandaoni kwa ujumla.
π€£π€£π€£Na huko kwenye praiveti boksi meseji zitakua zimejaa sana sasa lengo lake ni hilo si anajua sisi wanaume udhaifu wetu ni kutugusia mada za mapenzi anakua kama umetupiga starter tuhamishie umakini kwake
Unataka kuwa Alqaeeda babe ?Vayolensi mode activated
Patakua padogo humu. Ila ukweli lazma usemwe
Kama Rais akawashauri juu ya uboreshaji lishe Kwa watoto ili Vijana waepukane na mkongooo.Mgegedo ndo umezaa hao magenious,
Nyuz za mgegedo hazipaswi kubezwa