Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Nipo nasubiri milipuko itokee na sio muda kuanzia sasa.Ataachaje sasa jemedari kipensi [emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo nasubiri milipuko itokee na sio muda kuanzia sasa.Ataachaje sasa jemedari kipensi [emoji16][emoji16]
Hapana sijasema hivyo. Hata jukwaa la siasa lina wajinga. Jukwaa la MMU lina mada za maana pia.Kwa hiyo chalii unataka majukwaa mengine yafutwe tubaki na jukwaa la siasa tuwe serious eti
Aah the problem bhana wanatumia nguvu nyingi kutuaminisha mahusiano yake na mtu fulani , wanachosha mno
Naeza onekana mshamba or whatever but this thing haijakaa poa heri angekua mdada tukasema its normal but mkaka tena unakuta mbaba kabisa its shame
Not personally at all😂😂😂 Just state in general na kama unahigh iq kweli utafikiria.. The thing is niko jf for entertainment afu we unilazmishe niwe for learning 😂😂😂nop nop.. Ndo maana kuna forums tofaut, unakutana na great thinkers huko,, usichukulie mtu poa kisa umemuona anacomment shits,, 😂😂😂😂Sijakupangia ndugu, nimesema wajinga ni wengi. Kwakuwa na wewe ume fall kwa category ume take it personal.
Sorry but I'm not sorry.
Sisi ni wezi wa kimataifa.sera zetu👉😅😅😅 mtaani kuibia watu niteseke na jf niteseke hapana kwakwelii
Pita huko peleka mishuzi na hiyo mimavi kwenu, na wewe WA kiume ama😏Si kauliza swali tu au we inakuuma nn sasa mkuuu [emoji90]
Tuishi nao tu na PM tufungeWanaume wa JF na simping ni [emoji1696]
Unakuta ka tag wadada kama mia kutoa tu heshima plus ku simp, ujinga ni mwingi aiseeee…
Sijafeli, ndio maana upo hapa unachangia dear. Ningefeli huu uzi usingekugusa mpaka ukawashwa.Ukiniita kilaza wakati Mimi sio kilaza hainigharimu chochote ni sawa unapaka rangi upepo.
Hiyo social experiment ya kiduwanzi ulianzaje kuwaza hizo pumba, mbona Kuna constructive social experiment nyingi tu😏
In a normal reasoning capacity umeshindwa kujijibu huo uduwanzi🤣
Umefeli bwana hiyo ipo wazi.
UNafkiri Ile ni kamandi sio Fish AuntieChama gani tena namiliki?
Me si owner wa kile kiduka cha dagaa kule Monduli
Kuna mmoja kaanzisha uzi analaumu ameliwa sekunde 3 bwanaake akaanza kukoroma usipokua mtaalam unaweza kudhani analaumu kumbe ameweka tangazo
Umeacha legasi mtu akigugo kuhusu maswala ya mgegedo uzi wako gugo wameupa hadhi ya kukaa top of the table bloggers chali 😂😂😂😂😂😂 Huo Uzi ni kumbukumbu ya vizazi..
Ma genius na nyuzi zao za Mega Projects ,zitapita....
Ila masuala ya mgegedo hayatapita kamwe
Siku moja nilitoa wazo humu pawe na SCREENING pindi mtu anapotaka kujiunga na huu mtandao.Ujinga umekuwa mwingi JF. Hii forum ni special sana na hata kama rais anaitembelea inaonekana ina influence kubwa lakini ukija kuangalia mada zenye kuchangiwa sana ni mada za kishenzi shenzi tu zinazohamasisha tu mambo ya ajabu ajabu kama mapenzi, ushoga, kupeana likes na upuuzi mwingine kama huo.
Haaa!Sio wivu mkuu kitu ukishakileta kwa internet tarajia kuna watakao kusapot most ni wanafiki
Wadada wanasapoti thread zako sidhan ka wanapenda kua Mama J in reality naona wanasoma afu wanaji-compare ka wako kwa hio side its like unawafariji
Afu kuna hawa wanakukosoa hawa ndo wanakutakia mema btn thrad sio nzuri ungekua ulaya huko ungekua ushafunguliwa makesi kibao
Nipo nasubiri milipuko itokee na sio muda kuanzia sasa.
😂😂😂 em niacheUNafkiri Ile ni kamandi sio Fish Auntie
Eti kuwashwa,Sijafeli, ndio maana upo hapa unachangia dear. Ningefeli huu uzi usingekugusa mpaka ukawashwa.
Sikulazimishi u learn! Na sijakuita hapa. The thing is nimesema ukweli na umekugusa ndio maana umekuja hapa. Sija tag mtu lakini nashangaa mashambulizi ni mengi kwangu.Not personally at all😂😂😂 Just state in general na kama unahigh iq kweli utafikiria.. The thing is niko jf for entertainment afu we unilazmishe niwe for learning 😂😂😂nop nop.. Ndo maana kuna forums tofaut, unakutana na great thinkers huko,, usichukulie mtu poa kisa umemuona anacomment shits,, 😂😂😂😂
Afu unavotembea anajiona matawi kumbe behind the scene ni kujidhalilisha tuKuna mmoja kaanzisha uzi analaumu ameliwa sekunde 3 bwanaake akaanza kukoroma usipokua mtaalam unaweza kudhani analaumu kumbe ameweka tangazo