Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Wewe ni LIKILAZA.

Hata mimi NINATHIBITISHA na KUGONGA MUHURI.
 
Zamani JF watu walikuja kujifunza, kupata Nondo,. Nyuzi zilianzishwa kwa ajili ya kutoa elimu.
Nyuzi za recreation zilikuwepo ila zilikuwa chache.

Ziku hizi wengi wanakuja kuburudika. Mtu anakuja kuburudika kwenye kitu anachokipenda.
Matokeo yake ndio utaona nyuzi za namna hiyo ni nyingi.

Btw mjinga anapenda burudani kuliko Elimu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Si umesema unataka likes na coment nyingi kwenye nyuzi zako za maana? Ndo tupo hapa kukujazia au imekuaje tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Records will find me innocent niggah. Hakuna niliposema nataka likes wala comments.

Nimekuja kuwapa ukweli napia siku tag mtu lakini kwakuwa najua ukweli unauma nilijua tu kuna wapuuzi mtapata ujumbe na kukunwa nao.

I'm glad kuwa ujumbe unaendelea kuwaingia.
 
Mi mchangiaji tuu kama wengineπŸ˜‚πŸ˜‚ Chaliifrancisco dont take it too seriously.. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Si umesema unataka likes na coment nyingi kwenye nyuzi zako za maana? Ndo tupo hapa kukujazia au imekuaje tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
tuko kumfariji kumbe hataki tena
 
Siku hizi hapa JF ukija kwa lengo la kuelemika utaambulia ziro.
Natamani iwepo namna ya kuignore Jukwaa zima.

Wajinga wanazidi kuongezeka, na elimu zao za degree.
Hili jukwaa mwaka 2015 kushuka chini lilikuwa tamu ajabuu. Unakutana na nyuzi za kuelimisha na kujenga.

Lakini siku hizi manyumbu yamevamiaa, FULL UKILAZA.
 
Madam sijui kina kupata kipi??, Ila kwani mtu kumsifia au kutambua uwepo wa mtu mwingine ni shidaπŸ€”πŸ€”.
πŸ‘‰Au mpaka siku member flani akifa ndo asifiwe??
Sio shida the problem mnaitaka iwe ndo main topic

Mimi sawa siez mpangia mtu apost nini ila kama msomaji sijifunzi chochote heri muende PM mmalizane mbona ni rahisi and sio necessary naona ni minor thing tu zinamaliIka sio mpaka muanikane
 
Yaan ukileta mada zako za maana 😊😊😊😊 ujue Kila binadamu yumo humu Jf Kwa interest zake wengine wapo for LEISURE WENGINE PLEASURE WENGINE STUDYING
Binadamu wa sikuizi wengi hawapendi mambo magumu magumu...πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
 
Au kuna jamaa anandikaga nyuzi eti amemuona mke wake ametoka chooni
[emoji1] [emoji1787] hilo litakuwa fala sana
Kuna lingine kutwa kutafuta story za boko, na Alshabab wakati wao kwao wanakimbizwa na hao hao ingawa hayatuhusu basi imekuwa ugonjwa kwake asipoandika anaumwa

Na wapo wafuasi kibao

Kuna nyuzi huwa nikiona nashangaa sana
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Usome Kwa kutuliaaaa, ukiweka kitandan atoke anasema hivi
View attachment 2546324


..
View attachment 2546326


Boss kaelewa Shoooo.....

Alamis napiga Tena mechi ya marudio
See. Foolish stuff kama hizi ungeweka uzi dakika tano tu ungekuwa na wachangiaji alfutatu.

Lakini kwanini mtu uweke mambo yako personal hadharani?

Ni kutaka sifa za kijinga, kupenda show off na kama wewe ni mwanaume basi una vinasaba vya ushoga.

Real men don't kiss and tell niggah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…