Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Acha tumpe likesNi wivu tu wa likes comments na trending ya uzi, kwakweli inauma sana mtu kuandika uzi wa kipuuzi kwa mujibu wako akapata page 50 kwa masaa kidogo tu wakati wewe unaandika madini na unaenda wiki hata page 5 hufiki,
Umefeli Bwana.Ukiambiwa ukweli kubali. Kilaza hujidhihirisha mwenyewe bila kuulizwa au kuambiwa ajionyeshe.
Simply you are one good kilaza. Huna ubora wowote.
Huna ubora wowote ule MBURULA KIPEUO CHA PILI.Hakunizuii Mimi kuwa Bora katika uhalisia wa maisha yangu.
Mkuu Kama unatumia Tapatalk kuna majukwaa mengi sana ni wewe na hobbies zako tu
Niliona siku moja ya wenye private jets jamaa wanaweka mpaka picha za ndege na wanajadili maisha yao na ndege zao
Nikajichekea na kusema hawa wangekuwa JF wangetukanwa na kuambiwa wewe una ndege gani hata baiskeli huna?
Ilinitokea jf nilibaki nacheka tu
Nenda tapatalk mkuu utaona mengi sana upendayo
Rrondo ndo hali tunda kimasihara ?.Kuwa kama kina Rrondo huko
We kutwa kimasihara kama jini maimuna sijui mahaba 🤭
Mpeni maana zinamtesa sanaAch
Acha tumpe likes
Basi enjoy wanacho post wengineSina shida ya kuleta humu ndo maana huoni napost
🤣🤣🤣 Check akili yako ilipoishiaHuna ubora wowote ule MBURULA KIPEUO CHA PILI.
Haya, nyuma geuka, fungasha wowowo mbele tembeeaaaaaaaaa.. potrrreeeeeeaaaaa
Inategemea tu, mbona hii inatrend sana?!!!! Kupitia uzi wako huu na kasi yake ya wachangiaji, you have another think coming!Sisi ngozi nyeusi tunaojielewa tupo wacheche sana (mimi mmoja wao).
Yani hapa jukwaani ikianzishwa mada ya kipuuzi (hasa inayohusu mapenzi) inarukiwa haraka sana na watu (wengi ni vichwa panzi, hasa wanawake).
Na ili thread itembee vizuri utakuta wanaume (vichwa panzi na wanaopenda sifa kwa kutamani wanawake) nao wanarukia mada haraka na kukuta thread imetembea haraka kwa mijadala ya kiwaki (kipumbavu) isiyokuwa na tija.
Hili jambo ni observe muda mrefu sana. Mimi sio muanzisha mada mzuri hapa JF mara nyingi napenda kuchangia. Hii ni kutokana na kuwa najua mada zangu ninazoziwaza hapa nikileta haziwezi kupata wachangiaji.
Wengi kwanza hawataelewa au watakuwa uninterested kwakuwa sio mambo wanayoyapenda (wamezoea ujinga).
Leo tu nimekaa nikawaza kufanya social experiment niandike mada ya kipuuzi (angalia thread yangu ya mwisho kabla ya hii) nimegundua hapa JF (ambapo kwa sample ya kitafiti inafaa kujumuisha watu wote weusi wa hapa nchini) kuwa watu wengi ni wapumbavu na wasio na akili.
Mtu akianzisha mada (hasa wenye jinsia ya kike, ambao wengi mtandaoni sio wakike wote) basi mijinga mingi hukimbilia kudakia mada hiyo ya kijinga na utakuta uzi una trend sana.
Lema akisema ukweli kuwa sisi ni maskini utakuta hao hao wajinga wanamlaumu kuwa anatukana watu. Lakini ukweli mchungu ni kuwa anapiga kwenye mshono.
Kuna watu ambao angalau wana balance mambo (kuna muda yupo anachangia mambo ya muhimu na huko ujingani/vuruguni anachangamsha genge, mimi mmoja wao).
Ila hapa JF watu wapuuzi ni wengi sana na ndio mada za kipuuzi zisizokuwa na mantiki ndio utakuta zimechangiwa sana na wajinga wengi kuliko mada zenye kuleta tija. Angalia thread za mambo ya kulana kimasihara zinavyofanya vizuri.
Ila thread za kueleweka zinazo make sense zina wachangiaji wachache wenye sense kwakuwa wenye sense ni wachache.
Nonsenses ni kibao.
Tubadilike, kwanza hatuwezi, tuendelee tu kumchukia Lema kwa kutupiga panapouma.
Huu uzi hata jukwaa la kuuweka sijui maana ni multi-whatever.
NONSENSE.
Sawa mkuu. Mimi sipingani na wewe ila nimeangalia mda mrefu kwanini mada zisizo make sense ndio zina wachangiaji wengi?Mkuuu katika watu wawazi na wananyoosha maelezo Mimi hapa.
Hivi Kuna mtu aliwahi chukiwa na Wanawake wa JF kama Mimi?.
Nitafute Likes za nn?? Yaan Wanawake wa JF kwanza wakishasoma Visa vyangu vya Uzi wa masihara lazima warudi nyuma.
Kutongozaa Huwa natongozwa maana ukikaa sana bila kutongoza, unaweza jikuta ni domo zege
Nyeupe ni nyeupe upo sahihi kabisa, nawala mtu hapaswi kua mnafiki kuongea mambo Ili mradi upande fulan ufurahi
NINACHOKAZIA MIMI HAPA KWENYE MADA YAKO HIII, SIO KILA MARA WARU WAWE SERIOUS.
ALAFU WEE HUWEZ ANZISHA MADA AMBAZO SINA NAZO INTERESTS UKATAKA NICHANGIE.
MADA KAMA ZA DA VINC , ANAMADA NZURI, ILA SIWEZ ZICHANGIA KWA SABABU SIKO INTERESTED .
Kwa hivo tusifokeane, badala yake pale ambapo mtu anajua anaweza sema kitu, atasema.
Huyohuyo ukimkuta kwenye Uzi wa kula tunda kimasihara ,usishangae.
[emoji38] [emoji23] [emoji38] wanaijeria balaa
Umeshafungasha wowowo au unasubiri kuliwa tunda kimaskhara?🤣🤣🤣 Check akili yako ilipoishia
I don't have another coming, mimi sio muanzishaji thread hovyo. I am too reserved.Inategemea tu, mbona hii inatrend sana?!!!! Kupitia uzi wako huu na kasi yake ya wachangiaji, you have another coming!
Hata hivyo kuna ukweli ndani yake; tena kuna vidume vijinga humu kazi yao ni kujibebisha tu kwa kina joanah, kapeace &Co. Wakiona demu ameanzisha uzi mbio zenyewe za kuchangia si za nchi hii.
He is a man
And always man can’t kiss and tell.
Whowebe kumbe we ni genius, mbona ulikuwa hujanambiaInategemea tu, mbona hii inatrend sana?!!!! Kupitia uzi wako huu na kasi yake ya wachangiaji, you have another coming!
Hata hivyo kuna ukweli ndani yake; tena kuna vidume vijinga humu kazi yao ni kujibebisha tu kwa kina joanah, kapeace &Co. Wakiona demu ameanzisha uzi mbio zenyewe za kuchangia si za nchi hii.
Naona toka Jana, unaumiaaaMAMBURULAZ mwisho Facebook.
KEROOOOOO... eti yanaitana kupongezana. Whaaatttt!! 😮
Ni kawaida mtu akiambiwa ukweli lazima achukie so chukia ni haki yako ya msingi.Umefeli Bwana.
Lugha chafu za dharau hazifanyi kazi kwangu, poor you and your fellow minions 🤗
Lakin mi naona siku zinavyozidi kwenda tunaharibika sana siyo Jf tu hata Twitter miaka ya nyuma ilikua ni mtandao ambao huwezi kuanzisha mada za kipuuzi lakin sahiv imekua ni sehemu ya mada za ngono hata kufungua Twitter public unaogopa tena bora hata Facebook inayooneka ya watu wa ajabu lakin angalau wamestaarabika[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
JF ni kichaka, kuna makubwa humu ndani wacha kabisa
Tofauti yake na Tandale kwa Tumbo ni kwamba tuko nyuma ya keyboard tuu.