Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Mpeni maana zinamtesa sana
Kwenye haya maisha tangu zama za zamani vitu vinavyoonekana vya kawaida kama mapenzi siasa na michezo ndiyo vinavyooendwa na watu wengi kwani vinagusa hisia za watu wengi

Kiasili binadamu hasa mwafrika hapedi vitu critical,hata humu majukwa logical na intellectual ukieweka mada inakudodea,nadhani ndiyo maana Kuna yule muhaya Rutashubanyuma Huwa anajipostia na kujikomentia mwenyewe
 
Mada zake zipi jamani
Mbona mimi sizijui? Zaidi ya kuona ona comments ndefu Sakina mpk Usa river
 
Duu mkuu Naona umetetea biasennes yako kinyama
 
Ukiona ujue wajinga wengi wameshapata acess na ya hiyo mitandao
 
MAVILAZA yanafarijiana na kutafunana kimaskhara. Hahaa.

Kila ukifungua uzii yamejaa kama mainzi kwenye KIMBA LA MOTO.

Yanachojadilii chenyewe hakipoo nii umburulaa mwanzo mwishoo....

Juzi ndo yalitia fora, eti yanaitana kusherehekea tafrija ya member bora!!!! Chinekeeoduuuu!! 😮😮😮
 
Wabongo nuksi sana wanaumiza hisia za watu kwa likes na comments, 😂
 

Twitter kule ndio kabisa
Mada za watoto washalala, mara retweet tukuongezee followers, mada za wasimbe ndio zimekua nyingi
Ndio maana unaona kwenye competition za nchi na nchi huwezi kuta Watanzania hilo liko wazi hasa kwenye mada za Kenya na Nigeria
Ni kweli hapa tunajifariji ila ukweli ni kwamba hali ni mbaya sana
Hii generation yetu ni balaa
 
Mavilaza ndiyo yanafanya hili jukwaa liwe active
 
Mkuu tupo pamoja, hata Mimi nilielewa hoja yako ,kua Humu JF Mada ya kijinga inapata wafuatiliaji wengi.

Ila lazima tukubali ukweli wa interests za Mtu Mmoja mmoja.


Kuna watu humu Kila siku lazima wasome mahadithi mengi ya JF na wanasoma na kumaliza.

Mimi Huwa nikisoma kidogo naacha ,narudi zangu kwenye kula tunda kimasihara.


Huyo alotumia muda wake kwenye mahadithi sio mjinga, na huyu anayotumia muda wake kimasihara sio mjinga.

Ndio maana mule ndan kimasihara, unakuta Kuna watu wa Kila aina , hao hao watu wa Kila aina ,nao wakiwa nje ya Uzi ule, wanakua na machaguzi Sasa, wapi waandike, wapi wasiandike ,wapi waseme, wapi wasiseme !!.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
[emoji1] [emoji1787] umeongea ukweli
Wengi wamezoea uongo uongo tu
Utachangia mada na kusema ukweli watabeza
Ila kweli mtu ana laki anauliza aifanyie nini jamani
Wengi hawapo serious ila pia wengi akili zinafanana
 
Na wewe kaanzishe za kwako ambazo ni critical
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…