Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Mavilaza ndiyo yanafanya hili jukwaa liwe active
Mavilaza yafurushwe yakatafunane hukoo facebook.

Jamiiforum inaangamiaa kwa ajili ya haya MAVILAZAZZ NA MAZIROs yanayowazaa kufirwa muda wote jukwaa limejaa uchafuuu tu
 
He is a man
And always man can’t kiss and tell.
Aaahhh Sasa Mimi pia ni Man, na ninakula masihara sana na nikishakupa nakuja kwenye Uzi wetu nikiwa na muda na Jamaa zangu wamemiss visa, basi lazima niwape.

Hiyo haijawah nifanya Wanawake nisiwale.

Look, Kuna Wanawake Huwa mpaka nawaonyesha picha za Wanawake zangu weeeeeengi, mpaka unakuta wanajishaua, weee Malaya,, siwez Toka na mkaka kama weee muhuni .

But hainichukui muda, nao wanajikuta nimewala.


Sasa imewah nipunguzia Uanaume wangu?.
 
Kweli mkuu. Mimi mitandao nayotumia ni JF na WhatsApp tu lakini WhatsApp imenichosha watu kupost ujinga na picha zao status. Jf nayo inanichosha kwa ujinga (japo JF kuna madini mengi itakuwa ya mwisho kuiacha)

Imebidi nirudi tu Quora na Reddit huko ndio nasoma vitu vya maana.
 
Babe sikujuaga kama uko smart kiasi hii. Umeongeza credit 🥰😍😘
 
I don't have another coming, mimi sio muanzishaji thread hovyo. I am too reserved.

Nachangia zaidi na hata hizo nyuzi za kijinga huwa nachangia lakini huwa najiuliza kwanini ujinga una mashabiki wengi sana?
Mkuu hujawahi kukuta grader linafukua sehemu halafu kuna watu kibao wamelizunguka wakiangalia hata saa nzima na hawajaajiriwa bali walikuwa wapita njia tu?

Basi hao ndio wamejaa humu
Uzi usio na faida wala kuwaongezea maarifa ndio wanajaa
 
Chalii ndiyo maisha

Safari Bado ni ndefu
 
Mi Twitter sahiv siwez kuifungua hadharan nawasiwasi nayo kichizi yaani kuna siku ilitaka kunidhalilisha, huchelewi kukutana na picha za uchi zimefatana, alaf bahati mbaya ni kuwa hata wewe usipo follow page za kipuuzi uliowafollow waki-like tu na wewe unaiona

Sasa shida ndo inaanzia hapo watu tunapenda ngono balaa ni lazima utakutana na nudes tu
 
Maana yake sasa vijana wengi tumekua wajinga sana limeshakua janga la taifa wenye hafadhali ni wachache
Ila upande mwingine pia ni faida,inaonyesha watu wengi wakipato Cha chini uchumi umekuwa,kwani kupata access maana yake ni kuwa na simu,tablet au kompyuta na bando,hii Ina maana watu wengi wamekuza uchumi wao
Maada za kawaida zikiondoka umu na jukwaa la jf litapoa na kufa,
 
[emoji38] [emoji23] [emoji38] eti yahoo girl
Naanza kukufuatilia sasa

Sasa sijui nitaanzaje
Au nianze kama zile pigo za wazazi wangu wamekufa wameniachia nyumba kubwa Canada nataka nije huko Tz tuishi wote au nianzaje[emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…