Mi Twitter sahiv siwez kuifungua hadharan nawasiwasi nayo kichizi yaani kuna siku ilitaka kunidhalilisha, huchelewi kukutana na picha za uchi zimefatana, alaf bahati mbaya ni kuwa hata wewe usipo follow page za kipuuzi uliowafollow waki-like tu na wewe unaiona
Sasa shida ndo inaanzia hapo watu tunapenda ngono balaa ni lazima utakutana na nudes tu
Hiyo ni point mkuu maana wajinga huwa wanayumbishwa na matukioUsishangae huenda wengine wanatumwa na wanasiasa ili wa divert mijadala muhimu isiendelee
Diversity is what that makes this world a beautiful placeSo funny aisee, pale mtu mmoja anapotaka kila mtu awe na mlengo sawa wa kufikiri. Dunia haiendi hivyo hata kidogo mleta mada.
If so, basi tuseme jf founders ni wapumbavu wasio na akili kuleta subforums ndani ya forum kubwa? Mleta mada don't think in one direction, sio kila mtu akiingia humu anataka kuwa serious, aongelee fani yake na yanayofanana. Wengine wanakuja hapa kuburudika, kama vile wengine wanavyokuja kuelimika, na wengine kuja kutengeneza connection.
Quora na Reddit babe. Njoo huku
Umeulizwa swali wewe unaanza ku fume. Hizo ni dalili za ukilaza mamdogooHunifanyi nikajisikia vibaya na nilishakueleza, tukana tu hapo ndo uwezo wako wa kufikiri uneishia hapo.
Nitakuelekeza baadae dearNielekeze nazipatia wapi hizo
Nipate ka exposure japokua niko huku vijijini
Umeona swali?Umeulizwa swali wewe unaanza ku fume. Hizo ni dalili za ukilaza mamdogoo
Siko hivyo mimi babe
Hao Kwan wananisumbuaga hao wa 'Man don't kiss and tell ' .Whether you kiss and tell or you don't haina madhara mkuuu maana fake id zinatubeba sana humu.
Hivyo hamna mtu anaharibiwa privacy yake that's logical
Na wenzangu na mie ni ma sex addicts hizo masihara na mbinu ndo tunazotumia pia kuwanasa baadhi ya wake za watu
Kichupa kikijaa. Nashukuru kwa michango yako kwenye visa ya mitombano [emoji119]
Uko SAHIHII SANAUsishangae huenda wengine wanatumwa na wanasiasa ili wa divert mijadala muhimu isiendelee
Basi vita iendeleeMalicious pipo ndo tumejaa sasa
Check up na huu uzi
Wapo humu tena wengi na ambao wamefika huko
We si uende quora au reddit kwa wenye akili social networks ziko nyingi mkkuuu maneno yako won't change a single thingUko SAHIHII SANA
Jamiiforums na Twitter imevamiwa na matakataka ya ajabu
Huwezi kukuta kitu sensitive cha kusoma, NI RUBISH mauchafu nonsenseee maskharaaa MIZAHAA
Bro, I rate you.So funny aisee, pale mtu mmoja anapotaka kila mtu awe na mlengo sawa wa kufikiri. Dunia haiendi hivyo hata kidogo mleta mada.
If so, basi tuseme jf founders ni wapumbavu wasio na akili kuleta subforums ndani ya forum kubwa? Mleta mada don't think in one direction, sio kila mtu akiingia humu anataka kuwa serious, aongelee fani yake na yanayofanana. Wengine wanakuja hapa kuburudika, kama vile wengine wanavyokuja kuelimika, na wengine kuja kutengeneza connection.
Hawa hapa wengineUko SAHIHII SANA
Jamiiforums na Twitter imevamiwa na matakataka ya ajabu
Huwezi kukuta kitu sensitive cha kusoma, NI RUBISH mauchafu nonsenseee maskharaaa MIZAHAA