Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Mi Twitter sahiv siwez kuifungua hadharan nawasiwasi nayo kichizi yaani kuna siku ilitaka kunidhalilisha, huchelewi kukutana na picha za uchi zimefatana, alaf bahati mbaya ni kuwa hata wewe usipo follow page za kipuuzi uliowafollow waki-like tu na wewe unaiona

Sasa shida ndo inaanzia hapo watu tunapenda ngono balaa ni lazima utakutana na nudes tu

Pornhub ni kama imehamia kule aiseeee
Account za hivo ziko za kutosha
Mambo mengine mpaka ni aibu maana unafungua Twitter unabidi uangalie kulia na kushoto kama kuna watu. Mada za kukosoana na kugombana ndio useme plus Spaces za kuongelea mapenzi ni balaa
 
So funny aisee, pale mtu mmoja anapotaka kila mtu awe na mlengo sawa wa kufikiri. Dunia haiendi hivyo hata kidogo mleta mada.

If so, basi tuseme jf founders ni wapumbavu wasio na akili kuleta subforums ndani ya forum kubwa? Mleta mada don't think in one direction, sio kila mtu akiingia humu anataka kuwa serious, aongelee fani yake na yanayofanana. Wengine wanakuja hapa kuburudika, kama vile wengine wanavyokuja kuelimika, na wengine kuja kutengeneza connection.
Diversity is what that makes this world a beautiful place
 
Umeulizwa swali wewe unaanza ku fume. Hizo ni dalili za ukilaza mamdogoo
Umeona swali?
Ieleweke tu kwamba👇
Screenshot_20230311-175554.jpg
 
Whether you kiss and tell or you don't haina madhara mkuuu maana fake id zinatubeba sana humu.

Hivyo hamna mtu anaharibiwa privacy yake that's logical

Na wenzangu na mie ni ma sex addicts hizo masihara na mbinu ndo tunazotumia pia kuwanasa baadhi ya wake za watu

Kichupa kikijaa. Nashukuru kwa michango yako kwenye visa ya mitombano [emoji119]
Hao Kwan wananisumbuaga hao wa 'Man don't kiss and tell ' .


Hao hao kuna mabwana zao ,wanapicha zao za uchi na pengine video za Ngono , wakikaa wanatumiana.



Kwan Nikitell inanipunguzia Uanaume ? Au Kwamba Maneno Yao yatafanya niache kula mbususu ?.


Yaaan niache kula mbususu za wadada Tena wengine wananianza wao??.

nitakua Sina akili kabisa 😂😂
 
Uko SAHIHII SANA

Jamiiforums na Twitter imevamiwa na matakataka ya ajabu

Huwezi kukuta kitu sensitive cha kusoma, NI RUBISH mauchafu nonsenseee maskharaaa MIZAHAA
We si uende quora au reddit kwa wenye akili social networks ziko nyingi mkkuuu maneno yako won't change a single thing
 
So funny aisee, pale mtu mmoja anapotaka kila mtu awe na mlengo sawa wa kufikiri. Dunia haiendi hivyo hata kidogo mleta mada.

If so, basi tuseme jf founders ni wapumbavu wasio na akili kuleta subforums ndani ya forum kubwa? Mleta mada don't think in one direction, sio kila mtu akiingia humu anataka kuwa serious, aongelee fani yake na yanayofanana. Wengine wanakuja hapa kuburudika, kama vile wengine wanavyokuja kuelimika, na wengine kuja kutengeneza connection.
Bro, I rate you.

But reverse your thinking. Mwenye jukwaa haijalishi nini kimeongelewa (as long as hakuna uvunjifu wa sheria, privacy and the likes) kwake yeye ni faida kupata wachangiaji na watumiaji wa mtandao wake.

So as long as watu mnatembele JF kwa wingi ndivyo Max na wenzie wanapiga noti. So yeye hawezi kujali ujinga wetu as long as hatujavunja sheria n.k

So bro maoni yangu ni kuwa japo kuna forums mbali mbali lakini ujinga ndio unapata support kubwa zaidi.

NB: Sio support kutoka kwa waendesha forum bali sisi wachangiaji.
 
Uko SAHIHII SANA

Jamiiforums na Twitter imevamiwa na matakataka ya ajabu

Huwezi kukuta kitu sensitive cha kusoma, NI RUBISH mauchafu nonsenseee maskharaaa MIZAHAA
Hawa hapa wengine

 
Back
Top Bottom