Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ujinga umekuwa mwingi JF. Hii forum ni special sana na hata kama rais anaitembelea inaonekana ina influence kubwa lakini ukija kuangalia mada zenye kuchangiwa sana ni mada za kishenzi shenzi tu zinazohamasisha tu mambo ya ajabu ajabu kama mapenzi, ushoga, kupeana likes na upuuzi mwingine kama huo.
 
Kwahiyo unamaanisha kuwa wanaoleta mada za kulana na ushoga hao ni professional zao sio? Okay tunawaachia upumbavu wenu.
 
Huo ni uzi mmoja unaoweza kuuweka pembeni. Lakini wachangiaji ndio wale unaowaona kwenye mda za kulana kimasihara? Hapo huwezi kukuta vichwa panzi lazima ukute wanaojielewa wakishusha fcats.
Duuuh kwahiyo nyie Ma Genius mna nyuzi zenu, ndio mnajadili masuala makubwa ya Nchi?


Kumbe ndo maana tunawagongea wake zenu
 
majukwaa na mada ndiyo vinaamua mada itembee/isitembee. Kila mtu ana interest zake jf hatuwezi wote kuwa washabiki wa MMU au siasa n.k
Kwenye kundi lolote la watu wengi kuna kila aina tofauti tofauti za watu ni kuchagua upande wako unaofit.
Ni kweli lakini uki compare utakuta mada zenye kushabikiwa nyingi ni zisizo na tija.

Ndio maana nikasema wajinga ni wengi. Kwakuwa mada zenye tija hazina wafuasi humu JF. Mada za kipuuzi ndio zinazokimbiliwa na wengi.

Maana yake hao watu ukiwaweka mezani wajenge hoja hawana uwezo so ni wajinga tu.

Ndio maana wanakimbilia mada zisizotaka kutumia akilia bali kuonyesha upumbavu wao
 
Nakubaliana na wewe. Ila hapo kwa Lema kuna ukakasi kidogo, huwezi kuita kazi ya boda boda ni laana wakati kuna watu wanasomesha na kuweka chakula juu ya meza kupitia shughuli hiyo. Kuna namna bora ya kutamka ama kuliangazia janga hili. Lema alikosa Emotional Intelligence katika kauli ile inawezekana furaha ilimpitiliza akajikuta anatamka maneno bila kufikiri
 
Siku ya hesabu yako mbinguni haina haja ya kwenda mbali unaletwa uzi wa kula kimasihara utatosha kukuhukumu...
 
Kwahiyo unamaanisha kuwa wanaoleta mada za kulana na ushoga hao ni professional zao sio? Okay tunawaachia upumbavu wenu.
Maana yangu nikwamba, Muanzisha Uzi wa masihara, ana profession yake .

Ila alipochoka, siku Moja akawaza kitu kichwan mpaka akaanzisha huo Uzi.

Lkn bado hiyo haimuondolei ukweli kua ana profession yake.


Mkuu , Niamin, Mimi nikisema nianze andika threads za medical ... utakachochangia sana sana ni kuuliza maswali , au ugugo ndo uje uandike na Kwa bahati mbaya zaidi watakaochangia ni wale ambao watakua wanaguswa na topic husika.


Sasa basi, Ili tukutanie sehem Moja, ndo unaona Kuna nyuzi kama za masihara !!.....wakati huo huo siku ukiamka unawaza masuala ya Msingi au umekutana na Uzi wa mambo ya Msingi na unataka kuchangia basi unachangia .
 
Duuuh kwahiyo nyie Ma Genius mna nyuzi zenu, ndio mnajadili masuala makubwa ya Nchi?


Kumbe ndo maana tunawagongea wake zenu
Wewe ni mmoja wa wasio na akili, huwa unajiona mjuaji sana ikiletwa mada ya kipumbavu inayohusu mambo ya kipumbavu na kuandika miandiko mirefu isiyo na maana.

Uliwahi kuona mtu kama Robert Heriel akiandika ujinga kama wako au akichangia upumbavu.

People who make sense set themselves apart.

You stoop low and you is a looser. Tutakuambia tu.
 
Profession ya ujinga? What is profession nigga? Do you hear yourself?

Yani kuandika upuuzi au kupenda upuuzi nayo imekuwa profession?
 
Ni kweli Mkuu, Siunaona Leo umeandika Mada ya kipumbavu, nikaisoma ,nikasema hata kama mie mpumbavu, ila wee umezidi Upumbavu ndio maana sikuchangia.


Huyu Robert H, sitomgusia Kwa sababu naye ni binadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…