Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Sasa sie vichwa panzi laa 7E ndo tunabalance huo mzani wa maisha wa nyie wenye maakili yenu😂😂😂.. Utawaza politics, innovation, technology and whatever ila sxy laazma iwepo mwisho wa siku😂😂..
Kwaio Chaliifrancisco usitupangie cha kufanya..😆😆😆 Unless kama kila aliekua humu jf unamjua na unajua impact yake katika maisha ya kila siku.. 😂😂😂
Sijakupangia my lady. Nimekuambia tu wajinga ni wengi na hapa mtajidhihirisha wote.
 
Sasa sie vichwa panzi laa 7E ndo tunabalance huo mzani wa maisha wa nyie wenye maakili yenu😂😂😂.. Utawaza politics, innovation, technology and whatever ila sxy laazma iwepo mwisho wa siku😂😂..
Kwaio Chaliifrancisco usitupangie cha kufanya..😆😆😆 Unless kama kila aliekua humu jf unamjua na unajua impact yake katika maisha ya kila siku.. 😂😂😂
Ajabu ni kuwa wapumbavu wanakosesha usingizi wanaojiona werevu,, ah leo nimecheka sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

hahaha usije kuwa ni genius unanichora tu hapa[emoji23][emoji23][emoji23] tafuta uzi wa wapumbavu tukamisiane vizuri huu wa ma genius siuwezi bwahahahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji4][emoji4][emoji4]
 
Kweli na wale anaanzisha uzi kumsifia member flani sijui wanafikiriaga nini

Mambo mengine yaishie PM mahusiano yakp na mtu fulani sisi hayatuhusu but ndo hivp tunaishi nap tu
Ndio upuuzi huo. Yani mtu tena wakiume anaanzisha uzi kumsifia mwanaume mwenzake.

Ndio hao hao wanaofanya wakataa ndoa wapate kiki hapa jukwaani. Yani ulimbukeni umekuwa mwingi. Nawalaumu wachina kwa kuleta cheap smartphones
 
Wewe mwenyewe ni mfano wa typical local uncivilized Africans
Screenshot_20230311-175554.jpg
 
Back
Top Bottom