Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Kapicha cha kusapoti uzi, jana ile kuingia nimekutana na hii trend nimecheka sana ..View attachment 2546266
Ujinga ni mwingi sana hapa JF. Hii nchi tutaendelea kuteswa kwakuwa wajinga ni wengi.

Lema akiwaambia ukweli wanamuona ni mjinga. Kumbe mtu mjinga ukitaka kumrekebisha anakuona wewe ndio mjinga.
 
Ni wivu tu wa likes comments na trending ya uzi, kwakweli inauma sana mtu kuandika uzi wa kipuuzi kwa mujibu wako akapata page 50 kwa masaa kidogo tu wakati wewe unaandika madini na unaenda wiki hata page 5 hufiki,
Ooza kapeace nimekumiss [emoji55]
 
Umeandika ukweli mtupu, wengi ni vilaza wasiojielewa
Licha ya mada zisizokuwa na maana kuchangiwa ila hata za wizi wa mali ya umma huwa wengi wanafurahia kuibiwa yaani sijui huwa wanamkomoa nani

Tuna watu wa ajabu sana, watu ambao hata maendeleo ya mtu wanayashangaa
Mitandao mingine ya wenzetu hoja zao na michango yao mingi inasaidia sana
Lakini pia tataizo ni mods pia wanachangia
Mtu anaamka anaamua kutuambia kakimbiwa na Malaya na hela zake
Sasa sisi haituhusu ila mods wataiacha ichangiwe na wajinga
Utafikiri wanalipwa kwa nyuzi kuwa na wachangiaji wengi we don't know
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka kama fala
 
Profession ya ujinga? What is profession nigga? Do you hear yourself?

Yani kuandika upuuzi au kupenda upuuzi nayo imekuwa profession?
Nigga Kwa mbali unataka kuniaminisha una akili ila kadri navyojaribu kusogelea Ubongo wako nakuona Hauna akili.


Nimekuambia, mtu anaweza kua na Profession Fulani, ila sio muda wote aandike masuala ya profession yake, Kuna wakati anaamua kuandika mambo ya kijiiiiinga ili mradi siku ziende.



Ngoja nikuulize, Wewe nyuzi zako zote ni za Kiprofession au maandiki yako yote ulowah changia humu ni ya Kiprofession??.
 
majukwaa na mada ndiyo vinaamua mada itembee/isitembee. Kila mtu ana interest zake jf hatuwezi wote kuwa washabiki wa MMU au siasa n.k
Kwenye kundi lolote la watu wengi kuna kila aina tofauti tofauti za watu ni kuchagua upande wako unaofit.
Well said
 
Sisi ngozi nyeusi tunaojielewa tupo wacheche sana (mimi mmoja wao).

Yani hapa jukwaani ikianzishwa mada ya kipuuzi (hasa inayohusu mapenzi) inarukiwa haraka sana na watu (wengi ni vichwa panzi, hasa wanawake).

Na ili thread itembee vizuri utakuta wanaume (vichwa panzi na wanaopenda sifa kwa kutamani wanawake) nao wanarukia mada haraka na kukuta thread imetembea haraka kwa mijadala ya kiwaki (kipumbavu) isiyokuwa na tija.

Hili jambo ni observe muda mrefu sana. Mimi sio muanzisha mada mzuri hapa JF mara nyingi napenda kuchangia. Hii ni kutokana na kuwa najua mada zangu ninazoziwaza hapa nikileta haziwezi kupata wachangiaji.


Wengi kwanza hawataelewa au watakuwa uninterested kwakuwa sio mambo wanayoyapenda (wamezoea ujinga).

Leo tu nimekaa nikawaza kufanya social experiment niandike mada ya kipuuzi (angalia thread yangu ya mwisho kabla ya hii) nimegundua hapa JF (ambapo kwa sample ya kitafiti inafaa kujumuisha watu wote weusi wa hapa nchini) kuwa watu wengi ni wapumbavu na wasio na akili.

Mtu akianzisha mada (hasa wenye jinsia ya kike, ambao wengi mtandaoni sio wakike wote) basi mijinga mingi hukimbilia kudakia mada hiyo ya kijinga na utakuta uzi una trend sana.

Lema akisema ukweli kuwa sisi ni maskini utakuta hao hao wajinga wanamlaumu kuwa anatukana watu. Lakini ukweli mchungu ni kuwa anapiga kwenye mshono.

Kuna watu ambao angalau wana balance mambo (kuna muda yupo anachangia mambo ya muhimu na huko ujingani/vuruguni anachangamsha genge, mimi mmoja wao).

Ila hapa JF watu wapuuzi ni wengi sana na ndio mada za kipuuzi zisizokuwa na mantiki ndio utakuta zimechangiwa sana na wajinga wengi kuliko mada zenye kuleta tija. Angalia thread za mambo ya kulana kimasihara zinavyofanya vizuri.

Ila thread za kueleweka zinazo make sense zina wachangiaji wachache wenye sense kwakuwa wenye sense ni wachache.

Nonsenses ni kibao.
Tubadilike, kwanza hatuwezi, tuendelee tu kumchukia Lema kwa kutupiga panapouma.

Huu uzi hata jukwaa la kuuweka sijui maana ni multi-whatever.

NONSENSE.
So ushauri wako ni upi? Wahame nchi ubaki mwenyewe au washauri nini?
 
Hiyo sio nzuri sana, tumia hii
Screenshot_20230311_174538_Gallery.jpg
 
Sisi ngozi nyeusi tunaojielewa tupo wacheche sana (mimi mmoja wao).

Yani hapa jukwaani ikianzishwa mada ya kipuuzi (hasa inayohusu mapenzi) inarukiwa haraka sana na watu (wengi ni vichwa panzi, hasa wanawake).

Na ili thread itembee vizuri utakuta wanaume (vichwa panzi na wanaopenda sifa kwa kutamani wanawake) nao wanarukia mada haraka na kukuta thread imetembea haraka kwa mijadala ya kiwaki (kipumbavu) isiyokuwa na tija.

Hili jambo ni observe muda mrefu sana. Mimi sio muanzisha mada mzuri hapa JF mara nyingi napenda kuchangia. Hii ni kutokana na kuwa najua mada zangu ninazoziwaza hapa nikileta haziwezi kupata wachangiaji.


Wengi kwanza hawataelewa au watakuwa uninterested kwakuwa sio mambo wanayoyapenda (wamezoea ujinga).

Leo tu nimekaa nikawaza kufanya social experiment niandike mada ya kipuuzi (angalia thread yangu ya mwisho kabla ya hii) nimegundua hapa JF (ambapo kwa sample ya kitafiti inafaa kujumuisha watu wote weusi wa hapa nchini) kuwa watu wengi ni wapumbavu na wasio na akili.

Mtu akianzisha mada (hasa wenye jinsia ya kike, ambao wengi mtandaoni sio wakike wote) basi mijinga mingi hukimbilia kudakia mada hiyo ya kijinga na utakuta uzi una trend sana.

Lema akisema ukweli kuwa sisi ni maskini utakuta hao hao wajinga wanamlaumu kuwa anatukana watu. Lakini ukweli mchungu ni kuwa anapiga kwenye mshono.

Kuna watu ambao angalau wana balance mambo (kuna muda yupo anachangia mambo ya muhimu na huko ujingani/vuruguni anachangamsha genge, mimi mmoja wao).

Ila hapa JF watu wapuuzi ni wengi sana na ndio mada za kipuuzi zisizokuwa na mantiki ndio utakuta zimechangiwa sana na wajinga wengi kuliko mada zenye kuleta tija. Angalia thread za mambo ya kulana kimasihara zinavyofanya vizuri.

Ila thread za kueleweka zinazo make sense zina wachangiaji wachache wenye sense kwakuwa wenye sense ni wachache.

Nonsenses ni kibao.
Tubadilike, kwanza hatuwezi, tuendelee tu kumchukia Lema kwa kutupiga panapouma.

Huu uzi hata jukwaa la kuuweka sijui maana ni multi-whatever.

NONSENSE.
Una uhakika Africans wote wako hapa jf?
 
Ni kweli Mkuu, Siunaona Leo umeandika Mada ya kipumbavu, nikaisoma ,nikasema hata kama mie mpumbavu, ila wee umezidi Upumbavu ndio maana sikuchangia.


Huyu Robert H, sitomgusia Kwa sababu naye ni binadamu.
Yeah, hujachangia kwasababu ni upumbavu bali umechangia kwakuwa imekupiga kwenye mshono.

Huwezi kumsema Robert kwakuwa huwa hana ujinga. Ana andika sense. He makes sense nigga.
 
Mkuu sisi wadhambi Huwa ndio Bwana Yesu Alikuja kutufia.
Ningekuwa na imani na mawazo kama yako nahisi ningekuwa mtu hatari zaidi, maana kihistoria hizo kimasihara nina kismati nazo sana tena za Quality bora ila nimezikwepa kuogopa dhambi mpaka kuna pisi iliwahi kunichana kuwa nimeshindwa kusoma alama za nyakati na kujiongeza wakati nimebaki mimi na kipa ..
 
😂😂😂😂Jamani karosi aiiiiiiii😂😂😂😂eti ma genius wako wanajadili wapumbavu sijui nani mpumbavu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hawa Ma genius wanatukosea sana.

Kwan Kuna ulazima wawe wanasoma Mada za wapumbavu?.


Siwaendelee kuishauli Serikali namna ya kupunguza inflation tulonayo, waishauri juu ya ma Mega projects .


Sisi watuache na nyuzi zetu .
 
Ningekuwa na imani na mawazo kama yako nahisi ningekuwa mtu hatari zaidi, maana kihistoria hizo kimasihara nina kismati nazo sana tena za Quality bora ila nimezikwepa kuogopa dhambi mpaka kuna pisi iliwahi kunichana kuwa nimeshindwa kusoma alama za nyakati na kujiongeza wakati nimebaki mimi na kipa ..
Umetuangushaaaaa 😂😂😂
 
Kama kuliwa kimasihara sio? Sikupangii kuliwa lakini nimetoa tu maoni yangu kuwa kwa utafuti wangu 'uchwara' nimegundua kuwa wengi humu vichwa panzi ukiwemo wewe hapo.
Sasa sie vichwa panzi laa 7E ndo tunabalance huo mzani wa maisha wa nyie wenye maakili yenu😂😂😂.. Utawaza politics, innovation, technology and whatever ila sxy laazma iwepo mwisho wa siku😂😂..
Kwaio Chaliifrancisco usitupangie cha kufanya..😆😆😆 Unless kama kila aliekua humu jf unamjua na unajua impact yake katika maisha ya kila siku.. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom