Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Mwanaume anaona sifa kulala na kila mwanamke
Sijawahi ona hii mahali aiseee
Anyway ni maisha yake maamuzi yake.
We hujawahi ona ila ndo reality wanaume wengine ni very introverted hawawezi kusema au wengine hawamo jf ila sisi wanaume tunatomba hizo **** mpaka basi tena kuna wengine wamemzidi mkuu hivyo usishangae bora yeye anakula wanawake wa watu sasa wale wanaokula masista wa kikatoliki tena 3somes kabisa na matako yao yalivyomakubwa hao utasemaje

Uzuri jamaa hana unafki wowote ule anasema ukweli kutoka moyoni na experience zake

[emoji846][emoji846][emoji846][emoji846]
 
Mtoa mada wee ndo ujaitambui,
Unatuleteaje habar za lema huku MMU

Huku MMU tunajadili MAPENZI,MAHUSIANO na URAFIKI


Ukija MMU afu ukategemea kupata habar za Lema na kwann Tanzania Ni maskini.

Basi Wewe ndo utapaswa ukapimwe akili[emoji4]
 
Mtoa mada wee ndo ujaitambui,
Unatuleteaje habar za lema huku MMU

Huku MMU tunajadili MAPENZI,MAHUSIANO na URAFIKI


Ukija MMU afu ukategemea kupata habar za Lema na kwann Tanzania Ni maskini.

Basi Wewe ndo utapaswa ukapimwe akili[emoji4]
Check mtoa mada mwenyewe
Screenshot_20230311-175554.jpg
 
We hujawahi ona ila ndo reality wanaume wengine ni very introverted hawawezi kusema au wengine hawamo jf ila sisi wanaume tunatomba hizo **** mpaka basi tena kuna wengine wamemzidi mkuu hivyo usishangae bora yeye anakula wanawake wa watu sasa wale wanaokula masista wa kikatoliki tena 3somes kabisa na matako yao yalivyomakubwa hao utasemaje

Uzuri jamaa hana unafki wowote ule anasema ukweli kutoka moyoni na experience zake

[emoji846][emoji846][emoji846][emoji846]

Mmhh nilidhani nishaona yote[emoji849]
 
Mtoa mada wee ndo ujaitambui,
Unatuleteaje habar za lema huku MMU

Huku MMU tunajadili MAPENZI,MAHUSIANO na URAFIKI


Ukija MMU afu ukategemea kupata habar za Lema na kwann Tanzania Ni maskini.

Basi Wewe ndo utapaswa ukapimwe akili[emoji4]
Wewe ni mpuuzi na story zako za kijinga. Wewe jamaa sijui ni gasho au ni mpenda sifa sana! Maana mada zako za wanawake unajiona mwamba kumbe unajidhalilisha tu.

Kuna muda kama umelewa gongo bora uwe unakaa kimya tu sio kuandika upuuzi wako kisa eti kuna wajinga wanakuunga mkono kwa mada zako za kijinga.
 
Sisi ngozi nyeusi tunaojielewa tupo wacheche sana (mimi mmoja wao).

Yani hapa jukwaani ikianzishwa mada ya kipuuzi (hasa inayohusu mapenzi) inarukiwa haraka sana na watu (wengi ni vichwa panzi, hasa wanawake).

Na ili thread itembee vizuri utakuta wanaume (vichwa panzi na wanaopenda sifa kwa kutamani wanawake) nao wanarukia mada haraka na kukuta thread imetembea haraka kwa mijadala ya kiwaki (kipumbavu) isiyokuwa na tija.

Hili jambo ni observe muda mrefu sana. Mimi sio muanzisha mada mzuri hapa JF mara nyingi napenda kuchangia. Hii ni kutokana na kuwa najua mada zangu ninazoziwaza hapa nikileta haziwezi kupata wachangiaji.


Wengi kwanza hawataelewa au watakuwa uninterested kwakuwa sio mambo wanayoyapenda (wamezoea ujinga).

Leo tu nimekaa nikawaza kufanya social experiment niandike mada ya kipuuzi (angalia thread yangu ya mwisho kabla ya hii) nimegundua hapa JF (ambapo kwa sample ya kitafiti inafaa kujumuisha watu wote weusi wa hapa nchini) kuwa watu wengi ni wapumbavu na wasio na akili.

Mtu akianzisha mada (hasa wenye jinsia ya kike, ambao wengi mtandaoni sio wakike wote) basi mijinga mingi hukimbilia kudakia mada hiyo ya kijinga na utakuta uzi una trend sana.

Lema akisema ukweli kuwa sisi ni maskini utakuta hao hao wajinga wanamlaumu kuwa anatukana watu. Lakini ukweli mchungu ni kuwa anapiga kwenye mshono.

Kuna watu ambao angalau wana balance mambo (kuna muda yupo anachangia mambo ya muhimu na huko ujingani/vuruguni anachangamsha genge, mimi mmoja wao).

Ila hapa JF watu wapuuzi ni wengi sana na ndio mada za kipuuzi zisizokuwa na mantiki ndio utakuta zimechangiwa sana na wajinga wengi kuliko mada zenye kuleta tija. Angalia thread za mambo ya kulana kimasihara zinavyofanya vizuri.

Ila thread za kueleweka zinazo make sense zina wachangiaji wachache wenye sense kwakuwa wenye sense ni wachache.

Nonsenses ni kibao.
Tubadilike, kwanza hatuwezi, tuendelee tu kumchukia Lema kwa kutupiga panapouma.

Huu uzi hata jukwaa la kuuweka sijui maana ni multi-whatever.

NONSENSE.
umeandika kwa hasira
 
Back
Top Bottom