Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

MAVILAZAZZ na MAZIRO yamechachamaa hatari!

Ningekuwa MAXENCE MELO ningeyafyekelea mbaliii

Tatizo MAX anayahurumia sanaa anayalea leaa haya MAZIROO mpaka yameharibu jukwaaa na kuliangamiza

Watu makini kama akina NYANI NGABU wameshakimbiaa yamebakii MAVILAZAAZZ na MAZIROO
 
Jukwaa limeangamizwa na MAVILAZAAZ na MAZIROO pamebakiiii na matakataka tuu huwezi kujifunza lolote.

watu Makini kama akina KIRANGA na wengineo imebidi wakimbie na kupisha MAMBURULAA

Jeshi la MAVILAZA lina nguvu kuliko mgambo wa JIJI.

Jamiiforums imeangamiaa hakuna tena sensitive topics ni maushubwada tu ya MAVILAAZAAZ na MAZIROOO
 
Anzisheni forum ya kwenu vipanga
 
Ndo maana kule intelligence forum mambo yamepungua sana
 
Sikosi hiyo miaka ndio nasio 27+ ni 37+ ila vilaza mkiambiwa ukweli huwa mnafura kama Goliath Frogs.
 
Mkuu watakushangaa kwa uliyoandika hapa ila ndio ukweli
Vijana wanalalamika kutwa kisa hawajui kujituma wala kuongea la maana

Mleta Mada ana hoja ila wengine wana twist kiaina

Nje ya mada hii kuna Habari hapa [emoji636]
Kuna eurovision 2023 itakuwa mwezi wa 5 ila ticket ziliisha dakika 36 tu tangu tickets zianze kuuzwa

Unajua mfano mmepanga foleni kuingia sinema halafu ghafla kundi la watu linakuja na kuwasukuma ili wao wawe wa kwanza na sio hao tu.
Wanakuja washikaji wao pia na kupewa nafasi wajiunge nao huku nyie mkiachwa nyuma

Hiyo ndio ilivyotokea ila kwenye online sales za tickets hizo

Kuna watu wana very sophisticated software ambapo unasukumwa na kurudishwa nyuma, na ticket wananunua wao

Walipofuatilia imejulikana ni group linalojiita Golden Cycle ambao ni secret society
Huwezi amini ni vijana wa miaka 17 ndio wamenunua ticket zote hizo kwa dakika 36

Najua sio jambo la kuwasifia vijana hao ila wana akili sana kiasi wamewazidi hao wauzaji wa tickets na wataalamu wao

Sisi vijana wa miaka 17 anawaza mastubate tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…