Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
Mi namshangaa huyu kenge sijui leo kanywa bia gani anakuja kutuandikia mada za kipuuzi jukwaani[emoji23][emoji23]Ila watuuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi namshangaa huyu kenge sijui leo kanywa bia gani anakuja kutuandikia mada za kipuuzi jukwaani[emoji23][emoji23]Ila watuuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa tu dear, maza angu amenifikisha nilipo, sadly ali pass away. Ila endeleza legacy biaatchHutaki niwe mfanyabiashara kama maza ako chalii
Namimi siogopi maana vilaza wote nawaweza. Wenye akili ndio nawaogopa mkuuWatakupiga vita na maneno mengi ila ulichokiandika ni ukweli mchungu
Legacy ya mama,, ndo uheshimu kazi za watu maana zimekufikisha hapoKuwa tu dear, maza angu amenifikisha nilipo, sadly ali pass away. Ila endeleza legacy biaatch
Ama kweli mujini hapo
Naona pension yangu inayeyuka hapa
Acha nikae pembeni niwaze kwanza
Kenge ya buluu hii,😂Mi namshangaa huyu kenge sijui leo kanywa bia gani anakuja kutuandikia mada za kipuuzi jukwaani[emoji23][emoji23]
mkuu nimecheka sana huyu jamaaSpesho case muangalie Rutashubanyuma ana nongwa Hana muda wa kuwaquote watu wake wauchangaie uzi wake anaanzisha na kumalizia mwenyewe
Yeah, how much do you go for honey?Legacy ya mama,, ndo uheshimu kazi za watu maana zimekufikisha hapo
UsijaliBasi enjoy wanacho post wengine
Yeah, how much do you go for honey?
Kuna watu wanaku-support ili usije kuwaita vilaza maana wameshakusoma wewe ni mtu wa aina gani.Namimi siogopi maana vilaza wote nawaweza. Wenye akili ndio nawaogopa mkuu
we jamaa bhana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usome Kwa kutuliaaaa, ukiweka kitandan atoke anasema hivi
View attachment 2546324
..
View attachment 2546326
Boss kaelewa Shoooo.....
Alamis napiga Tena mechi ya marudio
Vizuri kwa kuelewa somoI mean no malice to nobody 🙏💪
Na hataopata zingine kama hizi si ameanzisha bifu na siye anaotuita vilazaPage 29..ila likes mbona chache bana..wandugu msiwe wachoyo ivyo
Anzisheni forum ya kwenu vipangaJukwaa limeangamizwa na MAVILAZAAZ na MAZIROO pamebakiiii na matakataka tuu huwezi kujifunza lolote.
watu Makini kama akina KIRANGA na wengineo imebidi wakimbie na kupisha MAMBURULAA
Jeshi la MAVILAZA lina nguvu kuliko mgambo wa JIJI.
Jamiiforums imeangamiaa hakuna tena sensitive topics ni maushubwada tu ya MAVILAAZAAZ na MAZIROOO
Ndo maana kule intelligence forum mambo yamepungua sanaJukwaa limeangamizwa na MAVILAZAAZ na MAZIROO pamebakiiii na matakataka tuu huwezi kujifunza lolote.
watu Makini kama akina KIRANGA na wengineo imebidi wakimbie na kupisha MAMBURULAA
Jeshi la MAVILAZA lina nguvu kuliko mgambo wa JIJI.
Jamiiforums imeangamiaa hakuna tena sensitive topics ni maushubwada tu ya MAVILAAZAAZ na MAZIROOO
Sikosi hiyo miaka ndio nasio 27+ ni 37+ ila vilaza mkiambiwa ukweli huwa mnafura kama Goliath Frogs.Ye mwenyewe kilaza mwenzetu tu
Mtoa mada hakosi miaka 27+
Mchana kuna uzi nikawa mentioned ikabidi nichungulie kunani… nakuta eti anatuuliza kama ni sahihi kumnunulia paints dada/ mama.
Mtu mwenye akili zake huyo, kashindwa hata kucope na tamaduni za nchi yake.
Mkuu watakushangaa kwa uliyoandika hapa ila ndio ukweli..mkuu mtoa mada umeongea ukweli ulio-wazi. Vijana wa Tz tunaangamia sana hasa kiuchumi kwa kuharibu akili aliyotupa Mungu..hatupo makini kwenye vitu basic vya maisha sbbu akili zimeharibika kwa mizaha, ngono, etc..na hili lipo wazi maana hata Biblia imesema hana akili aziniye na mwanamke; usiketi barazani pa wenye mizaha (Zab 26;5), mazungumzo mabaya huharibu tabia njema (1 Corinth 15:33)!
..kurelax ni muhimu sana na social chatting is healthy but vijana wa tz muda mwingi tunaishia kwenye mambo yasiyo na maana kabisa na kuharibu akili zetu. Pia watu wanachanganya kuwa makini ni kujadili mambo ya siasa..this is big NO..hakuna mambo yanayogusa vijana kama uchumi..tuna resources nyingi sana mataifa ya nje yanakuja yanafanikiwa..wahindi&waarabu hawafatilii siasa wao wanakomaa kupeana info na kujadiliana fursa za kiuchumi wanafanikiwa sana. Vijana wa mataifa mengine fikra zao zipo vizuri sana na sisi tunaweza tukibadilika. Social iwepo ila nguvu kubwa tuweke kwenye uchumi na info za fursa.