Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Hasira kali, kunywa maji kwanza kidogo. Take a sip
Yaani hapa nilipo NASAGA MENO!! MAVILAZA na MAZIRO yanaangamiza jukwaa kimzaha mzaha!!

Watu ambao kweli wanatomba hawana muda wa kuja kunyanduana kwa kuchati mtandaoni!!! Sex chat ya kazi ganii! Huna nguvu za kiume au kibamiaa tuu!

Mwanaume ni kutomba, sio kujibebisha na makahaba mtandaoni!! Wengine tupo humu kwa ajili ya kuwasoma wabobezi kama kina KIRANGA na NYANI NGABU, sio kuja kufanya SEX CHAT

Watu makini kama KIRANGA unawasoma huku unaokoteza vimisamiati vya ugoko na kuvinakili chini kwenye kijikaratasi ili na wewe ukatambe navyo mahali

Sasa haya MAVILAZAZZ na MAZIRO unajifunza nini? Kama kutomba si natomba mke wangu na malaya mtaani kibao

MAVILAAZAAZZ na MAZIROO tupuu.. MAFEKII
 
Wacha kila mtu afanye apendalo ila kwasasa bora uandike point kwenye sio jf
 
Likes kwani zinaliwa mkuu? Kufagilia likes ni mental case unless uwe unalipwa based na likes unazopata,labda kwenye jukwaa la kupata zawadi JF kwa kuanzisha mada ambapo mwenye likes nyingi ndiyo anashinda
Mkuu King Kong hawa watoto wajuaji sana. Hebu nikuombe mkuu upumzike achana na hivi vilaza. Naheshimu sana michango yako.
 
Kwa kuwa viongozi wakuu wanapitia humu,napenda kutoa ushauri mmoja,

Uwezo wa kufikiri kwa vijana waliozaliwa 1995 na kuja juu unazidi kushuka,ukifuatilia mada zao za mitandaoni ni vichekesho,ukisema uende kwenye vijiwe vyao ukisikiliza wanayoyajadili muda mwingi unachoka,ukikutana nao kwenye madaladala ni yale yale tu, mazungumzo ni mpira na muziki tu,

Tanzania itakuja kutawaliwa na wageni miaka ijayo,vijana wetu wanajua kusoma na kuandika kizungu zaidi kuliko uwezo kuchambua mambo kwa upana katika nyanja zote za kimaisha na matokeo yake lawama za ajira zimekuwa nyingi huku fursa zikiwa zimewazunguka kila upande,

Nakionea huruma kizazi kijacho cha nchi hii,vijana wa Naijeria wanajiona wao ni wenye nguvu Afrika kimawazo na kiutafutaji,sisi tunabaki kupambana na vitu vya kipuuzi,

Tuanze kufundishana mambo ya msingi tumechoka na mada za ngono huku mtaani unga upo juu na maharage pia lakini madini ya Nikel na Copper(Critical Minerals kwa ujumla) yamejaa na yanasoko kubwa huko nje ila hapa yanachimbwa na wageni wakati tungeweza hata kuungana km vijana tukachimba wenyewe na kubadili maisha yetu na kusaidia familia zetu
 
Unakuta mtu kiuhalisia nj jinsia ya kiume lakini humu Jf ana utambulisho wa kike. Sasa huwa najiuliza mtu wa namna hii ana akili kweli kichwani? Point ya kutaka kutambulika mwanamke ni nn? Ndio maana mimi nimekuwa mzito sana kuingia Jf siku hz. Mambo ya kijinga ni below 10% yaliyobakia yote ni ujinga wa kutupotezea muda na bando tu.
 
Yaani ni bora SAMIA ATAWALE MPAKA MILELE kuliko haya MAVILAZA na MAZIROO tunayoyaona mtandaoni na mitaanii

Uelewa duniii ni MATAKATAKA hayajui chochote zaidi ya kumeza madawa ya kuongeza matako.

Nikipiga kura nitapiga ya kumpa SAMIA URAIS WA MILELEE watuongoze yeye na genge lake la msoga mpaka kiama.

Kizazi cha MATAKATAKA
 

Unawezakuwa umesoma lakini ukawa mjinga.
 

Mbona kama wewe ndio ngumbaru?

Unataka kusema huna vitu vyenye tija vya kimaisha vya kuleta humu mbali na hiyo profession yako uchwara?
 
Sasa mijimitusi ya nini mkuu??mpe tu hoja zako naye akujibu kwa hoja ..Kukashifiana sio unyama mwaisa au unanambiaje??
 
Siku hizi hapa JF ukija kwa lengo la kuelemika utaambulia ziro.
Natamani iwepo namna ya kuignore Jukwaa zima.

Wajinga wanazidi kuongezeka, na elimu zao za degree.
Kwani elimu ni mpaka uone madesa mkuu,?mbona ukiwa unataka kuelimika unaelimika tu hata kwa mada hizi hizi za kawaida,elimu ni kitu chochote ambacho kimekufunza jambo ambalo mwanzo hukuwa unalijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…