Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Kweli mleta mada umetimiza ndoto zako za miaka mingi tangu 2017
Kupata comments na likes za kutosha [emoji91][emoji91]

Kwani likes na comments nyingi ndiyo zinaleta ugali mezani? Nenda FB kamuangalie Vunja Bei akipost kitu comments zake hazizidi 50 lakini ni bilionea ,sasa angalia kina jumalokole na rueben wakipost likes kama zote lakini wanazibuliwa kwa afuishirini.
 
Kweli mleta mada umetimiza ndoto zako za miaka mingi tangu 2017
Kupata comments na likes za kutosha [emoji91][emoji91]
Kama ni ndoto yako kupata likes mkuu endelea kuifukuzia. Mimi nasaka dough mkuu kama una ujuzi wa umeme au metallurgy niambie nikupe kazi.
 
Tumpe doso kidogo eti? Ngoja aje alambe dagaa na ulimi
Tunamwaga dagaa hapo chini kisha aokoteze na ulimi
Mhhh hana ubongo maumivu hawezi skia mana hata hisia zimekufa ni mtambo wa CCM huo.
 
Guys hamna mtu anaekukataza kupost ishu unapost nini

Mtu unakuta yeye almost thread zake hazielewekagi inaacha maswali mno kwa sisi wasomaji

Post as much as you can, mingle as many as you can is up to you

Kikubwa kaa chini afu fikiria unayopost yanaleta image gani

I come in peace
Tafuta kitabu cha Mark Manson kitakusaidia sana kuielewa hii statement yako
 
niliwekaga uzi wakutafuta mke humu chaajabu watu wakaupotezea😄😅😅
Haya MAVILAZA na MAZIRO ya humu ni MAFEKIIII, usiyachukulie serious.

Humu kila mtu ana VIEITEE na ana mboro kubwaa lakinii kwenye nyuzi za kutafuta ajira wamoo wanachungulia kama mandondocha. Ukizama kwenye nyuzi za kuongeza nguvu za kiume pia wamoo wanalia lia wana vibamia.

MAFEKIIIII, MAZIROO tupuuu!!

Eti ohh, niliopoa dem mkalii nikiwa naendesha TOYOTA CROWN... aiseee 😮😮😮

MAVILAZAAAZZZ MAZIROO, FEKIII TUPU
 
Lema kakosea au ameshindwa kutetea hoja yake tu

Kazi zile ambazo wewe binafsi unazifahamu kama ni kazi za laana bado hupeleka chakula mezani kusomesha na kujenga
Kusema sababu hizo tu ndiyo kufanya kazi fulani isiwe ya laana hazitoshi
Kwa hiyo wewe na Lema nakuwekeni kundi moja kwamba mmeshindwa kutetea hoja zenu
Unaweza fafanua kinachoifanya kazi ya bodaboda kuwa kazi ya laana?
 
Makasitiko gani? Hizo ni findings! Anawapa elimu majuha waelewe ,waache kushabikia mada za kipumbavu....Wabongo hawapendi kuambiwa ukweli ndiyo tatizo ,ukimwambia ukweli mnagombana na ndiyo maana unafiki unakuwa mwingi.
Hamjakatazwa kupost hizo mada critical,so punguzeni makasiriko nyie vipanga wa mchongo
 
Makasitiko gani? Hizo ni findings! Anawapa elimu majuha waelewe ,waache kushabikia mada za kipumbavu....Wabongo hawapendi kuambiwa ukweli ndiyo tatizo ,ukimwambia ukweli mnagombana na ndiyo maana unafiki unakuwa mwingi.
Yachane hayo MAVILAZAZZ na MAZIROOO

Badala ya kutomba, yapo humu yananyanduana kwa kuchati
 
Nipo tangu 2013 humu,lakini miaka ya karibuni nimefanya tathimini yangu naona uwezo wa JF unazidi kushuka,

Uongozi wa JF msipoweka vigezo vya mada za msingi hili jukwaa litakosa maana na watu wenye uwezo kama yule memba anayeitwa Barafu hamtoona akichangia kwa kuwa muda mwingine tunatamani tushushe nondo lakini kila tukiangalia wachangiaji tunachoka tu,tunabaki kukaa kimya
 
BROOOO... MAVILAZA na MAZIRO yamejaa humu yameshika hatamu na yana nguvu kuliko MGAMBO WA JIJI.

Kila kitu wanajua wao, ukiweka mada wanavamia wao, wanajebebisha na kunyanduana kwa kuchati.

Magari wanayo wao, madem wakali wanamiliki wao, mboro kubwa wanazo wako, kila kituu...

NI MAFEKIII MAMBURULAAAZZZZZ hayana lolote!!! Vibamia makapuku yanashindia CHACHANDU na VIMCHUZII vya mgahawa.

Maxence Melo afanye kuyafurusha kabla jukwaa halijafa hili maana watu wote wenye akili wanakimbia ili kuyapisha haya MAVILAZAAZ na MAZIROO yasiyo na upeo wowote.
Hasira kali, kunywa maji kwanza kidogo. Take a sip
 
Back
Top Bottom