Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Anzisheni forum ya kwenu vipanga
Nyie MAVILAZAZ na MAZIRO mliovamia jukwaa ndo msepe. Mnaangamiza jukwaa kwa UMBURULAA.

Kwanini msijiunge kwenye KUNDI LA MAVILAZA mkaanzisha blogu yenu muwe mnatemeana mauchafu huko!?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Unamkuta mtu kwenye MMU anaopoa watoto wazuri na Crown Athlet yake ila kwenye jukwaa la ajira tupo pamoja kuulizana TAESA wanajibu baada ya muda gani
Tunaishi kwenye comfort zone ndio maana wakija wenye michango chanya tunawafanya wajihisi vilaza kama sisi
Kwenye hizo mada za ngono ndo utacheka balaa mwanume anaigiza ana pesa kinoma alafu mwanamke anaigiza ni wa hadhi ya juu hata aina ya vinywaji vyake ni vya kwanzia 50K
Kumbe kila mtu bado anajitafuta kimaisha hana kitu Cha maana
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Unamkuta mtu kwenye MMU anaopoa watoto wazuri na Crown Athlet yake ila kwenye jukwaa la ajira tupo pamoja kuulizana TAESA wanajibu baada ya muda gani
Tunaishi kwenye comfort zone ndio maana wakija wenye michango chanya tunawafanya wajihisi vilaza kama sisi
MAVILAZAZ na MAZIRO yanajifarijiana kwa maisha feki na kunyanduana kwa kuchati 🤣🤣🤣

Real life mchizi anakula vumbi na kushindia mihogo na chachandu

MAVILAAZAAZ, full kufekiiii mchizi kibamiaa ila ana mikwaraa nguvu zenyewe hanaaa PUMBAVU
 
Jaribu kuanzisha forum ya vitu critical tu na Kisha mualikane nyie wagumu tu halafu uje unipe mrejesho

Mwambie Melo JF Founder halafu Majukwaa hayo yapo humu JF, jaribu kumuelewa mtoa mada na mchangiaji.

Hoja mada za kijinga ndiyo trending lakini critical haziendi mjini ,mtoa mada amefanya tafiti kulingana na kuangalia trending za criticals na upupu ,kwahiyo majukwaa ya critical yapo.
 
hivi
ukimwambia mtu kilaza basi inakufanya wewe kuwa na akili

kuna wakati jamaa walitukuta kundi tunapiga stori za mpira, yule bwana akaanza sema sisi ni wapuuzi muda wote tunawaza pombe na mipira ikija michongo ya maana hatufanyi blablablah nyingiii kachomekea mchongo wa biashara za mtandao wale wazee wa kununua saa milioni unapata milioni

nikampinga jamaa wakanishambulia sana, akili zangu zinawaza ujinga tu mambo ya maendeleo hakuna

wale jamaa mpaka kesho nawaita mabepari wenye kujua kila kitu ila huwa hawapendi

NB :sijui hata nilitaka kusema nini.
 
Mwambie Melo JF Founder halafu Majukwaa hayo yapo humu JF, jaribu kumuelewa mtoa mada na mchangiaji.

Hoja mada za kijinga ndiyo trending lakini critical haziendi mjini ,mtoa mada amefanya tafiti kulingana na kuangalia trending za criticals na upupu ,kwahiyo majukwaa ya critical yapo.
Aaache makasiriko sasa
 
Back
Top Bottom