Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
- Thread starter
- #641
Hebu njoo chumbani ulale acha kuhangaika.Nimebebishana wapi jaman [emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu njoo chumbani ulale acha kuhangaika.Nimebebishana wapi jaman [emoji849]
Kilaza Bibi yako mbwa wewe.Lloyd Munroe wewe si kilaza butu poti.
Nyie MAVILAZAZ na MAZIRO mliovamia jukwaa ndo msepe. Mnaangamiza jukwaa kwa UMBURULAA.Anzisheni forum ya kwenu vipanga
Vilaza tuko wengiMwambie jaman[emoji38][emoji38][emoji38]
😂😂 uwezo haupo uongo?Huniruki wewe sema tu basi yani
Kilaza Bibi yako mbwa wewe.
Unaelewa sasa namna ukilaza ni unkwepable?Nipe connection. Namimi naingia kwenye ukilaza ila sio mbaya mara moja kwa mwaka.
Ni dagaa wametype kamanda au 🤣🤣🤣Kilaza Bibi yako mbwa wewe.
Kwenye hizo mada za ngono ndo utacheka balaa mwanume anaigiza ana pesa kinoma alafu mwanamke anaigiza ni wa hadhi ya juu hata aina ya vinywaji vyake ni vya kwanzia 50K[emoji23][emoji23][emoji23]
Unamkuta mtu kwenye MMU anaopoa watoto wazuri na Crown Athlet yake ila kwenye jukwaa la ajira tupo pamoja kuulizana TAESA wanajibu baada ya muda gani
Tunaishi kwenye comfort zone ndio maana wakija wenye michango chanya tunawafanya wajihisi vilaza kama sisi
MAVILAZAZ na MAZIRO yanajifarijiana kwa maisha feki na kunyanduana kwa kuchati 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]
Unamkuta mtu kwenye MMU anaopoa watoto wazuri na Crown Athlet yake ila kwenye jukwaa la ajira tupo pamoja kuulizana TAESA wanajibu baada ya muda gani
Tunaishi kwenye comfort zone ndio maana wakija wenye michango chanya tunawafanya wajihisi vilaza kama sisi
Na hataopata tena,Japo ameziomba indirectlyKweli mleta mada umetimiza ndoto zako za miaka mingi tangu 2017
Kupata comments na likes za kutosha [emoji91][emoji91]
Kumaliga nimetoka evening PT kuumia nakuta mtu anaiita kilazaNi dagaa wametype kamanda au 🤣🤣🤣
Jaribu kuanzisha forum ya vitu critical tu na Kisha mualikane nyie wagumu tu halafu uje unipe mrejesho
Nipe koneksheni basi. Shida sio ukilaza shida ni kuukataaUnaelewa sasa namna ukilaza ni unkwepable?
Aaache makasiriko sasaMwambie Melo JF Founder halafu Majukwaa hayo yapo humu JF, jaribu kumuelewa mtoa mada na mchangiaji.
Hoja mada za kijinga ndiyo trending lakini critical haziendi mjini ,mtoa mada amefanya tafiti kulingana na kuangalia trending za criticals na upupu ,kwahiyo majukwaa ya critical yapo.
Hili ukiingia hutokii ,wee tulia na Mpenzi wako Mmoja mwaminifu .Nipe connection. Namimi naingia kwenye ukilaza ila sio mbaya mara moja kwa mwaka.