Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Mkuu nipe address yako nikuletee Meerust Rubicon vintage 1995,salute mkuu
 
Mtoa mada wee ndo ujaitambui,
Unatuleteaje habar za lema huku MMU

Huku MMU tunajadili MAPENZI,MAHUSIANO na URAFIKI


Ukija MMU afu ukategemea kupata habar za Lema na kwann Tanzania Ni maskini.

Basi Wewe ndo utapaswa ukapimwe akili[emoji4]
Kama ni mtihani hapo ni out of point o.p
 
Ni wivu tu wa likes comments na trending ya uzi, kwakweli inauma sana mtu kuandika uzi wa kipuuzi kwa mujibu wako akapata page 50 kwa masaa kidogo tu wakati wewe unaandika madini na unaenda wiki hata page 5 hufiki,
Waache kuandika nyuzi ndio soln ya kudumu

Wawe kama sie wasomaji
Madini yao wabaki nayo vichwani kama wanahisi kwa comments hayatoshei mpk waweka na nyuzi.
 
Mmhh nilidhani nishaona yote[emoji849]
Ohooo dada we acha tu kuna ufuska unafanywa na wanaume kwa hawa ke mpaka basi ni [emoji383] yako tu na uwe avg looking wanaume tunatomba hao ke yaani zinazagamuliwa kama pipi vile mkuuu.

Tembea uone ..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…