Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
- Thread starter
-
- #121
Same speciesWaache kuandika nyuzi ndio soln ya kudumu
Wawe kama sie wasomaji
Madini yao wabaki nayo vichwani kama wanahisi kwa comments hayatoshei mpk waweka na nyuzi.
Bipolarππππ ndo usitufokeee sasa, unampangiaje mtu cha kufanya kwa bundle lakeee chaliiiiπππWho's mental? You is dreaded, find yourself
Kweli na wale anaanzisha uzi kumsifia member flani sijui wanafikiriaga nini
Mambo mengine yaishie PM mahusiano yako na mtu fulani sisi hayatuhusu but ndo hivo tunaishi nao tu
Maumivu ni makali mno, yani mi nashangaa mtu kuumia kiasi hiki na anaowaita vilaza,, halafu vilaza wenyewe sasaπππWaache kuandika nyuzi ndio soln ya kudumu
Wawe kama sie wasomaji
Madini yao wabaki nayo vichwani kama wanahisi kwa comments hayatoshei mpk waweka na nyuzi.
Uzi wako huu ulipasuka kinoma full nondoz kama unapambania kombe vileπππThread 'Jinsi ya Kumfikisha mwanamke Kileleni (Mfanye mwanamke wako akojoe kwanza kabla yako)' Jinsi ya Kumfikisha mwanamke Kileleni (Mfanye mwanamke wako akojoe kwanza kabla yako)
Pitieni Huu Uzi, komenti ya mwisho, Kuna MJINGA mwenzangu kanichekesha ππππ
Alafu mmshauri Cha kufanya
Katika thread sifunguagi ni zakwako ππ my brain can't consume toxic and shitYaaan hata usifanye mambo kua magumu.a
Unataka kuniambia wee ni bikra? Kwamba aliyekutoa bikra mpaka Leo unaye ? Kwamba ndio atakuoa?.
Duuuhh wakuuuu mbona hamuishi kwenye uhalisia
Ningeshangaa mmiliki wa Chama usifike kikaoni.Wivu utakuua bob
Kwani watu kuoneshana mahaba public ni kosa nalo kumbe π πPalina, SI juzi tu ulikuwa una furahiaaπ€π€
Don't take things too personalKatika thread sifunguagi ni zakwako ππ my brain can't consume toxic and shit
Wajinga hawawezi kukuelewa. Akili chafu zinataka kulishwa uchafu tu. Ni sawa na mende na nzi ukifanya usafi wanakimbia.Not at all
Japo kuna majukwaa mengi ila mtu aki log in JF hana mambo ya maana anayolisha akili yake zaidi ya ujinga
Lisha akili yakp vitu vinavyojenga sio kubomoa mkuu
π π π πKweli na wale anaanzisha uzi kumsifia member flani sijui wanafikiriaga nini
Mambo mengine yaishie PM mahusiano yako na mtu fulani sisi hayatuhusu but ndo hivo tunaishi nao tu
πππ Huo Uzi ni kumbukumbu ya vizazi..Uzi wako huu ulipasuka kinoma full nondoz kama unapambania kombe vileπππ
Inashangaza[emoji23][emoji23]nakupiga ban tena life ban
Huuu uzi nachukua notes kabisa niende kumshughulikia vyedi mwezi wa 7 [emoji19]Thread 'Jinsi ya Kumfikisha mwanamke Kileleni (Mfanye mwanamke wako akojoe kwanza kabla yako)' Jinsi ya Kumfikisha mwanamke Kileleni (Mfanye mwanamke wako akojoe kwanza kabla yako)
Pitieni Huu Uzi, komenti ya mwisho, Kuna MJINGA mwenzangu kanichekesha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu mmshauri Cha kufanya
Wakija uzi wetu wa usiku, SI watatuuta vichaaaKwani watu kuoneshana mahaba public ni kosa nalo kumbe π π
Ye mwenyewe kilaza mwenzetu tuMaumivu ni makali mno, yani mi nashangaa mtu kuumia kiasi hiki na anaowaita vilaza,, halafu vilaza wenyewe sasaπππ
Sijakupangia ndugu, nimesema wajinga ni wengi. Kwakuwa na wewe ume fall kwa category ume take it personal.Bipolarππππ ndo usitufokeee sasa, unampangiaje mtu cha kufanya kwa bundle lakeee chaliiiiπππ
Aah the problem bhana wanatumia nguvu nyingi kutuaminisha mahusiano yake na mtu fulani , wanachosha mnoHahahha threads za hivo zimekua nyingi
Watu wana umaarufu wao bana[emoji16]
Ila JF is never boring wallah