Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Ndio umepata nguvu za kunijibu sahivi? 😂Sikosi hiyo miaka ndio nasio 27+ ni 37+ ila vilaza mkiambiwa ukweli huwa mnafura kama Goliath Frogs.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio umepata nguvu za kunijibu sahivi? 😂Sikosi hiyo miaka ndio nasio 27+ ni 37+ ila vilaza mkiambiwa ukweli huwa mnafura kama Goliath Frogs.
Usinitafute ubaya, tumetoka mbali. Niache ni deal na watu wanguNdio umepata nguvu za kunijibu sahivi? 😂
Huko intelligence yanayoposti yote hayajielewiNdo maana kule intelligence forum mambo yamepungua sana
Dada leo nimeamua niwachane mavilaza ya JFMdogo wangu leo umekula maharage ya wapi
Watu wote makini wameikimbia Jamiiforums kwa sababu ya uvamizi wa MAVILAZAZ na MAZIROONdo maana kule intelligence forum mambo yamepungua sana
Sitaq 🤣🤣🏃♂️Usinitafute ubaya, tumetoka mbali. Niache ni deal na watu wangu
Mjanja sana wewe na una sense of humor [emoji28]Hahaha hapana mkuu
Ngoja niende nikalime hata pilipili niache utapeli[emoji23]
Tatizo hali ya hewa haishawishi
Bro tunaojielewa ni wachache sana. Wengi wapo kutafuta likes, umaarufu na kupeana maradhi ya STDsJF ya hivyo ilikufa siku nyingi chalii yangu...
Ukiacha mada za kiwaki, kuna raia humu vichwa panzi hakuna kitu wanajua zaidi ya kutukana...
Kwenda huko wewe ipo siku yako. 😂Sitaq 🤣🤣🏃♂️
Shangazi ShikamoooWengine ni wamama wakubwa na mashangazi pia
Ndio upate picha ilivyo mkuu
MAVILAZAZ na MAZIROJF ya hivyo ilikufa siku nyingi chalii yangu...
Ukiacha mada za kiwaki, kuna raia humu vichwa panzi hakuna kitu wanajua zaidi ya kutukana...
Haitokaa itokeeKwenda huko wewe ipo siku yako. 😂
Usipende kunikot ujinga wakoHuko intelligence yanayoposti yote hayajielewi
Ishi nao tu mkuuWatu wote makini wamekimbia kwa sababu ya uvamizi wa MAVILAZAZ na MAZIROO
Halafu ubaya sasa haya MAVILAZAA yana ujuajiii, huyaambii kituu. Bora yangekuwa hata yanatulia.
MAVILAAZA na MAZIROO yamewafukuza watu wote wenye WELEDII, jukwaa la intelligence limebaki kinyonge sanaa
MAVILAZAZZ na MAZIROO yameshika hatamu yanatema TAKA na UCHAFU kila pahali
Kaa kwa kutulia. Mimi sina wenge mamalai nakulia radar tu 😂Haitokaa itokee
Labda univutie 🌿🍀
Hivi hivi hutoboi mjomba 😂
Huku watu wanatabia za kitapeli maneno na fix nyingi Wakati najiunga jf nilikua naogopa kuchangia mada maana kila mtu alikuaga na gari kasoro mimi na kila mtu anafanya kazi kwenye ofisi zenye AC mwenye mshahara mdogo ilikua take home ni 1.5M tena analalamika anataka aache kazi,![]()
![]()
anaielezea ngono![]()
Japokua mapenzi ni mada ambayo haiepukiki kujadiliwa ila huku kwetu imezidi
Mara huyu kamwaga ndani ya dakika moja, kule amempelekea moto mpaka akakimbia yan full sarakasi
Mjanja sana wewe na una sense of humor [emoji28]
I wish ningekujua hata nikukodi siku 3 unitembeze mji wako
Potelea mbali nzi akifia kwenye kidonda
Kuna watu unawaamini tu kama mbwa kaona python [emoji1] [emoji1787]
Wewe kwa mguu huo labda ulime kwenye lami