Ukitaka usimkinai mwanamke, usiwe unapiga bao!

Ukitaka usimkinai mwanamke, usiwe unapiga bao!

Angalia. Ndugu utakuwa Umechanganya kwani Mimi naitwa MINOCYCLINE ni Mpemba niko hapa Nungwi Zanzibar Majina yangu Halisi ni Omary Bahari Kibua halafu hata Chuo Kikuu sikufika na nimeishia tu Darasa la Saba.
Tuko pamoja kiongozi..
 
Do
Umegonga wanawake 11 tu unajifanya unajua mapenzi sie wengine tushagonga hadi 299+ tunakuangalia tu,sikia dogo kuna wanawake wana utamu wa ajabu gusa unate,hawakinaishi,ukiingia hutoki
Dogo ana point, hata mwanamke awe mtamu vipi ukipiga frequently utamchoka tu.

Mimi nina mwanamke wangu mtamu balaa anafinyia kwa ndani ile kweli kweli ila sijamchoka kwa sababu simpigi miti mara kwa mara.

Hata hua akija nyumbani kwangu akakaa zaidi ya wiki namchoka na unakuta najitaftia nje napiga akiwepo.

Mwanamke hata we namna gani, ukipiga mara nyingi unamchoka tu.
 
Dogo una point lakini una umri gani?

Wanawake 11 ni wachache sana bwana mdogo, ongeza ongeza kidogo.

Kama unajiweza hakikisha kwa mwaka angalau umeona nyapu mpya zisizopungua 30 huku ukirudia rudia zile za mwaka jana na miaka ya nyuma kwa mbali mara moja moja.

Mwanaume hakikisha kabla hujafika 40 ama 45 una wanawake wasiopungua elfu moja ambao umewatindua.

Mimi kwa nimejiwekea utaratibu angalau wastani wa wiki moja niwe nimekula mwanamke mpya kuchangamsha damu, wiki ziko 52 kwa mwaka hivyo nyapu mpya ni 52 jumlisha za zamani angalau jumla ukiwa na 70 ama 80 kwa mwaka sio mbaya.

Mwanamke mmoja ni mama yako tu.
 
tushajua huna nguvu za kiume jitahidi utafute tiba skuhzi vumbi limekatazwa
 
Angalia. Ndugu utakuwa Umechanganya kwani Mimi naitwa MINOCYCLINE ni Mpemba niko hapa Nungwi Zanzibar Majina yangu Halisi ni Omary Bahari Kibua halafu hata Chuo Kikuu sikufika na nimeishia tu Darasa la Saba.
Hahaha GENTA bana[emoji23]
 
Hayo huwa ni mawazo ya wanaume wasio wakamilifu wenye nguvu za kiume kidogo,lakin mwanaume aliekamilika anapiga hata bao tano na akimuona tena huyo mwanamke anatamani apige tena na tena
 
Saikolojia ya mwanaume iko hivi...

Mwanaume rijali always huwa anatamani kulala (kufanya mapenzi) na mwanamke ambaye hajawahi kulala nae kabla.

Si unasikiaga wanasema eti, wanaume ni watu wa tamaa, wao kila mwanamke anamtamani tu. Hiyo ndio sababu sasa.

Yani iko hivi, mwanaume akishamgonga mwanamke, akapiga BAO. Aisee ile 'curiosity' yoote juu ya huyo mwanamke inapotea. Mwanamke anakua hana jipya tena. Hata kama kamfukuzia miezi sita. Hata kama katumia 300,000 kumpata. Yaani hata kama ni mke wake wa ndoa!!

Kama huamini, mchukue mwanaume aliye kwenye ndoa, muweke upande mmoja wa chumba chenye kioo transparent 🪟. Halafu upande mwingine wa chumba wapange wanawake watatu. Mmoja awe mke wake, wawili wawe wanawake ambao pengine hawajui/anawajua, lakini hajawahi kuwagonga. Kioo kiwe transparent upande mmoja, wanawake wasione upande wa pili alipo mwanaume.

Halafu sasa muulize mwanaume angetamani afanye mapenzi na mwanamke yupi katika hao.

Heheheheee... Akiwa 'honesty' haitotokea akachagua eti amgonge tena mke wake, hakuna jipya pale! Always atakua curious 'kumpiga mashine' mwanamke ambaye hajamkaza before.

Ujue sababu ni nini? Mke wake ashampiga MABAO sana tu. Kiasi kwamba ile 'curiosity' ishagapotea kitambo.

SASA KIPI KIFANYIKE?

Utafiti umefanyika. Na imethibitika kwamba.....

Ukitaka usimchoke mwanamke mapema, jitahidi wakati mnafanya mapenzi usiwe unapiga BAO. Usiwe unamwaga. Yaani ukishamwaga lazima umkinai mwanamke. Hata awe na msambwanda wenye ujazo wa 5000 kg.

Kama ni mkeo wa ndoa?
Fanye uwe unapiga BAO mara chache mno, hasa pale mnapotarajia kupata mtoto.

Mie wanawake karibu wote kumi na moja (11) nilowahi kuwa nao/kuwagonga... Leo hii ukinambia niwarudie yaani sina kabisa appetite nao. Nataman nipate mwanamke 'mpya'.

Kupiga BAO ni climax stage ya mapenzi. Mwanaume ukishapiga BAO baaasi end of the story.

Kuna jamaa yangu anaitwa JAFFARY anaishi Goba Njia Nne ananiambiaga, yaani akilala na mwanamke akimaliza tu kumwaga, hamu yote inakata. Anatamani hata amfukuze mwanamke asepe mapema iwezekanavyo.

Ukitaka usimkinai mwanamke mapema, jitahidi usiwe unapiga BAO!

Mwanamke wangu nilonae sasa hivi, tumedumu miezi saba sijawahi kumpiga BAO. Kumgonga namgonga, lakin kumwaga ng'ooo. Siwazii kabisa wanawake wengine. Hajani-kinai.

Mazozei ya 'Kegel' yamenisaidia sana.
MAZOEZI YA KEGEL YAPI
 
Kwa waliosoma biology na kuielewa hili sio swalala kubishana
images.jpeg
 
Dogo una point lakini una umri gani?

Wanawake 11 ni wachache sana bwana mdogo, ongeza ongeza kidogo.

Kama unajiweza hakikisha kwa mwaka angalau umeona nyapu mpya zisizopungua 30 huku ukirudia rudia zile za mwaka jana na miaka ya nyuma kwa mbali mara moja moja.

Mwanaume hakikisha kabla hujafika 40 ama 45 una wanawake wasiopungua elfu moja ambao umewatindua.

Mimi kwa nimejiwekea utaratibu angalau wastani wa wiki moja niwe nimekula mwanamke mpya kuchangamsha damu, wiki ziko 52 kwa mwaka hivyo nyapu mpya ni 52 jumlisha za zamani angalau jumla ukiwa na 70 ama 80 kwa mwaka sio mbaya.

Mwanamke mmoja ni mama yako tu.
Una umri gani?
 
Back
Top Bottom