Hiyo ni slogan tu boss and mind yu mwanaume ndio anatumia nguvu kubwa kum-keep mwanamke bt wao they don't give a damn abt us.. do yu know why?Mtu anawezaje kujidanganya Mkuu?
Kimantiki MTU hawezi kujidanganya, hata Kiroho na kiimani.
Kwa uelewa wako MTU akiambiwa Aishi na Mwanamke Kwa Akili unafikiri nini kinazungumziwa
Ukiwa nadhifu una maneno mazuri kwake huwa hawakuamini kabisa.😂😂
Wameumbwa kujiumiza wenyewe.
Mwanamke unaweza ukawa mwaminifu kwake alafu akawa na wasiwasi kuwa unamcheat na kamwe hataamini yupo pekeake.
Hiyo ni slogan tu boss and mind yu mwanaume ndio anatumia nguvu kubwa kum-keep mwanamke bt wao they don't give a damn abt us.. do yu know why?
Ukiwa nadhifu una maneno mazuri kwake huwa hawakuamini kabisa.
Tofauti na mwanaume, jamaa anaweza kua na pisi kali na asiwe na hofu nayo kivile kama wao sijui kwanini aisee!!.
Mimi kwangu ni ngumu kumwambia mtu uongo,,hata kama nikitaka kuoa ntamwambia uhalisia wa maisha yangu,, kama akilidhia kuwa na mimi sawa!!
Maana nikisema ukweli huwa nakuwa huru saaana ,,sipendi kuishi maisha ya kufeki
Asa kwanini ulinwambia kwani yeye mwenyewe si anajijua....wewe mwanamke akikwambia una[emoji2420] na kweli unacho utajisikiaje.Ukweli siku zote unauma sio kwa mwanamke wala mwanaume (nakaweka haka [emoji28] ulisema kanapunguza ukali wa maneno.Kuna ukweli hapa....
Niliwahi kumuambia mwanamke mnene kwamba yeye ni mnene....nilijuta sana[emoji28]
Jamani kwani sisi tunajiumba mbona mnatusakama hivyo [emoji28]Halafu wanapenda kuwatania wanaume ila ukitaka akuchukie daima, basi wewe mtanie kuhusu maumbile yake hasa unene na wembamba, Mungu wangu vita ni kubwa mno itakuwa.
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
sasa hadi alinitusi kabisa 😂Asa kwanini ulinwambia kwani yeye mwenyewe si anajijua....wewe mwanamke akikwambia una[emoji2420] na kweli unacho utajisikiaje.Ukweli siku zote unauma sio kwa mwanamke wala mwanaume (nakaweka haka [emoji28] ulisema kanapunguza ukali wa maneno.
Ukweli unaumaHakuna anayetaka kuambiwa ukweli si wanawake tu!
Kuna mambo Bora kukaa kimya tu¡
Tatizo nasali ,,uongo naona kama mtihaniUongo ni mzuri, Ila Uongo ule usioumiza
Hata mimi ningekupa kubwa moja matata [emoji28]sasa hadi alinitusi kabisa [emoji23]
Tatizo nasali ,,uongo naona kama mtihani
afu kwanza hamna kiba100 kwenye uke unaotunzwa 😂Hata mimi ningekupa kubwa moja matata [emoji28]
Jipe moyo [emoji28]afu kwanza hamna kiba100 kwenye uke unaotunzwa [emoji23]
sasa ile si inakua kama plastiki, ikitumika sana inapanuka( 😂😂 ukali wa maneno)Jipe moyo [emoji28]
Inatanuka na kurudi mahala pake [emoji28]sasa ile si inakua kama plastiki, ikitumika sana inapanuka( [emoji23][emoji23] ukali wa maneno)
tuendelee kuvumiliana😅 we need each other....Inatanuka na kurudi mahala pake [emoji28]
Ila ukweli unauma...umeshaanza kuumia [emoji28]tuendelee kuvumiliana[emoji28] we need each other....
una uhakika gani kwamba nina kibamia?? 😂Ila ukweli unauma...umeshaanza kuumia [emoji28]
I didnt say that [emoji2368] wapi nimesema unacho [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]una uhakika gani kwamba nina kibamia?? [emoji23]