Codehood
JF-Expert Member
- Dec 9, 2021
- 345
- 785
Hiyo ni slogan tu boss and mind yu mwanaume ndio anatumia nguvu kubwa kum-keep mwanamke bt wao they don't give a damn abt us.. do yu know why?Mtu anawezaje kujidanganya Mkuu?
Kimantiki MTU hawezi kujidanganya, hata Kiroho na kiimani.
Kwa uelewa wako MTU akiambiwa Aishi na Mwanamke Kwa Akili unafikiri nini kinazungumziwa