Ukitaka wanawake wengi wakuchukie, waambie ukweli

Kuna mmoja alikuwa ananikuta kazini Kwangu na akawa ananiuliza nafanya kazi gani nikamwambia usalama wa taifa ndo kujaa na kunizalia mtoto
 
These insects try so hard to be who they not and not who they are.
Tazama kope feki, nywele feki, kucha feki, rangi ya ngozi feki, shepu feki, mpaka tako feki kudadadeki.

Sasa jifanye we mkweli, we mpe porojo, uwongo na mazaga kama hayo piga spana tembea.
# Ni mtazamo tu.
 
Especially Tanzanian girls.
 
Joanah bhana!
Mwanaume kupenda kusifiwa ni Kutokana na kutokujiamini na kujiona Duni.
MTU yeyote anayetemea Maoni ya Watu kumuongoza ni MTU dhaifu
Kwenye vitabu vyenu vya dini kuna mda yesu alitaka kujua watu wanasema nini kumuhusu yeye , hii imekaaje mkuu ?
 
Halafu wanapenda kuwatania wanaume ila ukitaka akuchukie daima, basi wewe mtanie kuhusu maumbile yake hasa unene na wembamba, Mungu wangu vita ni kubwa mno itakuwa.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
niliwahi mwita mmoja masudi (kwa maana ya masudi sura mbaya mwaka 2005) tukiwa shule

2018 tuna onana na kuwa karibu, alinambia amekuwa akinichukia miaka yote kwa sababu niliwahi mwita masudi

mimi wala hata sikumbuki ila yeye analo hadi leo.
 
niliwahi mwita mmoja masudi (kwa maana ya masudi sura mbaya mwaka 2005) tukiwa shule

2018 tuna onana na kuwa karibu, alinambia amekuwa akinichukia miaka yote kwa sababu niliwahi mwita masudi

mimi wala hata sikumbuki ila yeye analo hadi leo.

😀😀
 
Kuna siku moja mama alipendezaaaaa sana asa ile ametoka akaniuliza mwanangu naonekanajeeee nikamjibu khaaaa yan ata sitaki kukuona yaaani hujapendeza kabisa aiseeee alinimind sana kipindi kile kudadekiii kumbe mm nilisema utan tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…