clifford20
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 205
- 307
Kuna demu bhn aliniuliza nimpe asilimia ngp ya uzuri wake si nikampa 75% bhn ikabidi hiyo madaa iishie hapo hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nini kilitokea?Kuna mmoja jana nimemwambia ukivaa suruali hupendezi kwasababu ya shape ya mwili na ufupi wako ila ukivaa yale magauni ambayo sio marefu sana unapendeza.
Nilijuta sana kumwambia ivo,
Kuna uongo wa wazi kabisa unmwambia na ww unaona lkn yupo tu anajaa. 😂😂😂🙌
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna uongo wa wazi kabisa unmwambia na ww unaona lkn yupo tu anajaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Hahahahah hizo 25 ukashindwa kujibu umezipeleka wapiKuna demu bhn aliniuliza nimpe asilimia ngp ya uzuri wake si nikampa 75% bhn ikabidi io madaa iishie hapo hapo
🤣👋Nakusubiri
Mimi nimegombana Sana na Mama mzazi kwenye maamuzi yeye anaamua Kwa kutumia hisia kweli hata ukimueleza madhara na hatima ya kitu anachokifanya ataniambia "Wewe ni mbishi ukiambiwa husikii ukiharabikiwa ndyo unakuja kuamini".Haya maneno yamekuwa silaha yake kwangu hata kama najua maamuzi aliyochukua siyo.
Mimi nataka niambiwe ukweli tuHakuna anayetaka kuambiwa ukweli si wanawake tu!
Kuna mambo Bora kukaa kimya tu¡
Hakuna anayetaka kuambiwa ukweli si wanawake tu!
Kuna mambo Bora kukaa kimya tu¡
Mimi nataka kuambiwa ukweli!Hakuna anayetaka kuambiwa ukweli si wanawake tu!
Kuna mambo Bora kukaa kimya tu¡
Kuna demu bhn aliniuliza nimpe asilimia ngp ya uzuri wake si nikampa 75% bhn ikabidi io madaa iishie hapo hapo
Kwa unafk na kujipendekeza tupo wengi!Wapo tunaopenda ukweli Mkuu. Yaani ni Bora useme ukweli kuliko uongope ongope au ulete unafiki.
Unaweza kuwa na V8 ya serikali na ina namba ya serikali. Ukamwambia hii ni yangu na akaamini. Na akaweka kishoka kwa kuvimba.
Halafu wanapenda kuwatania wanaume ila ukitaka akuchukie daima, basi wewe mtanie kuhusi maumbile yake hasa unene na wembamba, Mungu wangu vita ni kubwa mno itakuwa.
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Kwa unafk na kujipendekeza tupo wengi!
Uongo siku zote unatoa ushindi wa muda mfupi(ushindi wa siku moja)Wenyewe wanasema Uongo ni mtamu na unafurahisha moyo. Kuliko ukweli.
Pole kama ndo umejua leo
Sasa vipi ukimtania tu ana kichwa kipana au sura pana huku unacheka, tena mbele ya wenzake? Aidha vyuoni au kazini?[emoji23]Uliona wapi mtu anayeendeshwa na hisia akawa na matani?
Wanawake na matani ni kama mafuta na maji. Yeye akutanie vibaya wewe mtanie vizuri. Ukisema kuhusu umbo lake basi iwe positive.[emoji3].
Ndio maana wakaambiwa ni viumbe dhaifu