Ukitaka wanawake wengi wakuchukie, waambie ukweli

Ukitaka wanawake wengi wakuchukie, waambie ukweli

Vice versa is true....hata nyie mnadanganywa Sana na Wanawake na mnajaa,ukionyeshwa true colors hamtaki.... brother hii kitu ipo pande zote mbili believe me,
Iko pande zote Ila wanawake wengi ukiwaambia ukweli umeisha Ila ukiwadanganya na kuazima Hadi gari lazima uwale WA kutosha.

Kama huamini chunguza ni wanawake wangapi wako tayari kuolewa na mwanaume asie na uwezo na ni wanaume wangapi wako tayari kuoa wanawake wasio vizuri kiuchumi.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kwa mfano wanaume asilimia 99.8 ni WAMBEA,WASENGENYAJI,hawana SIRI...Ila hawapendi kuambiwa huu Ukweli...wanapenda kuambia eti wanaume Wana kifua ukiwa na jambo lako mwambie mwanaume atakutunzie weeee Thubutuuuuuu utalikuta kijiweni asubuhi na mapema Kabla hata bunge la bajeti halijaanza
 
Kwa mfano wanaume asilimia 99.8 ni WAMBEA,WASENGENYAJI,hawana SIRI...Ila hawapendi kuambiwa huu Ukweli...wanapenda kuambia eti wanaume Wana kifua ukiwa na jambo lako mwambie mwanaume atakutunzie weeee Thubutuuuuuu utalikuta kijiweni asubuhi na mapema Kabla hata bunge la bajeti halijaanza
Kama unadate na wanaume wanaoshinda vijiweni jichunguze.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Iko pande zote Ila wanawake wengi ukiwaambia ukweli umeisha Ila ukiwadanganya na kuazima Hadi gari lazima uwale WA kutosha...
Hata wanaume wako tayari kudanganywa na wewe kachunguze hili.

Wanaume wangapi wameoa malaya kwa sababu waliwadanganya ni wife material?

Mbona hawakuoa machangudoa ambao wameonyesha uhalisia wao?
 
In short mwanamke anatakiwa kupewa sifa sababu huwa ndizo zinampa ujasiri sasa ukianza kumponda na kumsema apo unatengeneza inferiority ndani yake.

Kwahyo n vzuri sana tukaishi nao maana tuan jua kwamba wana short temper kitu kidogo tu kinaweza kimuharibia kabisa au kimchanga akawa na maswali mengi kwa nn huyu amesema hivi au ameniambia hivi.

Pia hata makazini humo ukiwa na boss ambaye ni mwanamke aisee ni taabu japokuwa sio wote wanatabia hzo ila hiyo tabu yake si poa. Ni vyema kuishi nao tu
 
In short mwanamke anatakiwa kupewa sifa sababu huwa ndizo zinampa ujasiri sasa ukianza kumponda na kumsema apo unatengeneza inferiority ndani yake.

Kwahyo n vzuri sana tukaishi nao maana tuan jua kwamba wana short temper kitu kidogo tu kinaweza kimuharibia kabisa au kimchanga akawa na maswali mengi kwa nn huyu amesema hivi au ameniambia hivi.

Pia hata makazini humo ukiwa na boss ambaye ni mwanamke aisee ni taabu japokuwa sio wote wanatabia hzo ila hiyo tabu yake si poa. Ni vyema kuishi nao tu
Acheni kupindisha mambo hata wanaume wanapenda sifa,Tena nyie sifa zenu ndio kibokooooo mnaweza hata kutaka kupigana na kundi la panya road wenye mapanga kisa umeambiwa na mtoto mzuri "mpenzi najua hao unawamudu"😁😁😁😁😁😁😁basi mbichwa huooooi unajitosa kupigana
 
Acheni kupindisha mambo hata wanaume wanapenda sifa,Tena nyie sifa zenu ndio kibokooooo mnaweza hata kutaka kupigana na kundi la panya road wenye mapanga kisa umeambiwa na mtoto mzuri "mpenzi najua hao unawamudu"[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]basi mbichwa huooooi unajitosa kupigana
Yah, kweli kila mtu anapenda sifa lakini zina tegemeana na upande.

Kwa sis wanaume ni rahisi kupewa sifa na pia tuanuwezo wa kufanya maamuzi kulingana na hyo sifa ni ya kitu gani kama ni ya kushindikiza kitu inataegemeana either to face it or let it go.

Ila kwa mwanamke ni ngumu sana ukisampa sifa yaani ile sifa kuna mawili either itampoteza kabisa au itamjenga kwahyo hiyo ndo tofauti pale kwenye maanuzi na ufikiliaji
 
Yah, kweli kila mtu anapenda sifa lakini zina tegemeana na upande.

Kwa sis wanaume ni rahisi kupewa sifa na pia tuanuwezo wa kufanya maamuzi kulingana na hyo sifa ni ya kitu gani kama ni ya kushindikiza kitu inataegemeana either to face it or let it go.

Ila kwa mwanamke ni ngumu sana ukisampa sifa yaani ile sifa kuna mawili either itampoteza kabisa au itamjenga kwahyo hiyo ndo tofauti pale kwenye maanuzi na ufikiliaji
Tuishie tu hapo Kila mtu anapenda sifa...inatosha
 
Wanaume wote mliocoment humu pamoja na mtibeli wenu acheni uongo na kujifariji,hakuna binadamu anayependa kuambiwa Ukweli si mwanaume Wala si mwanamke,How?

1.Wanaume wengi mmekuwa mnakasirika pindi anapoambiwa Ukweli na Wanawake kwamba "Fulani huna uwezo wa kunimiliki kwa kuwa huna kipato Cha kukutosha wewe na kunihudumia Mimi"hili neno huwa ni chanzo cha Vita ya tatu ya Dunia...huwa hampendi kabisa kusikia huu Ukweli mnapenda kuambiwa hivi"Fulani wewe ni mpambanaji hakuna kitu unashindwa"wakati kiukweli humuwezi kweli kumgharamikia huyo mtu

2.Unakuta mwanaume mchafu,ananuka kwapa,kinywa kichafu,viatu navyo uvundo Sasa jaribu kumwambia Ukweli,hiyo utakuwa umepress kinu Cha nuclear...WW3

Kuna scenario nyingi,nachoka kuandika,Ila kung'ang'ania mwanamke ndio hapendi kusikia Ukweli Nina mashaka,mi nadhani ungesema Kuna baadhi ya binadamu either ni wa kike au wa kiume hawapendi kusikia ukweli

Joanah ndio maana nikasema Wanawake wengi(kumaanisha sio wote) na hata wanaume wachache hawapendi kuambiwa ukweli. Lakini wanaume wengi ukweli tunaukubali ndio maana ukifika kijiweni Watu wanachanana ukweli unaweza kusema hawapendani lakini sivyo.
Lakini njoo kwenu ninyi Wadada, ni Wadada wachache wenye mioyo ya kuukubali ukweli.

Ninyi wenyewe wengi wenu kuambiana ukweli mitihani na ndio mwanzo wa kuchukiana.
 
Kwa mfano wanaume asilimia 99.8 ni WAMBEA,WASENGENYAJI,hawana SIRI...Ila hawapendi kuambiwa huu Ukweli...wanapenda kuambia eti wanaume Wana kifua ukiwa na jambo lako mwambie mwanaume atakutunzie weeee Thubutuuuuuu utalikuta kijiweni asubuhi na mapema Kabla hata bunge la bajeti halijaanza

😂😂
Wapo WA hivyo, lakini tupo ambao hata tushikiwe bunduki Siri hatutoi.

Ila ogopa wanaume wenye Kampani kuanzia marafiki watatu kwendelea, kiasiili ni wambeya kama Wanawake tuu.
 
Joanah ndio maana nikasema Wanawake wengi(kumaanisha sio wote) na hata wanaume wachache hawapendi kuambiwa ukweli. Lakini wanaume wengi ukweli tunaukubali ndio maana ukifika kijiweni Watu wanachanana ukweli unaweza kusema hawapendani lakini sivyo.
Lakini njoo kwenu ninyi Wadada, ni Wadada wachache wenye mioyo ya kuukubali ukweli.

Ninyi wenyewe wengi wenu kuambiana ukweli mitihani na ndio mwanzo wa kuchukiana.
👍👍Poa nimekusoma

Nilimiss ubishi wako bwana,

Uko poa lakini?
 
Anaandika, Robert Heriel

Yaani ukitaka kugombana na Wanawake wengi, wewe waambie ukweli. Wanawake ni viumbe ambavyo havitaki Ukweli. Hii ni Kutokana na kuendesha na Hisia. Kikawaida Hisia hazihitaji Uhalisia/ukweli.
Na sio Wanawake tuu hata baadhi ya wanaume wanaotumia hisia hawapendi Ukweli. Wanadai ukweli unaumiza, lakini unaumiza nini? Jibu ni kuwa unaumiza Hisia. Ukweli hauumizi Akili, kwani Akili inapenda vitu vyenye Logic, mantiki ambavyo vingi ni ukweli, uhalisia.

Wanawake wenyewe wanajuana kuwa wanaendeshwa na mihemko, hivyo kama ni marafiki watakachokuwa wanajaribu kulinda urafiki wao NI kuhakikisha wanaridhisha hisia za marafiki zao. Ni ngumu Sana marafiki wa kike kuambiana ukweli. Na ikiwa mmoja atamuambia mwenzake ukweli basi itaonekana anamuonea Wivu. Hivyo ndivyo Saikolojia Yao ilivyo.

Mwanamke ni akheri umdanganye ili afurahi kuliko amwambie ukweli. Wanawake wengi ndio wako hivyo. Ukweli kwao ni kizungumkuti.

Malezi ya Binti WA kike yanahitaji umakini na utulivu mkubwa. Baba au Mama unapomlea Binti yako ni lazima ucheze na Saikolojia yake. Malezi ya Binti yako ni tofauti kabisa na malezi ya kijana wako wakiume. Nazungumzia kwenye umri wa balehe.

Elewa kuwa Mwanamke anapokuambia au kushauri Jambo atatoa maelezo kulingana na hisia zake juu ya kitu hicho. Mfano, kama Mwanamke hakupendi na akaambiwa atoe maelezo kukuhusu basi atatoa Maoni yanayolenga kukukera, kukuumiza, na kukupa uchungu.
Ni rahisi kujua uelekeo wa hisia za Mwanamke Kwa MTU Fulani, kujua anampenda au hampendi, kujua anawivu naye au chuki au laah!

Taikon hashauri Mwanamke kuwa msingi Mkuu wa kukushauri mambo nyeti Kutokana na kuwa Wao wengi wao hawayachukulii mambo katika msingi WA uhalisia Bali huyachukulia mambo katika msingi WA hisia za Wakati huo.

Mwanamke au mtu yeyote anayeendeshaa na mihemko aongeapo wala usimchukulie Serious Kwa sababu anavyoongea mara nyingi hamaanishi uhalisia wa kile akisemacho, Bali anazungumzia hisia zake tuu. Jambo ambalo Leo ni hivi kesho ni vile Jambo ambalo linawafanya wawe vigeugeu wasio na msimamo.

Ukitaka kupendwa na Wanawake wengi Duniani itakupasa uwe Mnafiki, na msema uongouongo ili kuzichota hisia zao. Kamwe usithubutu kusema Ukweli uwapo katika USO WA Mwanamke ikiwa unataka kupendwa na Mwanamke.

Moja ya Kanuni tulizozitumia enzi hizo tunajifunza kutongoza Wanawake ilikuwa kuwaambia Uongo unaopatana na hisia zao. Hivyo ndio Njia nyepesi ya kupendwa na Wanawake.

Wanawake wakifanya upuuzi wasifie au usiwe na habari nao, watakupenda. Ingawaje wapo Wanawake Wachache ambao hao NI kama miujiza na maajabu ambao hutumia Akili, hawa ni exceptional.

Mwanamke hata kama hajapendeza mwambie umependeza, hata kama havutii mwambie anakuacha Hoi.
Kujiamini Kwa Wanawake wengi halipo katika mantiki/Akili Bali katika hisia ambazo hutegemea anasikia nini Kutoka Kwa Watu.

Ndivyo tunavyomaliza Wikiendi Hii.
Ni Yule Mtibeli.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

"Mwanamke au mtu yeyote anayeendeshaa na mihemko aongeapo wala usimchukulie Serious Kwa sababu anavyoongea mara nyingi hamaanishi uhalisia wa kile akisemacho, Bali anazungumzia hisia zake tuu. Jambo ambalo Leo ni hivi kesho ni vile Jambo ambalo linawafanya wawe vigeugeu wasio na msimamo."


☝️☝️☝️☝️☝️☝️
 
Back
Top Bottom