Ukitaka wanawake wengi wakuchukie, waambie ukweli

Ukitaka wanawake wengi wakuchukie, waambie ukweli

Wengi wana uwezo wa kuujua ukweli lakini sio wote wanaopenda kuufata.

Kwa mfano

Kwenye circle ya kimahusiano, mwanamke anaweza kutongozwa na wanaume tofauti tofauti.

Katika hao anaweza akamuona mwanaume ambaye anajua kabisa mwanaume huyu ni husband material.

Mwanaume ambaye ana ambitions za kimaisha (husler) anayeweza kujenga naye maisha.

Lakini mwanamke akaamua kuachana naye kwasababu ya vitu vidogo tu kama muonekano (marafiki zake watamuonaje) au ni mtu fulani hivi ambaye hajichanganyi kwenye viwanja vya starehe ambapo huko anaweza kuvimbiana na marafiki zake (showoffs)

Halafu akaenda kujenga mahusiano na mwanaume mwingine ambaye anafahamu kabisa kuwa huyu si muoaji, ila kwakua ni cheki bob anapiga pamba kali na kuvaa ma chain ya silver anaona sasa huyu ndio atanifaa.
🤔🤔🤔🤔🤔
 
😂😂 ATI ubishi!
Mimi Niko pouwa!
Wanaume WA siku hizi wengi ni soft ndio maana wanapenda sifasifa tena Sifa za kijingajinga (kama kusifiwa uzuri) sio ajabu wakawa kama ninyi
Bora hata umeliona Hilo,Kuna ongezeko la wimbi la wanaume kupenda kusifiwa kuliko hata Wanawake wenyewe....Hilo nalo kaliangalie uliandikie hapa
 
Acheni kupindisha mambo hata wanaume wanapenda sifa,Tena nyie sifa zenu ndio kibokooooo mnaweza hata kutaka kupigana na kundi la panya road wenye mapanga kisa umeambiwa na mtoto mzuri "mpenzi najua hao unawamudu"😁😁😁😁😁😁😁basi mbichwa huooooi unajitosa kupigana
Sio mimi huyo, yani umchokoze baunsa halafu useme "Bebi muone huyu ananisumbua" hutaamini😂😂😂
 
Kuna mmoja jana nimemwambia ukivaa suruali hupendezi kwasababu ya shape ya mwili na ufupi wako ila ukivaa yale magauni ambayo sio marefu sana unapendeza.

Nilijuta sana kumwambia ivo,
Usingemwambia Kwa maneno
Ungemwambia Kwa matendo,,Kwa mnunulia hiyo nguo unayoisema itampendeza halafu mengine mwachie yeye na kioo chake
 
Bora hata umeliona Hilo,Kuna ongezeko la wimbi la wanaume kupenda kusifiwa kuliko hata Wanawake wenyewe....Hilo nalo kaliangalie uliandikie hapa

Joanah bhana!
Mwanaume kupenda kusifiwa ni Kutokana na kutokujiamini na kujiona Duni.
MTU yeyote anayetemea Maoni ya Watu kumuongoza ni MTU dhaifu
 
🤔🤔🤔🤔
"MTU yeyote anayetemea Maoni ya Watu kumuongoza ni MTU dhaifu"

We jamaa ni noma

Kimuingiacho mtu sio najisi bali kile kimtokacho.
MTU akikutukana au kukupa kashfa Fulani Hilo sio tatizo, tatizo linakuja vile utakavyolichukulia Tusi au kashfa hiyo. Yaani kumpa umuhimu MTU huyo.
 
Ndo mana kila sku tunasema wanawake wote ni wajinga , so ukiwa na mwanamke Tambua kuwa Una mjinga mmoja , ukijidanganya kuwa Una mtu ana akili timamu utaishia kumpiga risasi ... Hao wanaongozwa Kwa mihemko na Hsia na sio akili , mpak mihemko na Hsia ije itulie atakuwa amefanya blunders nyingi mno akili ikitulia kidog ndo utashangaa na yeye anajishangaa alichokuwa akikifanya , Ila mihemko na Hsia ikija tena tayari ....!!
 
Haya mambo ya kupenda kudanganywa yapo pande zote kwa wanaume na wanawake pia, hivi we mwanaune mwanamke akuchane live kuwa unanuka pumbu utafurahi, au akamwambie humfikishi kileleni utaona sawa, na atakapokwanbia una mboo kama penseli haimkuni kama ya Hassan je utacheka tu?

Halafu wanaume hatuandiki mada ndefu kama hivi ili kuwasema wanawake, ni viumbe tunaopaswa kuishi nao kwa upendo, kuwadekeza, kuwabembeleza na kuwaonyesha kuwa wao ni malkia na maua yetu. Mwanamke ni furniture lazima uipende na kuicare.
 
Ndo mana kila sku tunasema wanawake wote ni wajinga , so ukiwa na mwanamke Tambua kuwa Una mjinga mmoja , ukijidanganya kuwa Una mtu ana akili timamu utaishia kumpiga risasi ... Hao wanaongozwa Kwa mihemko na Hsia na sio akili , mpak mihemko na Hsia ije itulie atakuwa amefanya blunders nyingi mno akili ikitulia kidog ndo utashangaa na yeye anajishangaa alichokuwa akikifanya , Ila mihemko na Hsia ikija tena tayari ....!!

😂😂
Ni kwamba, kila Siku kinawaka tuu.
Na niwepesi kuomba Msamaha Kwa sababu mara nyingi wanatumia mihemko
 
Back
Top Bottom