Ukitaka wanawake wengi wakuchukie, waambie ukweli

Ukitaka wanawake wengi wakuchukie, waambie ukweli

Halafu pia wanaume tuache kujimwambafy, wapo wanaume wanaudhalilisha uanaume wetu hao ndio wakudeal nao kwanza kabla hatujawavalia njuga warembo, maua, mawaridi tuliopewa na Mungu tupoze nyoyo zetu.
 
Haya mambo ya kupenda kudanganywa yapo pande zote kwa wanaume na wanawake pia, hivi we mwanaune mwanamke akuchane live kuwa unanuka pumbu utafurahi, au akamwambie humfikishi kileleni utaona sawa, na atakapokwanbia una mboo kama penseli haimkuni kama ya Hassan je utacheka tu?

Halafu wanaume hatuandiki mada ndefu kama hivi ili kuwasema wanawake, ni viumbe tunaopaswa kuishi nao kwa upendo, kuwadekeza, kuwabembeleza na kuwaonyesha kuwa wao ni malkia na maua yetu. Mwanamke ni furniture lazima uipende na kuicare.
Inategemea na emotional and intellectual intelligence ya mtu anayeambiwa

Mfano Mimi Kuna demu kipindi nasoma a level nilimtokea,alichonijibu ni kuwa "We Kilimba ni handsome,ila huna hel,tafuta Hela kwanza afu Kisha uje"

Iliniuma mwanzoni,ila baadae baada ya kureflect nikaoana she was godamn right

Nukaufanyie kazi ushauri wake
 
Haya mambo ya kupenda kudanganywa yapo pande zote kwa wanaume na wanawake pia, hivi we mwanaune mwanamke akuchane live kuwa unanuka pumbu utafurahi, au akamwambie humfikishi kileleni utaona sawa, na atakapokwanbia una mboo kama penseli haimkuni kama ya Hassan je utacheka tu?

Halafu wanaume hatuandiki mada ndefu kama hivi ili kuwasema wanawake, ni viumbe tunaopaswa kuishi nao kwa upendo, kuwadekeza, kuwabembeleza na kuwaonyesha kuwa wao ni malkia na maua yetu. Mwanamke ni furniture lazima uipende na kuicare.

Tatizo linakuja pale Mwanaume anapochukulia mambo in negative ways, kimsingi mwanaume kamili hachukulii mambo kihivyo.
Ni Mwanaume mwenye mihemko na asiyetumia Akili ambaye ataona Uzi huu unawasema na kuwakejeli Wanawake.

MTU yeyote mwenye Akili(awe me au me) Uzi huu atauelewa kuwa unaujumbe wa kuwaelewa Dada zetu, lakini pia utawapa Elimu Wanawake wengi na wanaume wachache(kama wewe) mnaotumia hisia kuliko Akili katika kuyaendea mambo.

MTU mwenye Akili huongozwa na Mantiki (logic) katika kuyaendea mambo.
 
Mmeshindwa kabisa kumuelewa mwanamke.

Mwanamke ni kiumbe kinachotaka, kinachopenda na kuuelewa ukweli wakati wote.

Mnapenda kuijua, kuuelewa na kuufahamu ukweli lakini hamtaki kuufanya na kuupewa. Hapo ndio muziki ulipo.

Ni wanawake wachache ambao hawaongozwi na mihemko.
 
Mnapenda kuijua, kuuelewa na kuufahamu ukweli lakini hamtaki kuufanya na kuupewa. Hapo ndio muziki ulipo.

Ni wanawake wachache ambao hawaongozwi na mihemko.
Hapo ndipo unaposhindwa kumuelewa mwanamke.

Mwanamke ana "instincts" tofauti na za wanaume. Ikiwa utamfikiria mwanamke kwa kutumia "instincts" za kiume, hutomuelewa mpaka kufa kwako.

Wanawake wote wana "natural instincts" za umalkia, wanaume hawana hizo.

Anza kwa kuzielewa "instincts" za umalkia utaanza kuwaelewa wanawake.
 
Hapi ndipo unaposhindwa kumuelewa mwanamke.

Mwanamke ana "instincts" tofauti na za wanaume. Ikiwa utamfikiria mwanamke kwa kutumia "instincts" za kiume, hutomuelewa mpaka kufa kwako.

Wanawake wote wana "natural instincts" za umalkia, wanaume hawana hizo.

Anza kwa kuzielewa "instincts" za umalkia utaanza kuwaelewa wanawake.
Kwahiyo unamanisha wameumbwa kupetipetiwa na kukuzwa kuzwa Kwa sifa na mbwembwe!?
 
Soma kuhusu malkia, kuanzia wa kibinaadam mpaka wa wanyama.
🤔🤔🤔🤔

Kama ni hivi mnataka tuwahandle,basi pita hivi,Sina huo muda miye
nasutqueentended-jpg_custom-ad5dcbc01b3913a8ff8d9dbd0625e5dd291ab1a8-s1100-c50.jpg
 
Kuna demu alishaniuliza yeye na demu mwingine nani mzuri ,nikamwambia yeye alifurahi balaa,kwa kifupi mademu wanapenda kusifiwa sana,ujipendekeze sana kwao,na uwe wafuasi wao sana,na ujipendekeze sana ndo watakufurahia kitu ambacho nimeshindwa tangu nije duniani😀😀Hadi salami demu akikukuta anataka uanze wewe kumsalimia dah si utumwa huo
Wana tabia za kingese sana hawa mademu ila mbususu zao bwana...ni tamuuuuuu
 
Ni vile mmeamua kushupaza shingo,,,wewe Mwenyewe Nina uhakika kabisa hupendi kuambiwa Ukweli, lazima utaamia.....unaeza Kuta una pua kubwa,Ila ukiambia Mathias una pua mbaya sana, lazima itakuuma na wakati ni kweli una pua mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom