This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Tangu siku hiyo hao jwaneng wako wapi kwani.Mechi ya funguwa dimba ni Simba na Jwaneng Galaxy ili muionee huruma vizuri Yanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu siku hiyo hao jwaneng wako wapi kwani.Mechi ya funguwa dimba ni Simba na Jwaneng Galaxy ili muionee huruma vizuri Yanga.
Ukimya au huna Cha kusajili hela huna.Ukimya wa usajili wa Yanga unawaumiza sana.
Watu wanazungumzia KANUNI mpya za mashindano Wewe inaleta umaandazi.Ukimya wa usajili wa Yanga unawaumiza sana.
Yanga Ina miaka 25 bila kucheza makundi Cafcl. Wakati huo Mayele alikuwa na miaka 2Halafu wakirudi kwenye Ligi ya ndani wanakutana tena na wababe wao Mashujaa!!
Mkunduh unakuwasha.Yanga Ina miaka 25 bila kucheza makundi Cafcl. Wakati huo Mayele alikuwa na miaka 2
Unajitia dole Halafu unanusa, unazani Ni pafyumu
Mm uto hamna akili
Mvuke makundi umesikia hii shirikisho? Hivi katika umri ulionao ni lini uliiona Yanga ikicheza mechi ya Makundi ya klabu bingwa barani Afrika?Nakwambia Yanga akivuka makundi, ujue nusu au fainali. Nyie endeleni kuganda hapo hapo na robo yenu. Supercup tutafika tu ninswala mda kama tulifika Fainal ya CAF confederation na ndio timu ya kwanza kufika level hii kutoka Tz.
Wewe shirikisho unaishia robo, champions robo.
Ndio tutavuka hata huko champions kama ilivyo kuwa kwa Yanga kuwa club ya kwanza Tanzania kucheza fainali za michuao ya CAF Confederation,basi huko tukivuka makundi ujue mpaka nusu au fainali.Mvuke makundi umesikia hii shirikisho? Hivi katika umri ulionao ni lini uliiona Yanga ikicheza mechi ya Makundi ya klabu bingwa barani Afrika?
Nani anajali watu wasio na akili. Wested sperms!Mkunduh unakuwasha.
Nyie mnaoshiriki klabu bingwa na kuishia Preliminary stage hayo kwenu ndio mafanikio??Ndio ututavuka hata huko champions kama ilivyo kuwa kwa Yanga kuwa club ya kwanza Tanzania kucheza fainali za michuao ya CAF Confederation,basi huko tukivuka makundi ujue mpaka nusu au fainali.
Nyie endeleni kushiriki na kuishia kwenye robo,kwenu ni mafanikio tosha.
Mimi sio wa kwanza hata ww ulishia stage hiyo kama aliyo ishia Yanga baada ya kupigwa tatu moja na Makirikiri, ukapata chance nyingine shirikisho baada ya kukaza ukaishia robo huku ukifanya vitendo vya kulitia aibu taifa kwa kuota moto katikati ya uwanja na kuharibu pitch ya watu,mpaka CAF wakakupiga faini ya dola 10K.Nyie mnaoshiriki klabu bingwa na kuishia Preliminary stage hayo kwenu ndio mafanikio??
TFFHivi CAF na UEFA nani anajuwa mpira?