Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo loquid fund naijungaje?Utapata 135k kwa mwezi, ambayo ni 405000 kwa miezi mitatu mfuko ni Liquid fund
Npe leo nikuletee faida ya 1milion mwisho wa mweziUkipewa hiyo 15 unaweza kuikuza? Au unaongea tu
Mmeelewa Interest up to 13% sio sawa na interest is 13%.Kam huna biashar weka huko mkuu, tusije kukuchaga na plan zetu🤠🚏
Mkuu Mimi nishatupia, harakati nazo zifanya mtaji wake haufiki hata mil 10 kwahiyo kuongeza kiasi hicho Cha pesa kwamba nakuza mtaji kwenye biashara isiyo rasimi kwangu nimeona Kuna ugum flani japo faida napata...Mmeelewa Interest up to 13% sio sawa na interest is 13%.
Kwa sentensi ya kwanza u aweza weka mpunga na ukalipwa interest ya 2.2% maana ikonkwenye clause ya Up to 13%
487500 kama interest ikiwa 13% fixed ila kwa hii statement interest inaweza isifike 13NI NMB bonus account, mil 15 kama akiba ukatupia huko unavuna sh. Ngap kwa Kila miezi 3?
View attachment 3187234
Mkuu Mimi nishatupia, harakati nazo zifanya mtaji wake haufiki hata mil 10 kwahiyo kuongeza kiasi hicho Cha pesa kwamba nakuza mtaji kwenye biashara isiyo rasimi kwangu nimeona Kuna ugum flani japo faida napata...
Nimeweka trh 28 mwezi huu, nadhani jibu sahihi mpaka miezi mitatu ifike, bank waminiambia Kila baada ya miezi mitatu wanatoa 4%, ngoja tuone...Vitu kama hivi huwa mtandaoni wanaweka rate of 9% or 13% ila ukienda benki wanakupa 3% .Ni vizuri ukafika benki.
Anyway kwa kuwa ushaweka pesa tayari ebu tushirikishe ulipewa interest rate kiasi kipi.
Ingia uwanjani ndio utajua ukweli NMB hawatoi hiyo asilimia 13 kama wanavyosema … “up to 13 percent “ haimaaninshi ni lazima wakupe asilimia 13So, kwa taswira hiyo, NMB Bonus Account ni more profitable kuliko UTT Bond Fund?
Utaleta mrejesho humu wakikupa hiyo asilimia 13 …niko PALEEEEE
Hutapewa jiandae kisaikolojiaNimeweka trh 28 mwezi huu, nadhani jibu sahihi mpaka miezi mitatu ifike, bank waminiambia Kila baada ya miezi mitatu wanatoa 4%, ngoja tuone...
Mimi niliingia mkenge nikaweka Fixed kwenye maelezo yao waliweka 9% … nikawapa M-6 kwa mwaka wakanipa 5 percent na bado wakakata kodi nikapata 270,000 kwa mwakaMmeelewa Interest up to 13% sio sawa na interest is 13%.
Kwa sentensi ya kwanza u aweza weka mpunga na ukalipwa interest ya 2.2% maana ikonkwenye clause ya Up to 13%
Huu mzigo ungeweka UTT liquid fund Kila siku ungekuwa unapata Average ya shs Tshs 5,000-6,000 Kwa siku za kazi. Kama una App Yao Kila siku unaona mzigo unavyo ongezeka. Ukiitaka kuchukua ni ndani ya siku 3 za kazi.Nimeweka trh 28 mwezi huu, nadhani jibu sahihi mpaka miezi mitatu ifike, bank waminiambia Kila baada ya miezi mitatu wanatoa 4%, ngoja tuone...
Huku mbona Kuna hela ndogo hivi..?Kwa mfuko wa BOND FUND, utapata kama 370000 kama jumla ya miezi 3, yaan robo mwaka.