Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Weka mahesabu yake huko UTT tuoneUtapata 135k kwa mwezi, ambayo ni 405000 kwa miezi mitatu mfuko ni Liquid fund
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka mahesabu yake huko UTT tuoneUtapata 135k kwa mwezi, ambayo ni 405000 kwa miezi mitatu mfuko ni Liquid fund
Kwanini siku za kazi tu..?Huu mzigo ungeweka UTT liquid fund Kila siku ungekuwa unapata Average ya shs Tshs 5,000-6,000 Kwa siku za kazi. Kama una App Yao Kila siku unaona mzigo unavyo ongezeka. Ukiitaka kuchukua ni ndani ya siku 3 za kazi.
😂😂😂😂😂😂😂 we bodaboda 200m uitoe wapHiyo loquid fund naijungaje?
Nataka niweke mil 200 nitapata kiasi gani kwa mwezi?
Nilimtoa kafara mama mzazi ndio nikapata hizo hela ila masharti ya mganga ni kwamba siwezi acha kazi ya bodaboda😂😂😂😂😂😂😂 we bodaboda 200m uitoe wap
Wkend na holiday Huwa hakuna updates, ila ikifika J3 au J4 inaweza ongezeka 13,000, nafikiri hizi zinategemeana na bei la soko.Kwanini siku za kazi tu..?
Kwa Hali hiyo unaweza kupata hiyo 5000 kwa siku 20 ndani ya mwezi.. Kwa maana mwezi una weekend na holidays kwa baadhi ya miezi
Vodacom wapojeHaitokuja hiyo faida hebu tuelewe hyo statement wamesema offers interest up to 13% na sio offers interest of 13% so vle utakavyowekeza kikubwa zaid ndivyo utapata zaid ni kama vile Vodacom kwa sasa na wao hawako mbali
Formula uliyotumia ni ipi mkuuUtapata 135k kwa mwezi, ambayo ni 405000 kwa miezi mitatu mfuko ni Liquid fund
Ndio maana uislamu umekataza riba. Hii ni biashara ya kipuuzi sana. Unawekeza 30m ili upate laki 2 kwa mwezi hiyo ni akili kweli. Pesa haitakiwi kukaa bank inatakiwa iende kwenye uzalishaji au biashara.I
Inatosha, hapo ukiongeza nyingine 15 unakula laki 9+ sawa na laki 2+ kwa mwezi
Mkuu bandiko halizungumzii kuwekeza, linazungumzia kuwekaNdio maana uislamu umekataza riba. Hii ni biashara ya kipuuzi sana. Unawekeza 30m ili upate laki 2 kwa mwezi hiyo ni akili kweli. Pesa haitakiwi kukaa bank inatakiwa iende kwenye uzalishaji au biashara.
Mimi nimefungua biashara mtaji ulinicost kama 8m hivi, hiyo biashara kwa siku inaniingizia faida ya 30k mpaka 50k kulingana na mauzo ya siku hiyo.
Kwa wiki nina average profit ya 200k hadi 250k na kwa mwezi ni average ya 800k au 1m profit.
Hiyo ni profit yani hapo nimeshalipa mfanyakazi, plus makorokoro mengine.
Kuweka ni saving account ambayo anytime unatoa pesa yako. Hiyo yenye masharti ya kusubiri muda fulani ni kuwekeza ndio mana ukivunja masharti hawakupi bonusMkuu bandiko halizungumzii kuwekeza, linazungumzia kuweka
Minimum investment time NI MIAKA mingapi? Maana inaweza ikawa KUWA ukiiweka leo NI LAZIMA uiache ikae humo KWA MUDA WA MISKA 7 BILA kuichukuaSiyo fixed deposit. Lengo ni kukuza mtaji wakati unatafuta bizna idea ya kufanya.
Mfano mtu amepata TSH 20M (Kwa kuokota, kurithi, zawadi, au through hard saving) na kusudio ni kuitunza kwanza na kuendelea kuingozea ifike walau TSH 100M ndipo atekeleze lengo kuu lake alilopanga kufanya.
Katika situation hiyo and the like, ndipo mtu anafikiria aitunze wapi hiyo pesa? Je aweke kwenye normal personal savings account ya bank? au aweke UTT? au aweke kwenye treasury bills? etc etc.
Sie vijana wengi wa Tz tulio wengi hatuna financial literacy. That's why unaona threads kama hizi ili mtu apate walau ABC.
Kupata pesa ni jambo moja. Kuimaintain na kuizalisha ni jambo lingine!
Kuna mtu (let say kijana mdogo in late 20s) hana experience yoyote ya biashara. Ghafula anapata urithi TSH 50M. Mtu huyu bila kutuliza akili na kupata miongozo sahihi, ni suala la mwezi mmoja tu ataitwa a 'zero from hero'.
Unapata million 26 KWA MWAKA LESS 10% GOVERNMENT TAXHiyo loquid fund naijungaje?
Nataka niweke mil 200 nitapata kiasi gani kwa mwezi?
Sasa ndio nawao aje hawa jamaa wa utt nitie mzigoUnapata million 26 KWA MWAKA LESS 10% GOVERNMENT TAX
KWA HIYO KILA BAADA YA MIEZI MITATU UTAPATA (26,000,000-2,600,000)× (1/4) SAWA NA TZS 5,850,000/= KILA BAADA YA MIEZI mitatu
KAMA walisema 4% HALAFU likafuata NENO p.a.; YAANI per annum, MAANA YAKE ni kwamba BAADA YA MIEZI MITATU utalipwa 1% YA million 28 AMBAYO NI laki 2 na themanini, LESS GOV TAX AMBAYO NI asilimia KUMI YA KIASI utakacholipwa. Kama HILO neno p.a. halipo, basi utapata hiyo 4% kwa MIEZI MITATU.Nimeweka trh 28 mwezi huu, nadhani jibu sahihi mpaka miezi mitatu ifike, bank waminiambia Kila baada ya miezi mitatu wanatoa 4%, ngoja tuone...
Hapana, Bonus NI NZURI ZAIDI KWA SABABU Unaweza kuongeza FEDHA MUDA wowote WAKATI wowote, na pia unaruhusiwa KUTOA MARA MOJA KILA bAADA ya MIEZI MITATU. Kwenye Fixed deposit huwezi kutoa wala kuongeza FEDHA HADI SIKU YA maturity YA ACCOUNT YAKOMimi niliingia mkenge nikaweka Fixed kwenye maelezo yao waliweka 9% … nikawapa M-6 kwa mwaka wakanipa 5 percent na bado wakakata kodi nikapata 270,000 kwa mwaka
N.B FIXED IKO VIZURI ZAIDI YA BONUS ACCOUNT
HIVI SOKO LA HISA LINAENDAJE SIKU HIZI BAADA YA DOLLAR KUANZA KUSHUKA?Ukitaka mpunga mrefu tupia kwenye hisa. Nicol, CRDB utakuja kunishukuru. Weka at least miaka 2