Ukitupia mil 15 unavuna sh. Ngap kwa Kila miezi mitatu?

Ukitupia mil 15 unavuna sh. Ngap kwa Kila miezi mitatu?

Huu mzigo ungeweka UTT liquid fund Kila siku ungekuwa unapata Average ya shs Tshs 5,000-6,000 Kwa siku za kazi. Kama una App Yao Kila siku unaona mzigo unavyo ongezeka. Ukiitaka kuchukua ni ndani ya siku 3 za kazi.
Kwanini siku za kazi tu..?
Kwa Hali hiyo unaweza kupata hiyo 5000 kwa siku 20 ndani ya mwezi.. Kwa maana mwezi una weekend na holidays kwa baadhi ya miezi
 
Kwanini siku za kazi tu..?
Kwa Hali hiyo unaweza kupata hiyo 5000 kwa siku 20 ndani ya mwezi.. Kwa maana mwezi una weekend na holidays kwa baadhi ya miezi
Wkend na holiday Huwa hakuna updates, ila ikifika J3 au J4 inaweza ongezeka 13,000, nafikiri hizi zinategemeana na bei la soko.
 
Screenshot_20250101-075903~2.png
 
Haitokuja hiyo faida hebu tuelewe hyo statement wamesema offers interest up to 13% na sio offers interest of 13% so vle utakavyowekeza kikubwa zaid ndivyo utapata zaid ni kama vile Vodacom kwa sasa na wao hawako mbali
Vodacom wapoje
 
I

Inatosha, hapo ukiongeza nyingine 15 unakula laki 9+ sawa na laki 2+ kwa mwezi
Ndio maana uislamu umekataza riba. Hii ni biashara ya kipuuzi sana. Unawekeza 30m ili upate laki 2 kwa mwezi hiyo ni akili kweli. Pesa haitakiwi kukaa bank inatakiwa iende kwenye uzalishaji au biashara.

Mimi nimefungua biashara mtaji ulinicost kama 8m hivi, hiyo biashara kwa siku inaniingizia faida ya 30k mpaka 50k kulingana na mauzo ya siku hiyo.
Kwa wiki nina average profit ya 200k hadi 250k na kwa mwezi ni average ya 800k au 1m profit.
Hiyo ni profit yani hapo nimeshalipa mfanyakazi, plus makorokoro mengine.
 
Ndio maana uislamu umekataza riba. Hii ni biashara ya kipuuzi sana. Unawekeza 30m ili upate laki 2 kwa mwezi hiyo ni akili kweli. Pesa haitakiwi kukaa bank inatakiwa iende kwenye uzalishaji au biashara.

Mimi nimefungua biashara mtaji ulinicost kama 8m hivi, hiyo biashara kwa siku inaniingizia faida ya 30k mpaka 50k kulingana na mauzo ya siku hiyo.
Kwa wiki nina average profit ya 200k hadi 250k na kwa mwezi ni average ya 800k au 1m profit.
Hiyo ni profit yani hapo nimeshalipa mfanyakazi, plus makorokoro mengine.
Mkuu bandiko halizungumzii kuwekeza, linazungumzia kuweka
 
Siyo fixed deposit. Lengo ni kukuza mtaji wakati unatafuta bizna idea ya kufanya.

Mfano mtu amepata TSH 20M (Kwa kuokota, kurithi, zawadi, au through hard saving) na kusudio ni kuitunza kwanza na kuendelea kuingozea ifike walau TSH 100M ndipo atekeleze lengo kuu lake alilopanga kufanya.

Katika situation hiyo and the like, ndipo mtu anafikiria aitunze wapi hiyo pesa? Je aweke kwenye normal personal savings account ya bank? au aweke UTT? au aweke kwenye treasury bills? etc etc.

Sie vijana wengi wa Tz tulio wengi hatuna financial literacy. That's why unaona threads kama hizi ili mtu apate walau ABC.

Kupata pesa ni jambo moja. Kuimaintain na kuizalisha ni jambo lingine!

Kuna mtu (let say kijana mdogo in late 20s) hana experience yoyote ya biashara. Ghafula anapata urithi TSH 50M. Mtu huyu bila kutuliza akili na kupata miongozo sahihi, ni suala la mwezi mmoja tu ataitwa a 'zero from hero'.
Minimum investment time NI MIAKA mingapi? Maana inaweza ikawa KUWA ukiiweka leo NI LAZIMA uiache ikae humo KWA MUDA WA MISKA 7 BILA kuichukua
 
Unapata million 26 KWA MWAKA LESS 10% GOVERNMENT TAX
KWA HIYO KILA BAADA YA MIEZI MITATU UTAPATA (26,000,000-2,600,000)× (1/4) SAWA NA TZS 5,850,000/= KILA BAADA YA MIEZI mitatu
Sasa ndio nawao aje hawa jamaa wa utt nitie mzigo
 
Nimeweka trh 28 mwezi huu, nadhani jibu sahihi mpaka miezi mitatu ifike, bank waminiambia Kila baada ya miezi mitatu wanatoa 4%, ngoja tuone...
KAMA walisema 4% HALAFU likafuata NENO p.a.; YAANI per annum, MAANA YAKE ni kwamba BAADA YA MIEZI MITATU utalipwa 1% YA million 28 AMBAYO NI laki 2 na themanini, LESS GOV TAX AMBAYO NI asilimia KUMI YA KIASI utakacholipwa. Kama HILO neno p.a. halipo, basi utapata hiyo 4% kwa MIEZI MITATU.

Nakushauri uwe mwangalifu sana unapodili na WATU wanaotumia sheria, Bankers PAMOJA NA Police!
 
Mimi niliingia mkenge nikaweka Fixed kwenye maelezo yao waliweka 9% … nikawapa M-6 kwa mwaka wakanipa 5 percent na bado wakakata kodi nikapata 270,000 kwa mwaka
N.B FIXED IKO VIZURI ZAIDI YA BONUS ACCOUNT
Hapana, Bonus NI NZURI ZAIDI KWA SABABU Unaweza kuongeza FEDHA MUDA wowote WAKATI wowote, na pia unaruhusiwa KUTOA MARA MOJA KILA bAADA ya MIEZI MITATU. Kwenye Fixed deposit huwezi kutoa wala kuongeza FEDHA HADI SIKU YA maturity YA ACCOUNT YAKO
MBALI NA HILO, Bonus INA rate KUBWA ZAIDI KULIKO FDR
 
Back
Top Bottom