amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 1,834
- 4,161
Hiki ndo kipindi cha hisa kupanda coz ndo tunaeleke kipindi cha magawioHIVI SOKO LA HISA LINAENDAJE SIKU HIZI BAADA YA DOLLAR KUANZA KUSHUKA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki ndo kipindi cha hisa kupanda coz ndo tunaeleke kipindi cha magawioHIVI SOKO LA HISA LINAENDAJE SIKU HIZI BAADA YA DOLLAR KUANZA KUSHUKA?
Dah hii ajabu sana,KAMA walisema 4% HALAFU likafuata NENO p.a.; YAANI per annum, MAANA YAKE ni kwamba BAADA YA MIEZI MITATU utalipwa 1% YA million 28 AMBAYO NI laki 2 na themanini, LESS GOV TAX AMBAYO NI asilimia KUMI YA KIASI utakacholipwa. Kama HILO neno p.a. halipo, basi utapata hiyo 4% kwa MIEZI MITATU.
Nakushauri uwe mwangalifu sana unapodili na WATU wanaotumia sheria, Bankers PAMOJA NA Police!
Kwa hiyo INAONYESHA kushuka KWA dola kumeshusha hisa pia SI NDIYO?Hiki ndo kipindi cha hisa kupanda coz ndo tunaeleke kipindi cha magawio
Uzuri wa Bonas ni kwenye access na sio interest.Hapana, Bonus NI NZURI ZAIDI KWA SABABU Unaweza kuongeza FEDHA MUDA wowote WAKATI wowote, na pia unaruhusiwa KUTOA MARA MOJA KILA bAADA ya MIEZI MITATU. Kwenye Fixed deposit huwezi kutoa wala kuongeza FEDHA HADI SIKU YA maturity YA ACCOUNT YAKO
MBALI NA HILO, Bonus INA rate KUBWA ZAIDI KULIKO FDR
Ukokotoaji wake ni tofautiSo, kwa taswira hiyo, NMB Bonus Account ni more profitable kuliko UTT Bond Fund?
Kwani kwenye Liquid fund kuna tax?Unapata million 26 KWA MWAKA LESS 10% GOVERNMENT TAX
KWA HIYO KILA BAADA YA MIEZI MITATU UTAPATA (26,000,000-2,600,000)× (1/4) SAWA NA TZS 5,850,000/= KILA BAADA YA MIEZI mitatu
Umepigia fixed interest UTT wanatumia compound interestUtapata 135k kwa mwezi, ambayo ni 405000 kwa miezi mitatu mfuko ni Liquid fund
Nilijibu nikiwa nadhani kuwa alikuwa anaongelea FDRKwani kwenye Liquid fund kuna tax?
6.5m kwa miezi 3 kwa mwezi ni kama 2.1mHiyo loquid fund naijungaje?
Nataka niweke mil 200 nitapata kiasi gani kwa mwezi?
Kuna kula mkeka wa muhindi kaka😂😂😂😂😂😂😂 we bodaboda 200m uitoe wap
Kumbe maisha ni murwa kabisa sina haja ya kufanya kazi hapo6.5m kwa miezi 3 kwa mwezi ni kama 2.1m
Sasa hiyo kukopesha si inatakiwa uwe na vibali utambulike kisheria? Tofauti na hapo lazima kikulambeSema ukiamua kujifunga bom vizur ikopeshe iyo pesa ndan ya miez iyo mitatu unakua na faida sio chin ya ml 7.
Mm nlpa mtu 10M mwez wa tisa kila mwez ananiwekea ml 2 kama faida yangu na bado ile 10 iko palepale mpka sasa ashanipa ya miez 3 n 6 M ila inahtaj ue na roho ngum kama ya chui mana unaweza kupoteza vyote pesa na rafik
Karbu mtaan ujionee maajabu ya kila unachofikr akiwezekan uku knafanyikaSasa hiyo kukopesha si inatakiwa uwe na vibali utambulike kisheria? Tofauti na hapo lazima kikulambe
Bado Kodi hapo hujaweka mkuu nayo ipunguze inabaki kama tsh399,750Hyo tshs 487,500/-
Kam nimeelew vzr
Naruhusiwa kuweka laki moja , nmb bonus accountSo, kwa taswira hiyo, NMB Bonus Account ni more profitable kuliko UTT Bond Fund?
Hehehe , manina wanakata tena na kodi ??Bado Kodi hapo hujaweka mkuu nayo ipunguze inabaki kama tsh399,750