KERO Ukiukwaji wa Haki za wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

KERO Ukiukwaji wa Haki za wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Joined
May 24, 2024
Posts
2
Reaction score
24
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina (Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"

UTATA

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina (Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
 
Aisee. Ukiamua kufanya SIASA chuoni maana yake umeamua kuweka rehani maendeleo yako ya kitaaluma, Tanzania ni vigumu Sana kwa mtetezi wa HAKI za wengine kuendelea kuwa salama, figisu lazima ziwepo.

Kwa hiyo hapo ni wewe mwenyewe kuamua kuendelea kupambana na masuala ya taaluma ambayo kimsingi ndiyo malengo ya wewe kuwepo hapo chuoni au kuendelea kuwatetea wenzio ambao baada ya kumaliza shule kila mtu anaendelea na maisha yake na hamtajuana tena.

Maamuzi yapo mikononi mwako.
 
Mbona kama unajipigia promo asee. Acha wenge soma we dogo. Acha kabisa ujinga wa kujiona tayari wewe ni Zito Kabwe au Lissu.

Upo University aisee, hakuna njia rahisi kumaliza degree. Pambana Acha kulia lia

Maelezo yako hayana uzito kwamba umeonewa. Soma, acha kutafuta huruma haupo sekondari hapo.

We bure kabisa, yaani unam challenge seminar leader Jamii Forums ili kupata attention? Acha ujinga dogo uta disco kweli!
 
Chuoni ikileta siasa utaambulia zero na sup za kutosha.
Nililiona hili enzi nasoma all in all niku epuka kua radical ukiwa masomoni labda Kama Zama zimebadilika tukiwa tunasoma semester ya mwisho Kuna mwanafunzi mmoja wa kozi za ualimu kutoka familia ya kimaskini alijinyonga baada ya kuzuiwa kufanya mitiani kisa kukosa ada ikaleta mgomo Ila uongozi ukali tatua ikawa MTU mwenye boom anali commit boom lake..

Sidhani Kama Kuna wanafunzi wanazuiliwa kufanya mitiani kisa Ada inatakiwa Ni ku commit boom lako then done au MTU asome mpaka amalize mwaka kwenye ku access matokeo ndio wambane

NB.
Miaka ya recently vitu vipo online yaan usipo lipa hupati access ya kupata kitambulisho Cha mtiani very painful kwa watoto wa kimaskini
 
1. mnyika hakimaliza chuo kupambania
haki za wenzie

3.Nondo Abdul alijikuta njombe mwituni akinukia uturi wa girl friend wake na chuo sidhani kama walimpokeaga

3.ni wewe je uko tayar kupoteza ? hio vita ulioingia hakuna war prisoners only casualties
 
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
Kwanini sasa!!?

Mbona kipindi kile hakuna mwanafunzi aliezuiwa kufanya mtihani!!?

Ni kwasababu chuo Haina uhakika wa kupata ada kutoka HSLB coz HSLB nayo inaingia hasara kwa wanafunzi kukosa Ajira kwahiyo kukosa uhakika wa kulipa deni lao!!

Huo ni mwanzo wa mengi yajayo!
 
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
Daah hii kali

Anyway sikiliza Bro. Licha ya hicho kilichotokea chuoni kwako hili ulilolifanya hapa lina effects pia.

Huenda ukawa Upo sahihi au Haupo sahihi. Na hilo utalifahamu wewe mwenyewe baada ya masaa kadhaa ya siku ya leo, kupitia waliokuzunguka.
Hakuna kitu kizuri kama kuzingatia uwasilishaji wa taarifa kuanzia Mada , Wahusika na Maktadha husika.
Ni dhahiri una mtiririko mzuri wa mantiki ambao baadhi ya watu wamevutiwa nao lakini kuna walakini kwani Kuwasilisha taarifa zako binafsi huenda ikafafanuliwa negatively.
Mfano; Unajiamini vya kutosha na huna cha kuofia.

Inawezekani hicho sicho unachomaanisha ila kwa wataalamu wa Lugha tunasisitizwa kutowapa nafasi watu wenye fikra finyu kupata kasoro ya kile unachozungumzia.

Kufa kwaajili ya wengine kama Yesu inawezekana lakini kujutia baada ya kufa ni kuikosea nafsi yako ambayo uliiaminisha kuwa wewe ulikuwa tayari kuhimili chochote.

Zipo sehemu sahihi za kuwasilisha hili. Labda nilidhani ungeomba tu ushauri wapi unaweza kuyawasilisha hayo maswala na kupata msaada wa haraka tofauti na kulitupa kwenye maelfu ya watu kama hapa.

Huenda hii ikawa ni moja ya njia sahihi lakini kama utajitafakari vizuri najua utafahamu njia sahihi zaidi ni ipi.
Sina mashaka na hilo kwani kupitia mantiki iliyopo kwenye maneno yako naamini ubongo wako unatosha kufanya uchambuzi.

Sijataka nilichukulie hilo swala KISIASA kwasababu siijui siasa ilivyo ila natambua BUSARA na HEKIMA ya mwanadamu inavyopaswa kuwa.
 
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
Dogo fanye kilichokupeleka Chuo Siasa ziende kistarabu......Utaishia kulaumu watu bure
 
Back
Top Bottom