KERO Ukiukwaji wa Haki za wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

KERO Ukiukwaji wa Haki za wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Chuoni ikileta siasa utaambulia zero na sup za kutosha.
Kwahiyo ushauri wako wanafunzi wawe ndiyo mzee kwa kila jambo?

Sasa chuo ndiyo sehemu ya kukujenga uwe na ujasiri wa kutetea haki zako na za wengine halafu baadae mkopata viongozi machawa mnaanza kuwalaumu kumbe chanzo ni watu kama wewe badala umtie moyo aendelee na harakati asikatishwe tamaa na vitisho vya wapuuzi kama hao.
 
1. mnyika hakimaliza chuo kupambania
haki za wenzie

3.Nondo Abdul alijikuta njombe mwituni akinukia uturi wa girl friend wake na chuo sidhani kama walimpokeaga

3.ni wewe je uko tayar kupoteza ? hio vita ulioingia hakuna war prisoners only casualties
Kwani Mnyika na Huyo Nondo wana hasara gani pamoja na kutomaliza chuo? Waliomaliza chuo hao wana nin ambacho Nondo na Mnyika hawana? Hatima ya maisha ya mtu ipo mikononi mwa Mungu tu.
 
Ungelikua mwanangu ningekuja chuoni na mzigo wa bakora, kisha ningekuchalaza mijeledi kwenye hadhira ya wanaharakati wenzako, kisha ningemalizana na wewe the same day aloooo.....🤥
 
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
Title ina hasty generalization. Ni tuhuma kubwa kwa chuo kizima kama taasisi. Ulitakiwa
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
Title yako ina hasty generalization. Ni tuhuma kubwa kwa chuo kizima kama taasisi. Ulitakiwa kusema mtu fulani anakiuka haki za wateja wake chuoni. Na siyo kuhusisha chuo kizima.
 
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
uamuzi na uchaguzi ni wako.....

kuendelea kua active kwenye harakati za kupigania haki za wanafunzi kama ambavyo unajipambanua, ama kujikita kwenye masomo kwa bidii zaid, jambo ambalo ndilo lilikutoa kijijini kwenu 🐒
 
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
Umejielezea vzr sana.

Hii ndio maana ya kuwa msomi, sio wasomi hata hawawezi kujielezea kwa facts.

Haki yako utaipata
 
Kwanini sasa!!?

Mbona kipindi kile hakuna mwanafunzi aliezuiwa kufanya mtihani!!?

Ni kwasababu chuo Haina uhakika wa kupata ada kutoka HSLB coz HSLB nayo inaingia hasara kwa wanafunzi kukosa Ajira kwahiyo kukosa uhakika wa kulipa deni lao!!

Huo ni mwanzo wa mengi yajayo!
Haya yalianza kipindi cha Mzee magu,anakaribia kufa, wawato wengi Sana wa chuo walifukuzwa chuo, kisa Ada .

Magu Kaleta matatizo Sana kwenye Nchi hii.
 
Endelea kutupa updates baada ya waraka huu kwa watwana wa migomigo
 
Nililiona hili enzi nasoma all in all niku epuka kua radical ukiwa masomoni labda Kama Zama zimebadilika tukiwa tunasoma semester ya mwisho Kuna mwanafunzi mmoja wa kozi za ualimu kutoka familia ya kimaskini alijinyonga baada ya kuzuiwa kufanya mitiani kisa kukosa ada ikaleta mgomo Ila uongozi ukali tatua ikawa MTU mwenye boom anali commit boom lake..

Sidhani Kama Kuna wanafunzi wanazuiliwa kufanya mitiani kisa Ada inatakiwa Ni ku commit boom lako then done au MTU asome mpaka amalize mwaka kwenye ku access matokeo ndio wambane

NB.
Miaka ya recently vitu vipo online yaan usipo lipa hupati access ya kupata kitambulisho Cha mtiani very painful kwa watoto wa kimaskini
Baadhi ya vyuo hizo commitment form bado zipo na zinasaidia mno wale wanaotegemea boom kulipa ada.

Hiyo ya Udsm sijui imekuaje hawana hiyo kitu aisee. Boom kuchelewa ni kawaida, vyuo janja vikajilinda kwa style hiyo.
 
Future yako ushaanza kuiharibu kwakuchagua hayo masomo now baada utetee ugali wako unajichanga nya nasafari yawengine..
Jitafakari..
 
Mwanangu Abdul ninalipa ada ili usome na siyo kufanya siasa chuo.

Soma acha mchezo!
 
Kila jambo lina muda ña njia zake.

Kûtetea wengine ni jambo moja. Muda wa kutetea wengine ni jambo jingine.
Je njia unayotumia kutetea wengine ni sahihi¿

Je unauwezo wa kutetea Watu wengine?
Je upo tayari kuhimili matokeo ya kutetea haki za wengine?

Zingatia, chochote unachokifanya hasa kwa Haki ni kwajili yako mwenyewe kama mpenda haki. Kinawèza kisiwe na uhûsiano na unaowatetea sio ajabu wao wasije kukupa Ahsante wala kujua nafasi yako kwao ilikuwa ni ipi.
 
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
Pole sana. Hiyo ni intellectual harassment and should be reported immediately. Wasilisha malalamiko rasmi kwa uongozi. Kuna watu nchi hii wamezaliwa kuhujumu maendeleo yake
 
Mbona kama unajipigia promo asee. Acha wenge soma we dogo. Acha kabisa ujinga wa kujiona tayari wewe ni Zito Kabwe au Lissu.

Upo University aisee, hakuna njia rahisi kumaliza degree. Pambana Acha kulia lia

Maelezo yako hayana uzito kwamba umeonewa. Soma, acha kutafuta huruma haupo sekondari hapo.

We bure kabisa, yaani unam challenge seminar leader Jamii Forums ili kupata attention? Acha ujinga dogo uta disco kweli!
Unaonekana wewe ndo seminar leader mwenyewe
Acha roho mbaya Kama mnyarwanda acha dogo asome
 
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.

Dogo umeona unaelekea kuangukia pua unakuja jihami huku. Nenda kasome dogo. Huu ujanja wako wa kizamani sana. Na hauna maana . Inaonesha huna akili umetafuta pa kujifichia. Siku hzi chuo vilaza mpo wengi sana. Wewe unajifichia huku. Utalambwa makalio shauri yako.
 
Back
Top Bottom