KERO Ukiukwaji wa Haki za wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

KERO Ukiukwaji wa Haki za wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kwahiyo ushauri wako wanafunzi wawe ndiyo mzee kwa kila jambo?

Sasa chuo ndiyo sehemu ya kukujenga uwe na ujasiri wa kutetea haki zako na za wengine halafu baadae mkopata viongozi machawa mnaanza kuwalaumu kumbe chanzo ni watu kama wewe badala umtie moyo aendelee na harakati asikatishwe tamaa na vitisho vya wapuuzi kama hao.
Risk ndio kama hiyo kutafuta huruma huku mitandaoni ...Haukatazwi ila chuo wahadhiri wana nguvu kuliko kitu chochote .
 
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
Ukiwa mkweli Sana, uliyenyooka ktk mambo yako, mpinga wizi, rushwa, ufisadi, dhuluma au mpigania haki, basi tambua ya kwamba Afrika siyo mahali salama pa kuishi.
 
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
Huyo Boaz malizana nae nje ya maeneo ya chuo. Mwambie ukiendelea kunitisha hivi, mimi chuo nitaacha na wewe huu ndo utakuwa mwaka wako wa mwisho kuitwa Mussa Boaz. Usiongeze neno wala usipunguze. Alafu endelea na mishe zako.
 
PS 223 ulipata Supp.
Hivi kweli International Relations II ni ya kupata Supp.
Wewe ni kilaza.
Kuwa kilaza ni jambo lingine na kutishiwa ni jambo lingine. Nyie ma ticha wa UDSM kuna siku mtakuja kuwa mandondocha nawaambia. Bado hamjakutana na akili mbovu.
 
Moses boaz ataona umemchafua hapo. Jiandae na chuki zaidi ya alizokuonyesha ! Nakumbuka wakati nipo chuo mwaka wa kwanza kuna somo nilipata marks kidogo nikaenda kwa lecturer alinijibu kunya sana .nanukuu ' wewe bado mdogo utarudia tu mwakani kwani shida nini' ili niuma sana mana sikustahili kupata zile marks ndogo kiasi cha kupitwa na vilaza.
 
Future yako ushaanza kuiharibu kwakuchagua hayo masomo now baada utetee ugali wako unajichanga nya nasafari yawengine..
Jitafakari..
Kila mtu ana safari zake mzee, hatuwezi wote kufanana. Kama moyo wake unamtuma kufanya harakati za kutetea watu, afanye anachokipenda.
 
Kila mtu ana safari zake mzee, hatuwezi wote kufanana. Kama moyo wake unamtuma kufanya harakati za kutetea watu, afanye anachokipenda.
Kuna muda lazima ujitafakari ukifuata moyo kwakila jambo nakuacha viungo vingine hilo nitatizo
 
Baadhi ya vyuo hizo commitment form bado zipo na zinasaidia mno wale wanaotegemea boom kulipa ada.

Hiyo ya Udsm sijui imekuaje hawana hiyo kitu aisee. Boom kuchelewa ni kawaida, vyuo janja vikajilinda kwa style hiyo.
Commitment paper ilisaidia na still ingewasidia wanafunzi wakimaskini kuweza kutumia boom kujilipia Ada zao..
 
Pole sana kamanda.Mimi NAKUSHAURI , KAMA ULIVYOELEZA HAPA ANDIKA BARUA KWA DEAN OF FACULTY ELEZEA SCENARIO YOTE PIA AMBATANISHA NA PRESENTATION YA SEMINA NA PIA TOA ANGALIZO LA MBELENI KUWA HUYO MSIMAMIZI BOAZ AMEKUTISHIA NA HUNA IMANI NAE.KATIKA HIYO BARUA PIA TOA NAKALA KWA MAKAMU MKUU WA CHUO NA DEAN OF STUDENTS KWA TAARIFA NA PIA NAKALA KWA CHAMA CHA WANAFUNZI THEN ENDELEA NA MASOMO.HIYO ITAKUSAIDIA HUKO MBELENI IWAPO HUYO BOAZ ATAKU VICTIMIZE KWA NAMNA YOYOTE ILE ITAKUWA RAHISI KWAKO KU REFFER HIYO BARUA ULIYOPELEKA.PIA MJULISHE LECTERER WA HIYO KOZI PROF MALLYA NAE MPE NAKALA YA BARUA
 
Kwani Mnyika na Huyo Nondo wana hasara gani pamoja na kutomaliza chuo? Waliomaliza chuo hao wana nin ambacho Nondo na Mnyika hawana? Hatima ya maisha ya mtu ipo mikononi mwa Mungu tu.
ndio nmemwambia mwamba vita alioingia awe anamaanisha John Mnyika alikua anajua nin kitamtokea na hakurud nyuma hata baada ya vitisho na kufukuzwa chuo
kanondo hakakurudi nyuma hata baada ya kutekwa nyara kusitishiwa usajari wake wa chuo
huyu mwamba wetu anatakiwa ajue hilo kwamba akifukuzwa shule aendelee kukaza na anachokipigania kitamtoa kama hao ndio naana sijamtajia waliofukizwa vyuoni sababu ya harakati na saiv wanaokota makopo mtaani na hao ndio wengi sasa
 
Pole sana kamanda.Mimi NAKUSHAURI , KAMA ULIVYOELEZA HAPA ANDIKA BARUA KWA DEAN OF FACULTY ELEZEA SCENARIO YOTE PIA AMBATANISHA NA PRESENTATION YA SEMINA NA PIA TOA ANGALIZO LA MBELENI KUWA HUYO MSIMAMIZI BOAZ AMEKUTISHIA NA HUNA IMANI NAE.KATIKA HIYO BARUA PIA TOA NAKALA KWA MAKAMU MKUU WA CHUO NA DEAN OF STUDENTS KWA TAARIFA NA PIA NAKALA KWA CHAMA CHA WANAFUNZI THEN ENDELEA NA MASOMO.HIYO ITAKUSAIDIA HUKO MBELENI IWAPO HUYO BOAZ ATAKU VICTIMIZE KWA NAMNA YOYOTE ILE ITAKUWA RAHISI KWAKO KU REFFER HIYO BARUA ULIYOPELEKA.PIA MJULISHE LECTERER WA HIYO KOZI PROF MALLYA NAE MPE NAKALA YA BARUA
Hhah hivi unajua kama watu wajamii moja ubebana
 
Dawa ya wasiolipa school fees sio kuwazuia kuingia darasani, kama wameanza semister acha wasome wamalize ila usiwape majibu ya final mpaka wamelipa school fees, itapunguza matatizo kila upande
Tumia akili.
Chuo kinategemea ada za wanafunzi kuendesha pilika za kila siku.

Kwahiyo mwaka mzima wanafunzi wasome bure, running costs za chuo zitoke wapi? Wakope bank?
 
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
Pole! Tz ni chuki, visasi na kukomoana, ambapi hujui chanzo ni nini. Mwenye nafasi fulani, haitumii kwa ustawi wa jamii bali kuididimiza. Nchi kamwe haitaendelea!
Tukiongelea haki za wanafunzi, inakuwa aje mpaka siku za mapumziko za mwisho wa wiki mnatakiwa kwenda na wakati mwingine kufanya mitihani?
 
Back
Top Bottom